Yuko huru kuongea chochote mradi hakuvunja sheria, ni maoni yake katoa, vinginevyo hayo maoni uliyompa ungeanza wewe kuyafanyia kazi....sio lazima uwe unazipitia mkuu kuna majukwaa mengi sana jf, sio chitchat peke yake kama hizo zinakukera soma nyengine mkuu
Za asubuhi? Habari ni Aung na Trump leo kila kona. Uliisikiliza speech yake? Kama vichaa yule angekuja apelekwe Mirembe. Mugabe alibaki ameinama naona aliogopa kutajwa kama wenzie.JF ni kapu la kila mtu. Kuna wengine tunashinda humu kujua kinachotokea duniani na hali ya nyumbani. Kuna wengine wanaingia kuondoa stress, kuna ambao wanapenda kutoa nyuzi za kuudhi na kuna hao wanaohitaji likes. You can not impress every person. Hata mimi nikiandika kuna watu wakishaona jina langu wana ignore sababu wanaona ninachoandika hakina maana. Wapo wanaonifuatilia kama ninavyofuatilia wengine. Swali, likes huwa zinakuwa na faida gani bila tija kwenye ubongo wa msomaji?
Hizo nyuzi ni namna ya kupunguza stress joh, japo bongo bahat mbaya ila tuvunge kwa hzo nyuzSasa mkuu badala ya kudiscuss mustakabadhi wa nchi yetu tunadiscuss namna ya kupeana likes au wa mwisho ndo mshindi??![emoji32][emoji32][emoji32].......hii ni haki kweli???
kula like yangu mkuu unatuwakilisha vizuri sana TEAM LIKESKula likesssssssss.
Post chochote kasoro matusi au picha chafu upate likessssssssss
Toa upewe likessssssssssss
maoni niliyompa binafsi nayafanyia kaz kama ulivyosema yuko huru kusema chochote basi hata me niko huru kuchangia nachotaka usinipangie!Yuko huru kuongea chochote mradi hakuvunja sheria, ni maoni yake katoa, vinginevyo hayo maoni uliyompa ungeanza wewe kuyafanyia kazi....
Umesahau CHAPUTA1. Makapuku Forum
2. Wamwisho ndiyo mshindi
3. Uzi wa kupeana likes
4.......ongeza wakwako.
4. Nyuzi 3 ninazochukia hapa JF. Hii nayo siipendi1. Makapuku Forum
2. Wamwisho ndiyo mshindi
3. Uzi wa kupeana likes
4.......ongeza wakwako.
HahahaaaaUmesahau CHAPUTA
...hahahahaha..inaelekea ulikuwa mbaya sana kwenye kutunga sentensi!Utakula "LIKES" nyingi hadi ushangae
Kwasababu MAKAPUKU ndo huwa WAMWISHO KUSHINDA
Na kwanini unaichukia makapuku?!Sasa mkuu badala ya kudiscuss mustakabadhi wa nchi yetu tunadiscuss namna ya kupeana likes au wa mwisho ndo mshindi??![emoji32][emoji32][emoji32].......hii ni haki kweli???
[emoji1] [emoji1] [emoji1]2,3 cjui hao watu hua wanajadili
Nn huko ndan Bora tena makapuku
[emoji8] [emoji8] upo[emoji1] [emoji1] [emoji1]
mpaka kwanza uniambie chura ipo au laa ndo nitakuambia kwa nini naichukia sana makapuku forum!![emoji1][emoji1][emoji1]Na kwanini unaichukia makapuku?!
Kama unachuki vaa miwani usione gere.1. Makapuku Forum
2. Wamwisho ndiyo mshindi
3. Uzi wa kupeana likes
4.......ongeza wakwako.