Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Hiyo ni uhakika ni yeye ameingia hapa mtaani tangia juzi na Leo ameonekana neio maana nikaleta huu Uzi na najua utafutwaMkuu, umethibitshaje wewe binafsi isije ikawa rumours tu alafu ukaja kuzua taharuki huku JF
Nchi Ina mamboNdo mambo ya nchi hii
Kama huna uthibitisho ni sahihi admins waki delete hii threadHiyo ni uhakika ni yeye ameingia hapa mtaani tangia juzi na Leo ameonekana neio maana nikaleta huu Uzi na najua utafutwa
Ameshakanyaga huyo mmoja ambaye alikua maarufu sana ni jirani yetu huku ngoja nikipata kukutana nae tena nitampiga picha Ili umuone vizuriNa-kuhakikishia wale wendawazimu hawatakaa wakanyage uraiani.
Unataka uthibitisho Gani kama huniamini basi Mimi silipwi hivyo hata wakidelete ni hiari yao hawanipunguzii kituKama huna uthibitisho ni sahihi admins waki delete hii thread
Ngoja nikikutana nae nitampiga mkuuPicha tafadhali Nyundo akiwa uraiani 🤔
Hata mimi nilijua tu itakuwa hivoTanzania ni moja kati ya nchi ambayo ukiwa askari ni utaogopwa sana.
Inasemekana mmoja wa wale waliohukumiwa maisha jela kosa kosa la kubaka na kumlawiti binti wa yombo, maarufu Nyundo yupo uraiani tangia juzi!
Kama ni kweli, hii inaonesha kuna janjajanja zimefanyika.
Ngoja nikikutana nae nitampiga mkuu now nipo jobTafuta ushahidi wa picha uweke
Ni hatariHata mimi nilijua tu itakuwa hivo
Watu wanabisha ngoja nikitoka job nikimuona tena nitampiga pichaNi taarifa nzito sana hizi 🤔🫣, zisipuuzwe
Sio rahisi hivyo msichukulie baadhi ya issue simple..Tanzania ni moja kati ya nchi ambayo ukiwa askari ni utaogopwa sana.
Inasemekana mmoja wa wale waliohukumiwa maisha jela kosa kosa la kubaka na kumlawiti binti wa yombo, maarufu Nyundo yupo uraiani tangia juzi!
Kama ni kweli, hii inaonesha kuna janjajanja zimefanyika.
Imeshakua rahisi yupo uraianiSio rahisi hivyo msichukulie baadhi ya issue simple..