Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo lazima upostSijui msemo huu unaendana?
Nakumbuka kuna siku nimetoka shule sijavua hata uniform nikaambiwa nikafungue ng'ombe zilipofungwa kwa malisho nizirudishe nyumbani kufika pale(kipori Fulani) badala ya kufungua kamba niswage ng'ombe nikakimbilia kichaka kilikuwa na matunda pori(mang'ang'a wanyakyu wanaelewa) .Bhanabhana...kumbe pembeni kuna nyuki wa haja ile napeleka mkono tu kushika majani kumbe nimewatikisa😳
Nilitoka mbio,lakini kumbe nilikuwa nimechelewa walining'ata sana macho,pua,mdomo,masikio na kisogo😏.....ndo hivyo bhana lakini pamoja na kuvimba kote na macho kujifunika kwa mvimbo niliweza kupapasa njia mpaka nikafika nyumbani.
Kilichonifanya nijue nimefika ni vicheko nilivyopona wakasema walivyoniona tu walishindwa kujizuia kucheka(nadhani mwonekano baada ya kuumuka)
Nyumbani ni nyumban
😂😂Ujasiri sijui niliutoa wapi😂😂😂mi nisingepokea aisee
Pole jamani.... hvi hauna tupicha twakumbukizi ya huo MVIMBO...Asante,nashukuru Leo nasimulia maana nyuki wanaua aisee
mwaka gan hyo ilikuwa mkuu....Kitambo sana huko koromije mkuu
O00000h kumbe ulikuwa bado......eeeeeh nambie kilio chake sasa...?2003nikiwa darasa la 4