Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nmeelewa mkuuUmeuelewa uzi kweli mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmeelewa mkuuUmeuelewa uzi kweli mkuu
Chap tu shwaaah!Ukitaka wazifute au kuzimute we sema serikali ya ccm au ukweli kuhusu JF
Kubeti,umbeya,pondea mtu aliyefanikiwa ama ongea kuwa akafilisika,jisifie kuwa umehaso ulipitia shida mno,na zingine ongezea ambazo jamii inatekwa nazo,labda mpira,ccm vss chademaUkitaka uzi ukimbie sana humu jf
Uwe na content za ngono
Mahusiano
Udini.
Utafiti wako umeenda shule 😀Watanzania wengi wanaume mada zao pendwa ni kugegeda(kula Mbususu), kubishana mpira hasa simba na yanga na mada za kumwagilia moyo.
Watanzania wengi wanawake mada zao pendwa ni fasheni mbalimbali, wasanii mbalimbali, waigizaji na wanamuziki.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Yale yale yaliyopo kwa ground ndio yapo humuHili nakubali kwa kufake maisha wabongo tupo vizuri
Kwa asilimia kubwa yapo hii ndio jamii yetuYale yale yaliyopo kwa ground ndio yapo humu
Ila elimu wanayo tupatia CCM bila kuitafuta nje ya mfumo huu walio tuwekea chance ni kubwa kuwa mbumbumbu.Vichwa vilivyofanywa Fursa ya sisiem kamwe haviwezi kupona.
Hii ni reflection ya wafuasi toka kwa wanao waongoza.
Mule mule😀Kubeti,umbeya,pondea mtu aliyefanikiwa ama ongea kuwa akafilisika,jisifie kuwa umehaso ulipitia shida mno,na zingine ongezea ambazo jamii inatekwa nazo,labda mpira,ccm vss chadema
Kweli kabisaKwa asilimia kubwa yapo hii ndio jamii yetu
Trap ile sio elimu.Ila elimu wanayo tupatia CCM bila kuitafuta nje ya mfumo huu walio tuwekea chance ni kubwa kuwa mbumbumbu.
Ni kama ule Uzi pendwaUkitaka uzi ukimbie sana humu jf
Uwe na content za ngono
Mahusiano
Udini.
Moderators watata sanaJF ni Kijiji flani kikubwa Cha vipofu wanaoongea ukweli kuhusu maisha Yao na jamii kiujumla
Lait kama wanakijiji hao wasigekua vipofu wangekua wanaonana na kujuana baaas humu pangekua kama insta tu yaan Kila mtu ana nyumba masaki ,mbezi na mbweni
Na wanabadilisha magari Mara g wagon, Rolls-Royce,range alafu nyuma ya keyboard kumbe ni mgombania daladala kajamba nani
Na daladala za bongo zinavyojaza watu yaan utafkiri wanakimbia vita.
But all in all asante CEO kwa idea hii ya JamiiForums kuficha ID zetu Ila wakanye mods waache mahaba yaan nyuzi wanazozipenda wao ndy wanaziacha Ila za kuhusu awamu ya siksi wanafuta na ban kama kifungashio.
#plutorepublic
😂Winga ya kulia namwona Half american winga ya kushoto ni mshamba_hachekwi namwona dronedrake
JF oyeee Jf oyeee
kazi iendelee.........
Umemaliza?Bado hujatujua vizuri.Pamoja ya kwamba tunaweza kujiona ni wachache humu kulinganisha na population nzima ya taifa.
Lakini nyuzi na maoni yaliyo jaa humu ni picha halisi ya namna jamii yetu ndani ya taifa letu ilivyo.
- Ni vitu gani jamii yetu ndani ya taifa letu inapenda kwa sana ?
- Ni vitu gani jamii haipendi kujihusisha navyo ?
- Jamii inauelewa gani kuhusu masuala mbalimbali ya muhimu ?
- Jamii haina uelewa kiasi gani kuhusu masuala ya muhimu ?
- Athari ya elimu inayo tolewa hapa nchini ina dhihirika kwa kiasi gani ?
- Ni vitu gani vinavyopewa kipaumbele kwa sana ndani ya jamii ?
- Ni vitu gani visivyopewa vipaumbele na jamii ?
Maswali haya na mengi zaidi majibu yake ni picha halisi ya jamii yetu ya Kitanzania kupitia JF namna ilivyo.
Mada za machimbo au kusaka utajiri wa magumashiKubeti,umbeya,pondea mtu aliyefanikiwa ama ongea kuwa akafilisika,jisifie kuwa umehaso ulipitia shida mno,na zingine ongezea ambazo jamii inatekwa nazo,labda mpira,ccm vss chadema
Jana usiku nilitaka nikaangalie kama Kuna kimasiala mpya siku pata wasaaa...Ni kama ule Uzi pendwa
"Kula tunda kimasihara" ule Uzi unatembea sana😁
Ni vitu vingi sana vya muhimu havipo katika mfumo wetu wa elimu kwa makusudio maalumu ya CCM ndio maana majority ya Watanzania ni kama bado tupo usingiziniTrap ile sio elimu.
Huwezi amini miaka yote uliyoenda Shule ulienda kujifunza namna ya kujifunza huko huendako, so kama ulivyosema bila kuvuka mipaka Huwezi kuwa yule unayetaka.