Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

chongoe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,183
Reaction score
2,871
Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani

FB_IMG_15988741138385519.jpg
FB_IMG_15988746067211938.jpg
FB_IMG_15988741426823248.jpg
FB_IMG_15988740628097209.jpg
FB_IMG_15988743791650266.jpg
FB_IMG_15988738573505706.jpg
FB_IMG_15988741523405497.jpg
FB_IMG_15988738451893320.jpg
FB_IMG_15988738893938342.jpg
FB_IMG_15988738218432075.jpg
FB_IMG_15988738332585918.jpg
FB_IMG_15988736456878600.jpg
FB_IMG_15988066670466446.jpg
FB_IMG_15988743571504365.jpg

[
 
Nafikaje huko...?
Hivi kuna usafiri wa kutoka hapo kwenda Mayotte?
Ukitaka adventure, tumia usafiri wa boti au mashua lakini kama muoga wa bahari, tumia usafiri wa ndege ambao haupo adventorous at all!!

REMEMBER, boti za kwenda Mafia sio kama zile boti za kishua ziendazo Unguja ambazo you feel just litlle adventure ukitoa tu ile kwamba unasafiri mchana na ku-enjoy ocean view!
 
Back
Top Bottom