Nyumbani ni nyumbani hata kama ni kichakani

Nyumbani ni nyumbani hata kama ni kichakani

me nilikuwa nadaka kwa mdomo matone ya asali yalikuwa yanadondoka kutoka juu kwenye mzinga utamu ukawa unafanya hadi nafunga macho mwanangu mmoja anaitwa Bariki akatikisa tawi la mti kufungua macho mzinga huooo usoni.
 
Kwa kweli hapo enzi hizo nyumbani angali tukiwa machalii basi tulikua na kijitabia flan hivi mimi na wenzangu wawili tukitoka shule kurudi nyumbani tunakutana kituoni na kuongozana basi tukiwa njiani tulikua na visanga vingi sana tunavifanya moja wapo ilikua kuchezea kengele za watu kwenye nyumba zao, Sasa kulikua na nyumba moja bwana aah! hiyo tuliipenda kuionea sana yani kila tukifika hapo ilikua lazima tuibofye kengele tena zamu kwa zamu, Ila siku moja ilikua bahati mbaya yetu hatukujua kumbe wenyewe walikua wamefungulia mbwa bwana dah! Ilikua hatari ile rafiki yangu kabofya tu weeeh! Kifaa hichi hapa mbele yetu halafu alikua ni German Shepherd 🐺 hahahaa 😂😂😂 hapo kila mmoja na njia yake nakumbuka nilifika nyumbani nikiwa vumbi mtu huku nimeshikilia mkono wa kushoto ukiwa umeteguka lakini haikutosha kuwa sababu kwa mama kunielewa haraka kwakua nilikua mtundu sana nilichezea kichapo kisha ndio nikapelekwa hospitali baada ya siku tatu nakuja kuonana na jamaa zangu ilikua nivicheko tuu maana mwenzetu mmoja alitumbukia kwenye shimo la taka na kuchanwa na chupa mguuni..
Utoto kazi asee
 
Utoto kazi asee
Dah! We acha tu Toto mol ilifika wakati ukikutwa unaangalia luninga tu msalaa maana zile actions zote za AKI NA UKWAA tulizimeza na kuzifanya in real life yani iyo siku ndio tulikula mikwaju ya kutosha baada ya kugundulika tulimfungia Chooni mjumbe wetu wa nyumba kumi enzi hizo milango ya Vyoo inamakomeo Yale ya kufuli nje sasa sisi tuliweka kijiti dah! tuliteseka na kwa mikwaju ilipogungulika ni sisi, kuna katoto ka kike kalituchongea kwa uyo mjumbe soo likafika kwa wazee kwenye kila familia basi wakatuweka mtu kati hahahaa ilikua ni mwendo wa fimbo wazee wanapokezana 😂😂😂
 
Kwa kweli hapo enzi hizo nyumbani angali tukiwa machalii basi tulikua na kijitabia flan hivi mimi na wenzangu wawili tukitoka shule kurudi nyumbani tunakutana kituoni na kuongozana basi tukiwa njiani tulikua na visanga vingi sana tunavifanya moja wapo ilikua kuchezea kengele za watu kwenye nyumba zao, Sasa kulikua na nyumba moja bwana aah! hiyo tuliipenda kuionea sana yani kila tukifika hapo ilikua lazima tuibofye kengele tena zamu kwa zamu, Ila siku moja ilikua bahati mbaya yetu hatukujua kumbe wenyewe walikua wamefungulia mbwa bwana dah! Ilikua hatari ile rafiki yangu kabofya tu weeeh! Kifaa hichi hapa mbele yetu halafu alikua ni German Shepherd 🐺 hahahaa 😂😂😂 hapo kila mmoja na njia yake nakumbuka nilifika nyumbani nikiwa vumbi mtu huku nimeshikilia mkono wa kushoto ukiwa umeteguka lakini haikutosha kuwa sababu kwa mama kunielewa haraka kwakua nilikua mtundu sana nilichezea kichapo kisha ndio nikapelekwa hospitali baada ya siku tatu nakuja kuonana na jamaa zangu ilikua nivicheko tuu maana mwenzetu mmoja alitumbukia kwenye shimo la taka na kuchanwa na chupa mguuni..
😀Nyie mlizidi
 
