Nyumbani Kwanza:Top 3 ya Kikwetukwetu.....

Nyumbani Kwanza:Top 3 ya Kikwetukwetu.....

wajua nimezipenda sana movies hizo coz zinaonyesha maisha halisi tunayoishi sie watanzania wengi, na siyo akina rey wanavyo-act na magar mazuuriii na maghorofa mixer vimini vya kina wema na uzungu mwingiii. Wakati maisha hayo wanayoishi kitakwimu hata 4% ya watanzania haifiki so zinakuwa hazitulengi sanaa zaidi inakuwa kiburudani.

Lakini hizo movies ulizotaja hapo nilikuwa naangalia kidogoro, nikamkubali sana zamaradi kuja na idea kama hiyo ambayo imeonyesha maisha yetu kabisaaa.
Huku kwetu birthday ya mtoto tu, kigodoro na baikoko juu na sasambu hadi unashangaa.

Ray kila siku tajir yeye.kila siku lazima aish ghorofan
 

Attachments

  • 1397838680856.jpg
    1397838680856.jpg
    45.4 KB · Views: 119
Last edited by a moderator:
wajua nimezipenda sana movies hizo coz zinaonyesha maisha halisi tunayoishi sie watanzania wengi, na siyo akina rey wanavyo-act na magar mazuuriii na maghorofa mixer vimini vya kina wema na uzungu mwingiii. Wakati maisha hayo wanayoishi kitakwimu hata 4% ya watanzania haifiki so zinakuwa hazitulengi sanaa zaidi inakuwa kiburudani.

Lakini hizo movies ulizotaja hapo nilikuwa naangalia kidogoro, nikamkubali sana zamaradi kuja na idea kama hiyo ambayo imeonyesha maisha yetu kabisaaa.
Huku kwetu birthday ya mtoto tu, kigodoro na baikoko juu na sasambu hadi unashangaa.

Yes...Wanigeria wana zile movies za kijijini na mavazi yao ambazo kuna watz waliiga which didnt make sense at all kwa kwetu hapa...sie nadhani tunaweza kujiidentify na hizi za uswazi...zikaburudisha na kufunza mengi huku tukiuonesha uhalisia wa maisha ya watanzania wengi...
 
Yes...Wanigeria wana zile movies za kijijini na mavazi yao ambazo kuna watz waliiga which didnt make sense at all kwa kwetu hapa...sie nadhani tunaweza kujiidentify na hizi za uswazi...zikaburudisha na kufunza mengi huku tukiuonesha uhalisia wa maisha ya watanzania wengi...

Yap kweli kabisa
 
Yes...Wanigeria wana zile movies za kijijini na mavazi yao ambazo kuna watz waliiga which didnt make sense at all kwa kwetu hapa...sie nadhani tunaweza kujiidentify na hizi za uswazi...zikaburudisha na kufunza mengi huku tukiuonesha uhalisia wa maisha ya watanzania wengi...

kabisa tena, nadhani watakuwa wamejifunza na kama bado hawajajifunza watakuwa hawataki kuuza.
Wajua watz tunapenda sana movies hzi za kiswazi, mfano kanumba RIP, uncle j j ilimpa jina kabisa apart from all the movies alizozifanya. Kitu ambacho kinaonyesha watanzania wengi wanapenda movies za kiswazi zaidi ya huo uzungu wanaouigiza wao.
Kama uzungu movies bora nichukue hollywood moviea basi, ila tukitaka za kibongo basi tunataka uhalisia kidogo na siyo maigizo mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom