Ntakasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 1,428
- 456
Swahibaz Mpooo?.
Haya ,list yangu ya movies bora za kukupa burudani kwa uzalendo hii hapa..
1.Fikra Zangu.
Ni moja kati ya movies za kibongo ambazo SITACHOKA kutazama ingawa kuna makosa ya kiufundi yaliokuwepo lakini hayakufunika uwezo wa vinara kama Jacob Stephen na Irene Paul pamoja na wengineo waliovaa vyema uhusika wako....kuna kaka ameigiza kama mmakonde alisaidia kwa kiasi kikubwa movie kunoga.
2.Kibajaji.
Kama hujawahi kuitazama basi ni movie ambayo najitolea kuipromote na kukusihi ununue ukae nayo nyumbani.....Sistaduu Irene Paul Kaigiza vizuri kama mke wa dereva kibajaji mwenye wivu akiwa sambamba na Mboto.
3.Apple
hii imeigizwa na Irene Uwoya,Patcho Mwamba,Juma Chikoka,Baba Haji na wengineo....
Pamoja na kwamba ilibuniwa kuwa ya kipelelezi ila cast walifanya kazi nzuri ya kuchangamsha movie na kuifanya iburudishe haswaa.
4.For My Child
Hii imeigizwa na Hemedi suleiman,Patcho Mwamba na Elizabeth Swinny......The best part ya hii movie ni mtoto ambaye jina lake limenitoka alivyoweza kuigiza kwa ustadi akiwa anahangaika na baba yake na baadae kumtetea kwa nguvu mahakamani.
5.Tikisa
Hii ni comedy na kama tunavyomjua Mzee Majuto huwa hakosei na uzuri wa hii movie ni mchanganyiko wa personalities za wahusika kama Hemed suleiman,Haji Mboto,Salma Jabu Nisha,Jackline Wolper,Chuchu Hans Na Mzee TIKISA mwenyewe...King Majuto.
6.Safari
Single Mtambalike pamoja na Irene Uwoya na Kaka aliyeigiza kama mmakonde kwenye Fikra Zangu Walifanya kazi nzuri sana pamoja na kwamba ilikuwa inatisha lakini cast ya kijijini iliifanya isisimue na kuleta maana mwisho wa siku....walisindikizwa na Chuchu Hans pamoja na Msuya
7.Uyoga
Wakongwe walikutana na kufanya kitu kizuri pamoja.
Namzungumzia Yvonne Cherly na Single Mtambalike wakisaidiwa na Simon(Rado),Sudi na Flora Mvungi...Ni movie inayohusisha tukio la siku moja na uyoga uliodhaniwa kuwa na sumu uliowafanya watubu makosa yao wakijua wanakufa kumbe walaaa!
8.Waves Of Sorrow
Hii ni production ya RJ ambao walimrudisha tena Batuli wa Kanumba(Yobnesh Yusuph) kwenye chat humu...Akiwa sambamba na Rose Ndauka,Vincent Kigosi na Slim Omary...Story iko clishay yaani ni common sana ila Batuli aliweza kuvaa uhusika mzuri na kufanya ivutie.
9.Bad Luck
Hii ni mpya mpya na imemshirikisha Salha Israel aliyewahi kuwa Miss Tanzania akiwa na Blandina Chagula,Esha Buheti ,Haji Adam,Abdallah Ambua na Yobnesh Yusuph bila kumsahau Slim Omary....ina kisa
kizuri na wameigiza vizuri sana.
10.Stella
Hemed amemshirikisha dada chipukizi ambaye amefanya vizuri sana...Getrude wakiwa sambamba na Gelly wa Rhymez...na hii ni mpya mpya sokoni waweza kupata copy yako.
ANGALIZO:
Nzuri zipo nyingi ila nimekwepa zile za marehemu Kanumba ili kuwapa nafasi na wengine kuwika na kusongesha gurudumu la kiwanda cha filamu TANZANIA.
Pia inasikitisha kuona chipukizi wakiwa hawafurukuti na hii sio sababu hawapewi tafu tu bali pia kazi za chipukizi wa filamu nyingi za sasa ni Mbovu Mnoooo na HAZITAZAMIKI.....Ni wachache sana wanaojitahidi...