Kwa kweli hapo enzi hizo nyumbani angali tukiwa machalii basi tulikua na kijitabia flan hivi mimi na wenzangu wawili tukitoka shule kurudi nyumbani tunakutana kituoni na kuongozana basi tukiwa njiani tulikua na visanga vingi sana tunavifanya moja wapo ilikua kuchezea kengele za watu kwenye nyumba zao, Sasa kulikua na nyumba moja bwana aah! hiyo tuliipenda kuionea sana yani kila tukifika hapo ilikua lazima tuibofye kengele tena zamu kwa zamu, Ila siku moja ilikua bahati mbaya yetu hatukujua kumbe wenyewe walikua wamefungulia mbwa bwana dah! Ilikua hatari ile rafiki yangu kabofya tu weeeh! Kifaa hichi hapa mbele yetu halafu alikua ni German Shepherd 🐺 hahahaa 😂😂😂 hapo kila mmoja na njia yake nakumbuka nilifika nyumbani nikiwa vumbi mtu huku nimeshikilia mkono wa kushoto ukiwa umeteguka lakini haikutosha kuwa sababu kwa mama kunielewa haraka kwakua nilikua mtundu sana nilichezea kichapo kisha ndio nikapelekwa hospitali baada ya siku tatu nakuja kuonana na jamaa zangu ilikua nivicheko tuu maana mwenzetu mmoja alitumbukia kwenye shimo la taka na kuchanwa na chupa mguuni..
Ha ha haa,mlizidi daa
 
Nyumbani ni Nyumbani, nakumbuka sisi tukifanya zali au tukio lolote likitokea ni nduki hadi home, hakuna kuuliza, kuna siku nimepanda mti wa zambarau kumbe juu kuna finyofinyo, alooo niliwashwa breki ya kwanza home sielewi moja kwa moja bafuni najisungua naskia mwili unawaka moto balaa😂😅
😂😂😂finyofinyo ni viwavi mkuu?
 
me nilikuwa nadaka kwa mdomo matone ya asali yalikuwa yanadondoka kutoka juu kwenye mzinga utamu ukawa unafanya hadi nafunga macho mwanangu mmoja anaitwa Bariki akatikisa tawi la mti kufungua macho mzinga huooo usoni.
me nilikuwa nadaka kwa mdomo matone ya asali yalikuwa yanadondoka kutoka juu kwenye mzinga utamu ukawa unafanya hadi nafunga macho mwanangu mmoja anaitwa Bariki akatikisa tawi la mti kufungua macho mzinga huooo usoni.
me nilikuwa nadaka kwa mdomo matone ya asali yalikuwa yanadondoka kutoka juu kwenye mzinga utamu ukawa unafanya hadi nafunga macho mwanangu mmoja anaitwa Bariki akatikisa tawi la mti kufungua macho mzinga huooo usoni.
me nilikuwa nadaka kwa mdomo matone ya asali yalikuwa yanadondoka kutoka juu kwenye mzinga utamu ukawa unafanya hadi nafunga macho mwanangu mmoja anaitwa Bariki akatikisa tawi la mti kufungua macho mzinga huooo usoni.
😂😂😂😂alitaka kukuua
 
Kuna nyuki flani wanakaa juu ya miti mirefu sana huku kwetu tunawaita "lemaati" aisee hawa jamaa ukila asali yao na ukasepa salama unabahati sana,kuna madogo waliwachokoza bahati mbaya kuna mama alikuwa anakata kuni hana habari walimshambulia hadi akakimbilia mtoni baada ya kuokolewa akawa anatapika asali na hajala hata tone, lakini hakukaa hata siku tatu akafariki licha ya kulazwa hospitali.
 
Kuna nyuki flani wanakaa juu ya miti mirefu sana huku kwetu tunawaita "lemaati" aisee hawa jamaa ukila asali yao na ukasepa salama unabahati sana,kuna madogo waliwachokoza bahati mbaya kuna mama alikuwa anakata kuni hana habari walimshambulia hadi akakimbilia mtoni baada ya kuokolewa akawa anatapika asali na hajala hata tone, lakini hakukaa hata siku tatu akafariki licha ya kulazwa hospitali.
😂inahuzunisha ila nimecheka uliposema alitapika asali na hakula
 
Siyo wanaweza Bali wanaua,na walivyo maboya,akikuuma mmoja anaacha harufu inayovuta wengine,ndipo utapokutana na mauti uso kwa macho Kama hukimbilii utokako upepo
Nasikia wakikuotea wakajaa kinywani....ndo umekwisha
 
Uliponea chupuchupu kufa, umepata fundisho kuwa usiwe na papara. Pole, ila hata mimi ningekuona ningeangua kicheko.
 
Back
Top Bottom