Nywele zinavyohusishwa na roho na mapepo

Nywele zinavyohusishwa na roho na mapepo

Mim katika mila zetu mtu akifa yaani mama au Baba wanafamilia waliobaki hunyolewa kipara wote
 
Ndugu hapa umezungumza jambo la kitaalamu sana. Naenda fanya study in this, biblical and other rellated books.

Ushawahi kusikikia mganga anasema kalete kucha, nywele au nguo za muhusika?
 
Ushawahi kusikikia mganga anasema kalete kucha, nywele au nguo za muhusika?

Wapo lakini inategemea ni wachawi/wanga wa kutoka sehemu gani na wanatumia uchawi upi wa mashetani majini madogoli au ulozi?
Kwa mfano masangoma wa south wanatumia sana nywele kucha na nguo
 
Nahisi kuna ukwel ndani yake....maana inashangaza hata mtoto akizaliwa inakubidi umnyoe nywele zote....sikuwahi kupata jibu ukimuacha inakuaje

Huyu mshana jr ana tatizo........basi itabidi tunyoe nywele zote maana atakuja na story ya Brazilian wigs na weaves zina majini...................

ALLAH ASEMA MWANAMKE KUVAA NYWELE BANDIA, KUKATA NYUSI NA KUJIPAKA MANUKATO AU UZURI NI LAANA
1. Allah awakataza Wanawake kuvaa Nywele Bandia
2. Allah awakataza Wanawake kujipaka Manukato.
3. Allah awakataza Wanawake kujipodoa.

...Continue Reading HAPA






 
Nahisi kuna ukwel ndani yake....maana inashangaza hata mtoto akizaliwa inakubidi umnyoe nywele zote....sikuwahi kupata jibu ukimuacha inakuaje

Kuna mambo ya kushangaza ambayo kwasababu ileile ya kimapokeo na mazoea huwa hatuyahoji au hatuna muda wa kufuatilia na pengine tunaridhika tu na hivyo yalivyo.

Nywele hizi zetu za kichwani zinabeba siri kubwa ambayo ina mawasiliano ya moja kwa moja na kuzimu au na roho zinazotangatanga.

Hebu tujihoji haya;

- Kwanini baadhi ya imani ni marufuku na hairuhusiwi kwa mwanamke kuonyesha nywele zake hadharani?
- Kwanini mchawi/mwanga anapokamatwa hukatwa nywele zote ili kummaliza nguvu zake?
- Kwanini chizi kichaa au mwendawazimu hunyolewa nywele kama sehemu ya tiba?
- Kwanini wachawi na waganga wengi hutumia nywele kama sehemu ya uchawi/ulozi wao?

Historia ya nywele kuhusiana na roho na nguvu za kiza inaanzia mbali sana miaka elfu nyingi iliyopita kwenye habari za Biblia takatifu kisa cha Samsoni na Delilah pale Mwenyezi Mungu alipoweka nguvu isiyomithilika kwenye nywele za Samsoni lakini shetani kupitia Delilah alimrubuni Samsoni na Samsoni akatoa siri ya nguvu zake.

Ni kutoka hapo ile nguvu ya kimungu iliyowekwa kwenye nywele za Samsoni iligeuka na kuwa nguvu ya kishetani na kufanya maangamizi makubwa, tangu hapo nywele imekuwa ni kitu kinachohusishwa na roho chafu na mapepo.
ALLAH ASEMA MWANAMKE KUVAA NYWELE BANDIA, KUKATA NYUSI NA KUJIPAKA MANUKATO AU UZURI NI LAANA
1. Allah awakataza Wanawake kuvaa Nywele Bandia
2. Allah awakataza Wanawake kujipaka Manukato.
3. Allah awakataza Wanawake kujipodoa.

...Continue Reading






 


- Kwanini baadhi ya imani ni marufuku na hairuhusiwi kwa mwanamke kuonyesha nywele zake hadharani?
- Kwanini mchawi/mwanga anapokamatwa hukatwa nywele zote ili kummaliza nguvu zake?
- Kwanini chizi kichaa au mwendawazimu hunyolewa nywele kama sehemu ya tiba?
- Kwanini wachawi na waganga wengi hutumia nywele kama sehemu ya uchawi/ulozi wao?


Imani zingine zinamdhalilisha mwanamke kwa hilo:

1 Wakorintho 11
5 Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
6 Kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.
 
Imani zingine zinamdhalilisha mwanamke kwa hilo:

1 Wakorintho 11
5 Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
6 Kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.

Duh!! Kwa hiyo kuna miungu watu humu duniani au? Aisee!!
 
Kuna mambo ya kushangaza ambayo kwasababu ileile ya kimapokeo na mazoea huwa hatuyahoji au hatuna muda wa kufuatilia na pengine tunaridhika tu na hivyo yalivyo.

Nywele hizi zetu za kichwani zinabeba siri kubwa ambayo ina mawasiliano ya moja kwa moja na kuzimu au na roho zinazotangatanga.

Hebu tujihoji haya;

- Kwanini baadhi ya imani ni marufuku na hairuhusiwi kwa mwanamke kuonyesha nywele zake hadharani?
- Kwanini mchawi/mwanga anapokamatwa hukatwa nywele zote ili kummaliza nguvu zake?
- Kwanini chizi kichaa au mwendawazimu hunyolewa nywele kama sehemu ya tiba?
- Kwanini wachawi na waganga wengi hutumia nywele kama sehemu ya uchawi/ulozi wao?

Historia ya nywele kuhusiana na roho na nguvu za kiza inaanzia mbali sana miaka elfu nyingi iliyopita kwenye habari za Biblia takatifu kisa cha Samsoni na Delilah pale Mwenyezi Mungu alipoweka nguvu isiyomithilika kwenye nywele za Samsoni lakini shetani kupitia Delilah alimrubuni Samsoni na Samsoni akatoa siri ya nguvu zake.

Ni kutoka hapo ile nguvu ya kimungu iliyowekwa kwenye nywele za Samsoni iligeuka na kuwa nguvu ya kishetani na kufanya maangamizi makubwa, tangu hapo nywele imekuwa ni kitu kinachohusishwa na roho chafu na mapepo.
Mkuu umenikumbusha nilishashuhudia mara nyingi mtu akipandisha mashetani ananyongwa nywele mashetani yanatulia kabisa...nilikua sijawahi kujua mahusiano yake... hapa ndio nimeanza kuconnect dots..
 
Back
Top Bottom