Nywele zinavyohusishwa na roho na mapepo

Nadhani nywele ka nywele ni mila na desturi za baadhi ya makabila kuwa ikitokea function yeyote mfano msiba ni lazima unyolewe ubaki para, but haihusiani na ushirikina, mbona mimi toka nizaliwe sijawahi nyoa nywele na niko fresh.

Mmh witnessj natamani kukuona by the way haimaanishi kuwa ukizifuga kuna shida bali ni yale yasemwayo kuzihusu
 
Last edited by a moderator:
uki2pa nywele ikibebwa na ndege utakoma au ikiingia kwny mziz wa mmea
 
Labda zakwako au za kipare zangu nanyoa kipara
 
SOGHOO making mistakes is better than faking perfections, sijamuambia yoyote au sijasema popote watu wanyoe vipara

Kiongozi hebu nitag thread zako zote tangu umeanza hizi mada wa washirikina nataka nizipitie leo nipo kwenye mkesha wa JF.
 
Last edited by a moderator:
somo zuri. watu wanalalamika kunyolewa nywele usiku sababu ni hii
 
Kiongozi hebu nitag thread zako zote tangu umeanza hizi mada wa washirikina nataka nizipitie leo nipo kwenye mkesha wa JF.

Huu ufundi wa kutag huwa unanitatiza sana ndugu yangu
 
OK hebu niambie nifanyeje kurahisisha mambo tafadhali

Kama unatumia pc pale chini utaona neno tag ingiza user name za unaowataka kuwatag kwa usahihi kila baada ya jina acha space au coma na kama unatumia simu tumia kuwamention members uwatakao kama hivi mshana jr
 
Last edited by a moderator:
Kama unatumia pc pale chini utaona neno tag ingiza user name za unaowataka kuwatag kwa usahihi kila baada ya jina acha space au coma na kama unatumia simu tumia kuwamention members uwatakao kama hivi mshana jr

Nimeku cc karibia zote
 
Last edited by a moderator:
mshana jr

pia inasemekana mtu akifariki/akipatwa na mauti, kucha na nywele zinakuwa na uwezo wa kuendelea kukua.
 
Last edited by a moderator:
Hii hbr ni kweli kabisaa,kwani hata ukipita sehemu ya hatar au makaburin nywele husisumuka
 

......
Ni kutoka hapo ile nguvu ya kimungu iliyowekwa kwenye nywele za Samsoni iligeuka na kuwa nguvu ya kishetani na kufanya maangamizi makubwa, tangu hapo nywele imekuwa ni kitu kinachohusishwa na roho chafu na mapepo.
Mungu na Shetani ni kama mabinamu hapa unaniaminisha shati la Mungu likimbana anampa Shetani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…