Nyuzi bomba 2017 kutoka kila Jukwaa & JF man of the year

Nyuzi bomba 2017 kutoka kila Jukwaa & JF man of the year

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
Mwaka ndo huo umeisha, zifuatazo ni thread bomba, mwana jf bora kutuka kila jukwaa.

First of all. Tuwakumbuke wana Jf wenzetu tuliowapoteza mwaka huu Dena Amsi & ibra87.

Threads bomba za mwaka hizi hapa..

*JUKWAA LA HISTORIA.
Uzi wa..
"Utata wa kifo cha Dkt. Omar Ally Juma" By billy

The man of Forum ni
Mohamed Said
MJUKUU WA CHIFU

*Jukwaa la Jamii intelligence
Uzi wa..
"Utata wa kifo cha Raisi JF kenenedy"
"September 11B Behind the Curtain "
By The bold

"Miaka 500 tangu Martin Luther kuanzisha vurugu la injili ya kweli na hatma ya Ukristo"
By ChoiceVariable
The man of forum are..
The bold
SALA NA KAZI
Otorong'ong'o
Eiyer
Kitaja

*JUKWA LA HABARI NA HOJA MCHANGANYIKO
Uzi wa...
"Kwanini wanausala wa taifa hawapendi Watoto zao wawe wanausalama?
By GENTAMYCINE

*KILIMO UVUVI NA UFUGAJI
Man of Forum is @Chasha poultryfarm

*JUKWAA LA BIASHARA NA UCHUILMI
Nyuzi bora ni..
"The Interview:Ontario umaarufu, biashara na utajiri"
By Daby
"Forex biashara ambayo hakuna benki watataja uijue"
By ONTARIO
"Jinsi nilivyo tengeneza faida ya 3 mil kwa mwezi kwamtaji wa laki tano"
Mtoa mada nimemsahau.

JUKWAA LA DINI
"Je papa ndio mpinga kristo?"
By Eiyer
Wanajukwaa bora wa jukwaa la dini ni..?
Ushuhuda wa Injili
Jasho La Kuku

*JUKWAA LA SHERIA
Uzi bora ni
"Legal Documents "
By Dragoon
Wanajukwaa bora nii
PETRO E Mselewa
Dragoon

JUKWAA LA UREMBO NA UTANASHATI
Threads bomba ni..
"Tengeneza mkono wa nyuma na mbele Gym kwa kufanya haya"
Unataka tumbo flat na six pack fanya haya"
"Siku ya kwanza kuingia Gym fanya hivi"
Both threads by Castr
"Unajipaka mafuta gani mwilini? "
By Miss Natafuta

*JUKWAA LA JAMII PHOTO
"Vituko duniani "
"Vutuko mitandaoni, Tupia chakwako"
"Una picha za wahenga tupia hapa"

Both by mshana jr
"Uzi maalumu wa demu picha ya demu yoyote mkali"
By Kakakiiza
"Aisee facebook kuna vituko"
By Numbisa
"Uzi wa picha za zamani"
By Amavubi

Mans of forum are..
mshana jr
Pastor Achachanda
Amavubi
Numbisa
donlucchese

*JUKWAA LA LOVE CONNECT
Tuzo inaenda kwa kihuba & @Monbar
Wamelitumia sana mwaka huu nawaombea wafanikiwe.

*JUKWAA LA KULE CHINI MWISHO KABISA
Tuzo inaenda kwa @Jestikilla
Ambiele Kiviele
Nokia83
Jambazi

JUKWAA LA KENYA NEWS POLITICS
Uzi bora ni..
"Battle. Dar es salasm vs Naironlbi
By Annael
Wana jukwaa bora nii
ichoboy01
Annael
mk24
@COLLOH_MZII RELOAD
Jay456watt
kadoda11

*JUKWAA LA MMU
nyuzi bora ni. .
"Sehem mbaya uliyowahi kufanya mapenzi"
By Antonio de Guzman

