Nyumbani kumenoga

Mkuu lazima ajue kila kinachoendelea nchini mwake.
Kama leo nimeliwa kwenye foleni hadi nikachelewa nilipokuwa naenda.
Kaakweli kuliwa huko hapana ... mtoto wa kiume uliwe haiwezekani aisee ... halafu yule mzee aliongea kitu ambacho ana experience nacho
 
Mkuu lazima ajue kila kinachoendelea nchini mwake.
Kama leo nimeliwa kwenye foleni hadi nikachelewa nilipokuwa naenda.
Haha .. kwahiyo umeliwa ..!!! kwakweli nilisahau " nilazima ajue maana anavyanzo vingi vya kumfikishia taarifa
 
Umeme itabaki Tanesco pekee...

Barabara itabaki Tanroads pekee...

Ujenzi utabaki TBA pekee...

Bank itabaki Benki ya Posta pekee...


Cc: mahondaw
 
.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…