Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Sensa iliyopita walihesabiwa Tena,hakuna huduma wamepataNi sababu moja wapo ya sensa ili wajue wapo wangapi wawapelekee mahitaji muhimu waanze kuishi kisasa kama wamasai uko msomera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sensa iliyopita walihesabiwa Tena,hakuna huduma wamepataNi sababu moja wapo ya sensa ili wajue wapo wangapi wawapelekee mahitaji muhimu waanze kuishi kisasa kama wamasai uko msomera
Huu ni utawala mwingine kwaiyo lazima maendeleo wapelekewe hiyo ndo faida moja wapo ya kuhesabiwaAkili za kifisadi hizo kama miundo mbinu kwao ingekuwa mizuri hakuna mtu ambaye angebaki na zama za kale.
Huu ni utawala mwingine wa Rais Samia Sauluhu Rais mwenye maono makubwa baada tya sensa kila sehemu isio kua na maendeleo lazima ipelekewe kulingana na idadi yaoSensa iliyopita walihesabiwa Tena,hakuna huduma wamepata
Hakuna kitu kama icho Rais Samia Suluhu ametuelekeza na tumeelewa sizani kama kuna mtanzania hataki kuhesabiwaHuku kwingine ukitadai hivyo unaambiwa jela miaka miwili
Tuwekeeni basi hizo pichamie mewaza kiafya kubeba wale wanyama kwenye lori kwa namna ile ni sawa? pia hata walivyowekwa hapo chini hivyo.
Ingalikuwa vyema kuwachukua wazee na vijana wa kabila hilo, kwenda nao sehemu walipowinda na kila anayeuliwa anatolewa ngozi na kuwaandaa vizuri
Tatizo watanzania kila myu ni mtaalam hao wenyewe ata kwa kuwaangalia tu maisha yao ni ya kuwinda kwaiyo hizo nyama kawaida sanamie mewaza kiafya kubeba wale wanyama kwenye lori kwa namna ile ni sawa? pia hata walivyowekwa hapo chini hivyo.
Ingalikuwa vyema kuwachukua wazee na vijana wa kabila hilo, kwenda nao sehemu walipowinda na kila anayeuliwa anatolewa ngozi na kuwaandaa vizuri
Kuna mwaka hivi karibuni waliomba serikali msaada wa sigara kubwa kama tani 2 ambazo watatumia kwa kipindi cha mwaka mmojaNasikiaga wakilaga nyama wanapigaga na sigara KUBWA....
Mie nipo nimekaa chini ya mti huku nasoma kitabu cha Ngoswehahahha wambie wafanye kazi iliyowaleta
Za nyumbu ama manyumbu?Tuwekeeni basi hizo picha
Sehemu zingine wamepelekewa?Huu ni utawala mwingine kwaiyo lazima maendeleo wapelekewe hiyo ndo faida moja wapo ya kuhesabiwa
Ahahaha na. Ss tungeweka shart la kuondoa moja ya tozo zizazokera ili tuhesabiweHao jamaa siyo sensa hii tu. Hata Ile iliyopita ya mwaka 2012 pia waliweka sharti hilo hilo la kupewa nyama pori ili wahesabiwe. Ni kama vile Kila ikitokea shughuli ya serikali inayo wahusu wao pia ni lazima waweke sharti hilo ili washiriki.
Wengine tumetumiwa sms 😀 kidigitali zaidi 😃Ahsante kwa taarifa na wengine watapewa nini...
Hkn kitu Kama hcho eti waandae vzr wao wanajuwa namna ya kwaandaamie mewaza kiafya kubeba wale wanyama kwenye lori kwa namna ile ni sawa? pia hata walivyowekwa hapo chini hivyo.
Ingalikuwa vyema kuwachukua wazee na vijana wa kabila hilo, kwenda nao sehemu walipowinda na kila anayeuliwa anatolewa ngozi na kuwaandaa vizuri
Sas wa Kaz ganj kuwahesabuSafi sana, ila takwimu zitasema nasikia Wahadzabe wamepungua sana hawazidi 200.
Mbona wavuvi hawajapewa samaki????Wachimba madini hawajapewa dhahabu au almas???Tatizo watanzania kila myu ni mtaalam hao wenyewe ata kwa kuwaangalia tu maisha yao ni ya kuwinda kwaiyo hizo nyama kawaida sana