Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Tanzania ni moja kati ya nchi ambayo ukiwa askari ni utaogopwa sana.
Inasemekana mmoja wa wale waliohukumiwa maisha jela kosa kosa la kubaka na kumlawiti binti wa yombo, maarufu Nyundo yupo uraiani tangia juzi!
Kama ni kweli, hii inaonesha kuna janjajanja zimefanyika.
Kwa kuwa taarifa uliyo toazinaweza kuleta mtafaruku kwenye jamii, nafikiri ungepata kwanza ushahidi ndio upost;
Si unajua kizazi hiki, chochote kinacho andikiwa wao wana dandia na kuhukumu.