Ahsanteni.
Haya ,list yangu ya movies bora za kukupa burudani kwa uzalendo hii hapa..
1.Fikra Zangu.
Ni moja kati ya movies za kibongo ambazo SITACHOKA kutazama ingawa kuna makosa ya kiufundi yaliokuwepo lakini hayakufunika uwezo wa vinara kama Jacob Stephen na Irene Paul pamoja na wengineo waliovaa vyema uhusika wako....kuna kaka ameigiza kama mmakonde alisaidia kwa kiasi kikubwa movie kunoga.
2.Kibajaji.
Kama hujawahi kuitazama basi ni movie ambayo najitolea kuipromote na kukusihi ununue ukae nayo nyumbani.....Sistaduu Irene Paul Kaigiza vizuri kama mke wa dereva kibajaji mwenye wivu akiwa sambamba na Mboto.
3.Apple
hii imeigizwa na Irene Uwoya,Patcho Mwamba,Juma Chikoka,Baba Haji na wengineo....
Pamoja na kwamba ilibuniwa kuwa ya kipelelezi ila cast walifanya kazi nzuri ya kuchangamsha movie na kuifanya iburudishe haswaa.
4.For My Child
Hii imeigizwa na Hemedi suleiman,Patcho Mwamba na Elizabeth Swinny......The best part ya hii movie ni mtoto ambaye jina lake limenitoka alivyoweza kuigiza kwa ustadi akiwa anahangaika na baba yake na baadae kumtetea kwa nguvu mahakamani.
5.Tikisa
Hii ni comedy na kama tunavyomjua Mzee Majuto huwa hakosei na uzuri wa hii movie ni mchanganyiko wa personalities za wahusika kama Hemed suleiman,Haji Mboto,Salma Jabu Nisha,Jackline Wolper,Chuchu Hans Na Mzee TIKISA mwenyewe...King Majuto.
6.Safari
Single Mtambalike pamoja na Irene Uwoya na Kaka aliyeigiza kama mmakonde kwenye Fikra Zangu Walifanya kazi nzuri sana pamoja na kwamba ilikuwa inatisha lakini cast ya kijijini iliifanya isisimue na kuleta maana mwisho wa siku....walisindikizwa na Chuchu Hans pamoja na Msuya
7.Uyoga
Wakongwe walikutana na kufanya kitu kizuri pamoja.
Namzungumzia Yvonne Cherly na Single Mtambalike wakisaidiwa na Simon(Rado),Sudi na Flora Mvungi...Ni movie inayohusisha tukio la siku moja na uyoga uliodhaniwa kuwa na sumu uliowafanya watubu makosa yao wakijua wanakufa kumbe walaaa!
8.Waves Of Sorrow
Hii ni production ya RJ ambao walimrudisha tena Batuli wa Kanumba(Yobnesh Yusuph) kwenye chat humu...Akiwa sambamba na Rose Ndauka,Vincent Kigosi na Slim Omary...Story iko clishay yaani ni common sana ila Batuli aliweza kuvaa uhusika mzuri na kufanya ivutie.
9.Bad Luck
Hii ni mpya mpya na imemshirikisha Salha Israel aliyewahi kuwa Miss Tanzania akiwa na Blandina Chagula,Esha Buheti ,Haji Adam,Abdallah Ambua na Yobnesh Yusuph bila kumsahau Slim Omary....ina kisa
kizuri na wameigiza vizuri sana.
10.Stella
Hemed amemshirikisha dada chipukizi ambaye amefanya vizuri sana...Getrude wakiwa sambamba na Gelly wa Rhymez...na hii ni mpya mpya sokoni waweza kupata copy yako.
ANGALIZO:
Nzuri zipo nyingi ila nimekwepa zile za marehemu Kanumba ili kuwapa nafasi na wengine kuwika na kusongesha gurudumu la kiwanda cha filamu TANZANIA.
Pia inasikitisha kuona chipukizi wakiwa hawafurukuti na hii sio sababu hawapewi tafu tu bali pia kazi za chipukizi wa filamu nyingi za sasa ni Mbovu Mnoooo na HAZITAZAMIKI.....Ni wachache sana wanaojitahidi...
Ahsanteni.