Nyumbu 20 waangushwa kuwanasa Wahadzabe kuhesabiwa

Nyumbu 20 waangushwa kuwanasa Wahadzabe kuhesabiwa

mie mewaza kiafya kubeba wale wanyama kwenye lori kwa namna ile ni sawa? pia hata walivyowekwa hapo chini hivyo.

Ingalikuwa vyema kuwachukua wazee na vijana wa kabila hilo, kwenda nao sehemu walipowinda na kila anayeuliwa anatolewa ngozi na kuwaandaa vizuri
Usiwe na wasiwasi mkuu,hicho kitoweo kiko safi kabisa Wahadzabe wanakulaga mizoga bila hata wasiwasi kwa makumi ya maelfu ya miaka.
 
View attachment 2331714Na John Walter-Manyara

Serikali ya Tanzania imetoa wanyamapori 20 aina ya Nyumbu kwa jamii ya Wahadzabe ikiwa ni sehemu ya takwa lao ili wawe tayari kushiriki zoezi la Sensa linaloanza usiku wa kuamkia Agosti 23 hadi Agosti 31 mwaka huu.

Sensa ya mwaka huu inafanyika kwa mara ya sita ambapo hufanyika kila baada ya miaka kumi.

Jamii ya Wahadzabe ni miongoni mwa makabila machache nchini Tanzania yanayoendeleza mila na desturi wakiishi Zaidi kwa kutumia uwindaji na kuokota matunda ambapo katika matukio muhimu ya serikali hulazimika kutumia mbinu mbadala ili kuweza kuwaweka pamoja na kuhudumiwa.

Mkuu wa mkoa wa Manyara Charles Makongoro Nyerere akikabidhi nyama hiyo kwa Wahadzabe katika kijiji cha Mongowa Mono amesema serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kupata idadi kamili ya wananchi wote katika maeneo yote nchini ili kuweza kupeleka huduma za kijamii kulingana na idadi ya watu.

Hata hivyo jamii hiyo ya wawindaji licha ya kuishukuru serikali kwa kuwapatia nyama hiyo,wameiomba serikali iwapatie ndege aina ya Mbuni kwa madai kuwa wanatumia Manyoya yake kwa ajili ya dawa na matambiko yao.

Kwa kuonyesha kufurahishwa kwao,Wahadzabe hao wamempa zawadi ya asali lita 20 mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere na lita 10 mkuu wa wilaya ya Mbulu Sezaria Makotha.
Mbona matakwa yao mengine umeruka? Ili ufanikiwe kuwashawishi Wahadzabe shurti uwape nya ya nyani na bangi.

Pengine mnaogopa kuripoti kwa kuwa itaonekana Serikali imehalalisha uvutaji bangi
 
View attachment 2331714Na John Walter-Manyara

Serikali ya Tanzania imetoa wanyamapori 20 aina ya Nyumbu kwa jamii ya Wahadzabe ikiwa ni sehemu ya takwa lao ili wawe tayari kushiriki zoezi la Sensa linaloanza usiku wa kuamkia Agosti 23 hadi Agosti 31 mwaka huu.

Sensa ya mwaka huu inafanyika kwa mara ya sita ambapo hufanyika kila baada ya miaka kumi.

Jamii ya Wahadzabe ni miongoni mwa makabila machache nchini Tanzania yanayoendeleza mila na desturi wakiishi Zaidi kwa kutumia uwindaji na kuokota matunda ambapo katika matukio muhimu ya serikali hulazimika kutumia mbinu mbadala ili kuweza kuwaweka pamoja na kuhudumiwa.

Mkuu wa mkoa wa Manyara Charles Makongoro Nyerere akikabidhi nyama hiyo kwa Wahadzabe katika kijiji cha Mongowa Mono amesema serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kupata idadi kamili ya wananchi wote katika maeneo yote nchini ili kuweza kupeleka huduma za kijamii kulingana na idadi ya watu.

Hata hivyo jamii hiyo ya wawindaji licha ya kuishukuru serikali kwa kuwapatia nyama hiyo,wameiomba serikali iwapatie ndege aina ya Mbuni kwa madai kuwa wanatumia Manyoya yake kwa ajili ya dawa na matambiko yao.

Kwa kuonyesha kufurahishwa kwao,Wahadzabe hao wamempa zawadi ya asali lita 20 mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere na lita 10 mkuu wa wilaya ya Mbulu Sezaria Makotha.
Mbona matakwa yao mengine umeruka? Ili ufanikiwe kuwashawishi Wahadzabe shurti uwape nya ya nyani na bangi.