"Uzi wa makundi ya wanawake Watsapp"
By @SODUKU

Wanajukwaa bora niii...
GuDume
Sexless
@Vilardmirovich putin

JUKWAA LA JOKES UTANI AND GOSSIPSS
"kama una stress pita hapa, usiache kutupia nawewe maneno yako"
by Freyzem
"Misemo juu ya vichwa vya Treni"

Man of the forum
Red Scorpion

*JUKWAA LA CHIT CHAT
"je ulishawahi kuaibika kwenye mazingira mabaya..?
By Daby
"Uzi maalum wa kupeana likes, comment chochote upate likes"
Jembekillo
"Makapuku Forum
By @Baily5
"Biashara za badoo"
By Kazwala mkuu

"Stress free zone "
By Linamo

"Vioja, mara ya kwanza kupanda ndege" by clasi

"Jf Usiku wa manane"
By No Escape

Mwana forum bora ni mende msafi Beira Baby Boy na DJ Sepetu aka Muosha rungu.

*JUKWAALA JF STORE
"Download Links: Kdrama, monvies, Tv shows others "
By EMPTY

JUKWAA LA JF DOCTOR
"Tengeneza natural viagra nyumbani" by STUNTER
"Fanya uume wako uwe na nguvu ya kurudia tendo Maranyingi"
By Vladimirovich Putin

*JUKWAA LA JF CHEF
"Uzi wa chakula"
By mshana jr

*JUKWAA LA UTAMBULISHO
"Another bosslady in the house"
By Husna the boslady aka Erick_Otieno

Member bira hapa ni ukhuty na Watu8

Most famous Members in Jf are..
Joseverest
GuDume
ONTARIO
The bold

Ikipendeza waweza kuongeza
 
Kuna ule uzi unasema "uzi maalum wa kupeana likes"
Kama hujauweka kwenye orodha yako basi acha niamini ni kwa bahati mbaya tuvinginevyo edit thread yako.
 
Usiposifiwa inabidi ujisifie. Nimeandika thread ambayo imebadili kitu kikubwa ambacho kingeleta usumbufu kwa watu wengi nchi nzima.
Kuna taasisi ilitaka kuleta utaratibu wa kupima emissions za magari. Siku naleta hio thread ilibaki siku chache sana waanze kukamata magari.
Kwa uzoefu wangu niligundua mapungufu kwenye hilo zoezi na nilijua 90% au zaidi magari yaliyopo Tz yatashindwa hivyo vipimo, nikaandika hio thread humu JF.
Thread hio ikafika kwenye group za whatsapp moja ya groups hizo ni la wasomi ambao waliona mantiki kwenye nilichoandika waka argue kisomi.
Lile zoezi likasitishwa mpaka leo.
Bila mimi kuandika ile thread leo tungekuwa tunaongea mengine.
Najipongeza kuandika thread ambayo imeepusha usumbufu kwa mamilioni ya watu.
 
Uzi wangu bora ni battle la dar vs Nairobi
Yaani ni Uzi unaozungumzia mambo mengi Kwa wakati mmoja
Kama:uchumi
Siasa
Elimu
Biashara
Utamaduni
Utani(jokes)
Picha(photos)
Big up to all member wa thread ile
Cc:annael
Kadoda 11
Ichoboy
Colomz
Brietz krieg
Lewis254
Lingatkipro
Mwaswast
Jayphat456
Nairobi walker
Hydrogen
Edward wanjala
Titcomb
Joto la jiwe
Motochini
Geza ulole
Zuwenna
Evart
Aganza
Ndinda
Tuusan
Mombasa254
1academy
Na wengine wote wanamtanange [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Hongera mtoa mada. Umechambua vizuri. Namuona The Bold kwenye list. Jamaa anajua, anavitu adimu sana. Ukisoma utadhani unaangalia movie flani. Hongera kwake.
 
Back
Top Bottom