100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Hizi nyuzi za namna hii zimekuwa nyingi sana, ni muda mrefu sasa lakini this time imekua too much. je umekutana na nyuzi za namna hii au zinazorandana na hizi za kusifu na kuabudu ujinga?
Tanzania yawa nchi ya mfano Africa.....blah... blah.... blah....
Walivyo waongo sasa siku treni zikianza kufanya kazi na tatizo la umeme kupungua kitu ambacho ni ujinga kujisifu kwa nchi yenye umri wa miaka 61... utasikia
Tanzania yashika nafasi ya pili duniani kutokomeza tatizo la umeme
Siku treni zikianza kufanya kazi maroboti yatakuja tena hapa, yashasetiwa
Tanzania nchi ya kwanza Africa kumiliki treni zenye AC na nchi ya 5 duniani. 😂🤣
Baada ya popoma hao kuanzisha uzi, wanafuata chawa sasa wazee wa kusifu.. hapo utasikia, Hakuna kama mama, nani kama mamaaa!!. chawa jingine linafuatia na kumreply chawa namba 1 hakunaaaa
Hizo nyuzi tumechoka mazeee.... Hivi why mnatumia nguvu sana kufanya kampeni..
Mnachokosea ni kwamba, wananchi wanataka kuona kazi, watu wanataka kuona vitendo dhidi ya maneno, habari za jarida la forbes sijui limeenda likarudi likakusanya takwimu watu hawataki hizo habari.
Nasubiri maroboti yaliyoprogramiwa kuwaita watu Sukuma Gang yaje.....
Tanzania yawa nchi ya mfano Africa.....blah... blah.... blah....
Tanzania Yashika Namba 4 Kati ya Nchi 10 Zenye Uchumi Imara 2022
Tanzania yatajwa kuwa Nchi Bora ya Kufanya Uwekezaji na Biashara Afrika, yashika namba 11
Tanzania yavunja rekodi kwa kupata watalii wengi .....blah....blah....Walivyo waongo sasa siku treni zikianza kufanya kazi na tatizo la umeme kupungua kitu ambacho ni ujinga kujisifu kwa nchi yenye umri wa miaka 61... utasikia
Tanzania yashika nafasi ya pili duniani kutokomeza tatizo la umeme
Siku treni zikianza kufanya kazi maroboti yatakuja tena hapa, yashasetiwa
Tanzania nchi ya kwanza Africa kumiliki treni zenye AC na nchi ya 5 duniani. 😂🤣
Baada ya popoma hao kuanzisha uzi, wanafuata chawa sasa wazee wa kusifu.. hapo utasikia, Hakuna kama mama, nani kama mamaaa!!. chawa jingine linafuatia na kumreply chawa namba 1 hakunaaaa
Hizo nyuzi tumechoka mazeee.... Hivi why mnatumia nguvu sana kufanya kampeni..
Mnachokosea ni kwamba, wananchi wanataka kuona kazi, watu wanataka kuona vitendo dhidi ya maneno, habari za jarida la forbes sijui limeenda likarudi likakusanya takwimu watu hawataki hizo habari.
Nasubiri maroboti yaliyoprogramiwa kuwaita watu Sukuma Gang yaje.....