Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

ila mishe za baharini ukiziotea zina mpunga mrefu sana

Sema m na jeuri yote siziwezi sababu mi na maji ni paka na panya
Sana Kuna wakati tuliendaga Lamu, Kenya na mchina wangu mmoja yeye alikuwa na ofisi Kino hombos kule, tulikaa kama wiki 3 ah akaniambia Sasa
Unaonaje twende tu Somalia..... Maana huko kuna Mapezi mengi ya papa.... Dah nkamwambia hko tukienda haturudi..... Haya Maisha acha tu kma sinema tu

Ova
 
Sana Kuna wakati tuliendaga Lamu, Kenya na mchina wangu mmja yeye alikuwa na ofisi Kino hombos kule, tulikaa kama wiki 3 ah akaniambia Sasa
Unaonaje twende tu somalia..... Maana hko kna Mapezi mengi ya papa.... Dah nkamwambia hko tukienda haturudi..... Haya Maisha acha tu kma sinema tu

Ova

Umeongea habari za Lamu...Kuna mchiz anasafuru usk mzima kwa kutumia boat hizi za kilocal kwenda Lamu..ana helaaa ..Ila ndo biashara fulani ..niliogopa mie. .
 
Afu watoto wanajua pesa inapatikana kihalali
Hakuna pesa wala hakunaga jambo jepesi
Hapa Kuna Mikasa ya Iran kna Mikasa ya kwa Pele
Mikasa ya dizonga, Matukio ni mengi hata ukijawaadisia wjukuu watapata la kujifunza

Ova
 
mkishaletewa meli na Magufuli ntakuja huko...nliinjoy sana mara ya mwisho sema ule mtumbwi sio wa kupanda tena aisee
 
Back
Top Bottom