Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kampeni ya *RUDI NYUMBANI KUMENOGA* imeshika kasi.
1. Kwenye ndege tutabaki na ATCL
2. Kwenye TV tutabaki na TBC Pekee
3. Mawasiliano tutabaki na TTCL
4. Elimu tutabaki na shule za Serikali tu
5. Magazeti tutabaki na Daily News na Habari Leo
6. Chama tutabaki na CCM yetu tu.
7. Mihimili tutabaki na Serikali Pekee
8. Ajira rasmi itakuwa ni Serikalini tu
9. Mkoloni wetu mpya atakuwa Mchina
10. Benki yetu itakuwa TPB Pekee
Tanzania Mpya +++
1. Kwenye ndege tutabaki na ATCL
2. Kwenye TV tutabaki na TBC Pekee
3. Mawasiliano tutabaki na TTCL
4. Elimu tutabaki na shule za Serikali tu
5. Magazeti tutabaki na Daily News na Habari Leo
6. Chama tutabaki na CCM yetu tu.
7. Mihimili tutabaki na Serikali Pekee
8. Ajira rasmi itakuwa ni Serikalini tu
9. Mkoloni wetu mpya atakuwa Mchina
10. Benki yetu itakuwa TPB Pekee
Tanzania Mpya +++