Nyuzi zilizomo humu(JF) zinatoa picha ya jamii nzima ipoje

Ni vitu vingi sana vya muhimu havipo katika mfumo wetu wa elimu kwa makusudio maalumu ya CCM ndio maana majority ya Watanzania ni kama bado tupo usingizini
Mbatia alimkaba Koo Ndalichako. Amletee huo anao uita mtaala kile kimama bila aibu kikasema ni mkubwa mno.
Mbatia alimjibu ntaoipia hata winch ikibidi.....kwani alionekana.

Nawaangalia Hawa mafala kwa jicho baya sana.
 
Ni vitu vingi sana vya muhimu havipo katika mfumo wetu wa elimu kwa makusudio maalumu ya CCM ndio maana majority ya Watanzania ni kama bado tupo usingizini
Sio ccm Bali mazingira yetu. Uelewe waafrika hatuna hard life yaani tuna easy life mno.yaani ukiwa na alfu kumi unaweza ukaishi nayo ukala kwa msosi wa buku kwa karibia wiki.
 
Niliwshi kuandika humu yafanyike maboresho, lakini Mods hawakifurashwa kwani waliiondoa Post baada ya kudumu kwa midafupi.
 
Mbatia alimkaba Koo Ndalichako. Amletee huo anao uita mtaala kile kimama bila aibu kikasema ni mkubwa mno.
Mbatia alimjibu ntaoipia hata winch ikibidi.....kwani alionekana.

Nawaangalia Hawa mafala kwa jicho baya sana.
Wanakera sana
 
Sio ccm Bali mazingira yetu. Uelewe waafrika hatuna hard life yaani tuna easy life mno.yaani ukiwa na alfu kumi unaweza ukaishi nayo ukala kwa msosi wa buku kwa karibia wiki.
Daaah!πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…