Sijui msemo huu unaendana?
Nakumbuka kuna siku nimetoka shule sijavua hata uniform nikaambiwa nikafungue ng'ombe zilipofungwa kwa malisho nizirudishe nyumbani kufika pale(kipori Fulani) badala ya kufungua kamba niswage ng'ombe nikakimbilia kichaka kilikuwa na matunda pori(mang'ang'a wanyakyu wanaelewa) .Bhanabhana...kumbe pembeni kuna nyuki wa haja ile napeleka mkono tu kushika majani kumbe nimewatikisaπ³
Nilitoka mbio,lakini kumbe nilikuwa nimechelewa walining'ata sana macho,pua,mdomo,masikio na kisogoπ.....ndo hivyo bhana lakini pamoja na kuvimba kote na macho kujifunika kwa mvimbo niliweza kupapasa njia mpaka nikafika nyumbani.
Kilichonifanya nijue nimefika ni vicheko nilivyopona wakasema walivyoniona tu walishindwa kujizuia kucheka(nadhani mwonekano baada ya kuumuka)
Nyumbani ni nyumban