[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani acha kabisaWe si ndiko kwenu hapo
Maana ulikuwa kama mkojani[emoji23][emoji5][emoji5][emoji5]
Ova
Hutamuweza huyo🤭🤭..akili zake zinamtoshea mwenyewe😆😆Ngoja nimtongoze nimfanye kibenten changu
bila hiyo uzi haujakamilikaTuongeze picha,vipi warembo uko,wapo wa kutosha?
Hahhaaa hakuna sehemu imepoa kibiashara Kama Simiyu sijui bariadi. Chaa! Watu mazoba balaa🤭🤭Sasa bariadi au lamadi na mayote wapi na wapi?, Wewe baki huko uchunge ng'ombe tu
Kutoka zenji sijui,ila kutokea dar kwa meli laki mbili mpaka laki ,ukielewa na agent vizuri ata bure unaweza pakia ukiwa na connection.kwa ndege laki Saba mpaka milioni 1 go and return,nauli huwa zinabadilika badilikamkuu,gharama za zenji mpaka Comoro zimekaaje ?
Kutoka zenji sijui,ila kutokea dar kwa meli laki mbili mpaka laki ,ukielewa na agent vizuri ata bure unaweza pakia ukiwa na connection.kwa ndege laki Saba mpaka milioni 1 go and return,nauli huwa zinabadilika badilika
Hii nayo ni sehemu ya Tanzania..?
Ulikuwa mwenyeji hpo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani acha kabisa
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Ningekuwepo mpk wkt we upo Ungekuwa unaniwekea dhamana tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani acha kabisa
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂umeamza dharau za sivanHahhaaa hajuna sehemu imepoa kibiashara Kama simiyu sijui bariadi.chaa! Watu mazoba balaa🤭🤭
Kwaiyo wale wa chap chap hakuna 😀😀😀😀Kuna ushirikina huko balaa,hata ukiwa na shida na mwanamke hupati labda utoke nae Dar
taften madanga yenye hela yawapeleke hukiDah...Kuna some places nzuri hata Kama una stress zinakata kabisa!kwakweli dah[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]!
Dilek njoo hapa...
Jana waliitangazia wapi? Usikute Harmonize pale ndo alikua anatangaza utalii Mafia. Dogo kadondokea msambwanda aibuuuuNadhani wametangaza. Nimewahi ona
Hata Jana walikua wanaitangaza mafia
Ahahahahaha wee jamaaKwa walioko Simiyu nendeni kutalii Chato, kwenye mbuga mpya zile.
Gharama lodge kule ni kubwa, kama hauna pakufikia hiyo laki nane hautoboi hata wiki, ushauri kwa hiyo laki nane, nenda na hata gunia nne za vitunguu, hapo utauzia hapo hapo bandarini ukiwa unashuka, watavigombania na utapata faida kubwa, ule bata ukimaliza beba pweza au simu rudi nazo kuuza bongo, usirudi mikono mitupu. Napo utapata faida nzuri. Kwa hiyo unakula Bata na kupata faidaahsante mkuu,huwa natamani kwenda Morocco gharama zimenishinda ,ila kwakua umenambia Comoro ni cheap hivo,nitaandaa laki 8 hivi nadhani itatosha kwenda na kurudi pamoja na accommodations nikiwa huko.
Warembo wachache, kila mtu anawatolea macho.... UKIMWI umestawi kiasi chake.Tuongeze picha,vipi warembo uko,wapo wa kutosha?
Hahaha haha...Ningekuwepo mpk wkt we upo Ungekuwa unaniwekea dhamana tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Zaidi ya mwenyeji... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulikuwa mwenyeji hpo[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova