Nyumbu 20 waangushwa kuwanasa Wahadzabe kuhesabiwa

Nyumbu 20 waangushwa kuwanasa Wahadzabe kuhesabiwa

Sensa iliyopita walihesabiwa Tena,hakuna huduma wamepata
Huu ni utawala mwingine wa Rais Samia Sauluhu Rais mwenye maono makubwa baada tya sensa kila sehemu isio kua na maendeleo lazima ipelekewe kulingana na idadi yao
 
mie mewaza kiafya kubeba wale wanyama kwenye lori kwa namna ile ni sawa? pia hata walivyowekwa hapo chini hivyo.

Ingalikuwa vyema kuwachukua wazee na vijana wa kabila hilo, kwenda nao sehemu walipowinda na kila anayeuliwa anatolewa ngozi na kuwaandaa vizuri
Tuwekeeni basi hizo picha
 
mie mewaza kiafya kubeba wale wanyama kwenye lori kwa namna ile ni sawa? pia hata walivyowekwa hapo chini hivyo.

Ingalikuwa vyema kuwachukua wazee na vijana wa kabila hilo, kwenda nao sehemu walipowinda na kila anayeuliwa anatolewa ngozi na kuwaandaa vizuri
Tatizo watanzania kila myu ni mtaalam hao wenyewe ata kwa kuwaangalia tu maisha yao ni ya kuwinda kwaiyo hizo nyama kawaida sana
 
Hao jamaa siyo sensa hii tu. Hata Ile iliyopita ya mwaka 2012 pia waliweka sharti hilo hilo la kupewa nyama pori ili wahesabiwe. Ni kama vile Kila ikitokea shughuli ya serikali inayo wahusu wao pia ni lazima waweke sharti hilo ili washiriki.
Ahahaha na. Ss tungeweka shart la kuondoa moja ya tozo zizazokera ili tuhesabiwe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
mie mewaza kiafya kubeba wale wanyama kwenye lori kwa namna ile ni sawa? pia hata walivyowekwa hapo chini hivyo.

Ingalikuwa vyema kuwachukua wazee na vijana wa kabila hilo, kwenda nao sehemu walipowinda na kila anayeuliwa anatolewa ngozi na kuwaandaa vizuri
Hkn kitu Kama hcho eti waandae vzr wao wanajuwa namna ya kwaandaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo watanzania kila myu ni mtaalam hao wenyewe ata kwa kuwaangalia tu maisha yao ni ya kuwinda kwaiyo hizo nyama kawaida sana
Mbona wavuvi hawajapewa samaki????Wachimba madini hawajapewa dhahabu au almas???
 
Back
Top Bottom