Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We upo wapiMkuu naona umejaza mapichapicha tu.
Ungetueleza japo kwa uchache;
»mtu anafikaje huko
»nauli zipoje
»makazi yakoje mtu akifika huko
»muda mzuri wa kwenda ni upi
»fursa zilizopo n.k
BTW kuna mtu aliuliza kwanini Mafia haipo Zanzibar?
[emoji23] pole sana Mrangi wa Pahi-Kondoa,karibu tena Mafia,Kilwa na Rufiji.Hakika utafarijika sana. #WanaPwaniWakarimu!Nmekaa sana jibondo kisiwani hpo
Bata nlikuwa nakula hapo kinasi Beach... Bia ndy nilikuwa nazitwanga
Sema hapo nilika lupango wiki 3... Mafia yte nkaichukiaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila, nawamiss watu wangu wa jibondo
Ova
Andaa nauli kabisaMie Kama CCM itapita nitaondoka tu mazima hapa nchini. Usiache kunisaidia ukifika huko nipe tu mchoro
Mkia simba wa msimbazi wanamuuza? YAngs mbel daima .......Wanaojiuza wapo ,you tube niliona Millard ayo akiwahoji,wakawa wanatoa na madau yao,mkia na mbele
Sema suu jiwe hajafika hicho kisiwa?Huko Mafia nasikia kuna kisiwa kimeuzwa kwa tajiri mmoja kutoka Sweden; amejenga hotel huko ambayo ni watu wachache sana duniani wanaweza kumudu bei zake!! Hata JIWE hajawahi kufika huko na pengine hajawahi kuisikia resort hiyo ingawa kisiwa kiko Tanzania!!!
THANDA LUXURIOUS PRIVATE ISLAND!!
Mzee huko nishapita zaidi ya mara 5..Mafia nakuja sana...ila hiyo njia siyo rafiki aisee...zile ngalawa haziaminiki na zinajaza sana abilia... Nshakuta imekua overcarriage zaidi watu 100...ntasubiri magufuri anamalizia meli tukapandie feri kama bakhresaUnapanda gari mbagala ambayo inaelekea nyamisati nauli take 5500 ukifika nyamisati bei ya nauli kufika mafia 21000
Meli ipo kitambo tumzee huko nishapita zaidi ya mara 5..Mafia nakuja sana...ila hiyo njia siyo rafiki aisee...zile ngalawa haziaminiki na zinajaza sana abilia...nshakuta imekua overcarriage zaidi watu 100...ntasubiri magufuri anamalizia meli tukapandie feri kama bakhresa
Ulimaji ni mdogo, ila samaki dahhhHahhaaha umenikumbusha unajua kule mboga za majani ni anasa kipind kile.. Ndio maana anemia ilikuwa juu Sanaa...
Yaani maisha kule ni wali samaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Asante naweza kuwekeza kwenye nini hasa Mafia?Viwanja vipo
Eh okMtu anayekula Sana samaki huwa Wana upeo mkubwa Sana wa akili! Naamini uko hivyo!..
Hahhhahahahah......we gonga tu nyagi mkuu hakuna namnaEh ok
Ova
Ah watu siku zote sehemu yyt sinaga shida nao[emoji23] pole sana Mrangi wa Pahi-Kondoa,karibu tena Mafia,Kilwa na Rufiji.Hakika utafarijika sana. #WanaPwaniWakarimu!
Nyamisati,....Kwahiyo mzee nikifika pale Bungu-kibiti nile chocho na ile njia ya msimbati kama sijakosea jina halafu nichukue boti ya mafia.!