Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Nilikuwa nakusanya jongoo bahari
Na jongoo wkt ule ilikuwa haina vibali
Nliingia mafia kwa speed kubwa ya kazi
Kidume nna boti faiba 2 na engen yendura hp 15 zko 2....nlikuwa nawasumbua sana askari wa Doris hko
Sema kituo changu kilikuwa jibondo, jibondo mwenyew nilipabatiza Jina Jamaica, hko hakuna kwere wkt ule huko serikali haifiki mnafanya lolote
Basi Kaz kaz, Kuna askari mmoja wa doria anaitwa abdala kifua alikuwa maarufu huko na mbabe
Ila mziki huu alizima fegi.... Nlikamiwa sana
Sema nlikuwa Naishi double impact [emoji23][emoji23][emoji23]
Huwez nipata kiboya
Za mwiz arobaini nkanasa kwenye operation ilifanyika hko hyo mpaka jeshi navy Ndani ndy tukangolewaaa.... Nkasota wiiki 3 ndan hko
Nkafanya michezo kesi ikahamishiwa dar nkachomokaa
Ila niilipoteza kila kitu ilaa freshhhhh.... Maisha yaliendeleaaa

Ova
Mrangi kumbe wewe mpambanaji?
Pole bna
As long upo hai utarudisha mara mia
 
Ushawahi kupanda jahazi lkn

Ova
Hawezi panda
FB_IMG_15988071667852981.jpg
 
Nilikuwa nakusanya jongoo bahari
Na jongoo wkt ule ilikuwa haina vibali
Nliingia mafia kwa speed kubwa ya kazi
Kidume nna boti faiba 2 na engen yendura hp 15 zko 2....nlikuwa nawasumbua sana askari wa Doris hko
Sema kituo changu kilikuwa jibondo, jibondo mwenyew nilipabatiza Jina Jamaica, hko hakuna kwere wkt ule huko serikali haifiki mnafanya lolote
Basi Kaz kaz, Kuna askari mmoja wa doria anaitwa abdala kifua alikuwa maarufu huko na mbabe
Ila mziki huu alizima fegi.... Nlikamiwa sana
Sema nlikuwa Naishi double impact [emoji23][emoji23][emoji23]
Huwez nipata kiboya
Za mwiz arobaini nkanasa kwenye operation ilifanyika hko hyo mpaka jeshi navy Ndani ndy tukangolewaaa.... Nkasota wiiki 3 ndan hko
Nkafanya michezo kesi ikahamishiwa dar nkachomokaa
Ila niilipoteza kila kitu ilaa freshhhhh.... Maisha yaliendeleaaa

Ova
😂😂😂kweli kamanda hauwawi

Hiyo mizigo ulikuwa unauza wapi mkuu
 
jamaa kasema ukatalii sio ukaone warembo

Kama unataka warembo nenda corner bar sinza
Haujui pia warembo ni kivutio cha watalii,duh,Kuna nchi inaongoza kwa wanaume wenye mihogo,na watalii wakizungu wanajazana kibao,fuatilia huo Uzi upo apa jf
 
Back
Top Bottom