Pengine mnaogopa kuripoti kwa kuwa itaonekana Serikali imehalalisha uvutaji bangi
 
Mbona matakwa yao mengine umeruka? Ili ufanikiwe kuwashawishi Wahadzabe shurti uwape nya ya nyani na bangi.

Pengine mnaogopa kuripoti kwa kuwa itaonekana Serikali imehalalisha uvutaji bangi
Alieripoti hii habari kuna taarifa ameziruka,sijajua amefanya hivyo kwa maslahi ya nan?,wahadzabe bangi kwao ndio kipaumbele

"Pengine mnaogopa kuripoti kwa kuwa itaonekana Serikali imehalalisha uvutaji bangi"
 
Fa1arBbWIAIEK8l.jpg

Serikali ya Tanzania imetoa wanyamapori 20 aina ya Nyumbu kwa jamii ya Wahadzabe ikiwa ni sehemu ya takwa lao ili wawe tayari kushiriki zoezi la Sensa linaloanza usiku wa kuamkia Agosti 23 hadi Agosti 31 mwaka huu

Pia wamempongeza Rais Samia kwa filamu ya Tanzania Royal Tour ambayo imechochea ongezeko la Watalii,ambapo na wao wananufaika.

Leo ni ile siku tuliyokua tunaisubiri kwa hamu tupate idadi yetu watanzania wote ili tuletewe maendeleo kulingana na idadi zetu sensa ni kwa maendeleo ya jamii jitokeze kuhesabiwa
 
View attachment 2332294
Serikali ya Tanzania imetoa wanyamapori 20 aina ya Nyumbu kwa jamii ya Wahadzabe ikiwa ni sehemu ya takwa lao ili wawe tayari kushiriki zoezi la Sensa linaloanza usiku wa kuamkia Agosti 23 hadi Agosti 31 mwaka huu

Pia wamempongeza Rais Samia kwa filamu ya Tanzania Royal Tour ambayo imechochea ongezeko la Watalii,ambapo na wao wananufaika.

Leo ni ile siku tuliyokua tunaisubiri kwa hamu tupate idadi yetu watanzania wote ili tuletewe maendeleo kulingana na idadi zetu sensa ni kwa maendeleo ya jamii jitokeze kuhesabiwa
Matumizi mabaya ya rasilimali.
 
Sio matumizi mabaya tunatofautiana imani kama unavyowaona bado wanazama za kale kwaiyo wamefanya ivo ili kuwakusanya pamoja Serikali ya awamu ya sita haitumii nguvu inatumia akili
Akili za kifisadi hizo kama miundo mbinu kwao ingekuwa mizuri hakuna mtu ambaye angebaki na zama za kale.
 
View attachment 2331714

Na John Walter-Manyara

Serikali ya Tanzania imetoa wanyamapori 20 aina ya Nyumbu kwa jamii ya Wahadzabe ikiwa ni sehemu ya takwa lao ili wawe tayari kushiriki zoezi la Sensa linaloanza usiku wa kuamkia Agosti 23 hadi Agosti 31 mwaka huu.

Sensa ya mwaka huu inafanyika kwa mara ya sita ambapo hufanyika kila baada ya miaka kumi.

Jamii ya Wahadzabe ni miongoni mwa makabila machache nchini Tanzania yanayoendeleza mila na desturi wakiishi Zaidi kwa kutumia uwindaji na kuokota matunda ambapo katika matukio muhimu ya serikali hulazimika kutumia mbinu mbadala ili kuweza kuwaweka pamoja na kuhudumiwa.

Mkuu wa mkoa wa Manyara Charles Makongoro Nyerere akikabidhi nyama hiyo kwa Wahadzabe katika kijiji cha Mongowa Mono amesema serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kupata idadi kamili ya wananchi wote katika maeneo yote nchini ili kuweza kupeleka huduma za kijamii kulingana na idadi ya watu.

Hata hivyo jamii hiyo ya wawindaji licha ya kuishukuru serikali kwa kuwapatia nyama hiyo,wameiomba serikali iwapatie ndege aina ya Mbuni kwa madai kuwa wanatumia Manyoya yake kwa ajili ya dawa na matambiko yao.

Kwa kuonyesha kufurahishwa kwao, Wahadzabe hao wamempa zawadi ya asali lita 20 mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere na lita 10 mkuu wa wilaya ya Mbulu Sezaria Makotha.
Nasikiaga wakilaga nyama wanapigaga na sigara KUBWA....
 
Back
Top Bottom