Nzega: Rais Magufuli asema Demokrasia imeimarika sana nchini ndio maana wengine walijitoa kwenye uchaguzi, wengine wakashinda na kushindwa

Nzega: Rais Magufuli asema Demokrasia imeimarika sana nchini ndio maana wengine walijitoa kwenye uchaguzi, wengine wakashinda na kushindwa

Huyu jamaa jeuri yake na kiburi vina mwisho wacha aendelee kutufanya watanzania malofa.
 
Suala la wapinzani kujitoa limemuuma sana huyo anaona aibu kweli anajikaza kisabuni tu.
 
Rubbish: Kuna siku atakana kuwa hakusema hivyo. Atadai kuwa 'I was quoted out of the context'.

Lkn najiuliza tu, haya madaraka kwa nini yanalevya zaidi kwetu watu weusi?? Tuna laana gani.

Mtu hata hapo alipo na kwa umri aliyonayo utakuta tayari ugonjwa utakaomuua umeshaingia mwilini lkn bado hawezi hata kuwa na busara tu hata kidogo ya ku-reason. It's very frustrating really.
 
Mmejionea wenyewe Demokrasia ilivyonyongwa kwenye uchaguzi wa primaries. Bahati nzuri was dish I wa BBC walikuwepo navwamejionea wenyewe. Ubalozi wa Marekani na Uingereza umetoa tamko.

Bila haya kiongozi wa nchi anavipiga vijembe vyama vya upinzani. Tumeshindwa kujitawala Afrika, mabeberu tunaomba msaada wenu.

 
Vikwazo tutao umia ni sisi. Viongozi hawajawahi athirika na vikwazo. Sana sana wao malipo yao yatakuwa kwa dollar. Pata picha dollar moja iwe sawa na 5000 afu mshahara wako uwe ule ule. Mafuta yatapatanda bei mara 2 etc
 
Vikwazo tutao umia ni sisi. Viongozi hawajawahi athirika na vikwazo. Sana sana wao malipo yao yatakuwa kwa dollar. Pata picha dollar moja iwe sawa na 5000 afu mshahara wako uwe ule ule. Mafuta yatapatanda bei mara 2 etc
Hakuna aliyetegemea kama ccm itakua chama cha kibabe
 
Vikwazo tutao umia ni sisi. Viongozi hawajawahi athirika na vikwazo. Sana sana wao malipo yao yatakuwa kwa dollar. Pata picha dollar moja iwe sawa na 5000 afu mshahara wako uwe ule ule. Mafuta yatapatanda bei mara 2 etc
Tunahitaji kupitia hali hiyo ili wananchi wafanye maamuzi magumu
 
Mmejionea wenyewe Demokrasia ilivyonyongwa kwenye uchaguzi wa primaries. Bahati nzuri was dish I wa BBC walikuwepo navwamejionea wenyewe. Ubalozi wa Marekani na Uingereza umetoa tamko.

Bila haya kiongozi wa nchi anavipiga vijembe vyama vya upinzani. Tumeshindwa kujitawala Afrika, mabeberu tunaomba msaada wenu.


hakuna cha mabeberu karne hii ni sisi wa africa wenyewe ndio tunanyaynyasana kwa uroho wa madaraka na kujilimbikizia mali pamoja na kutokua na maono ya mbali na ule uzalendo na kutokujiamini na kutetea haki na sheria bila kusahau unafiki
 
This guy is zero thinking.....unafikiri tukiwekewa vikwazo watamkomoa Magufuli? Kwanza yeye hata athirika zaidi ya wewe kuanza kulialia na watanzania wengine
 
Utawala huu watu waliozoea vya kunyonga wataongea mpaka maneno yawaishe! JPM kaza kamba akili ziwaingie inaonekana wengine bado hawajakusoma
 
Mmejionea wenyewe Demokrasia ilivyonyongwa kwenye uchaguzi wa primaries. Bahati nzuri was dish I wa BBC walikuwepo navwamejionea wenyewe. Ubalozi wa Marekani na Uingereza umetoa tamko.

Bila haya kiongozi wa nchi anavipiga vijembe vyama vya upinzani. Tumeshindwa kujitawala Afrika, mabeberu tunaomba msaada wenu.

Mkuu umeanza lini Matumizi ya Bangi?

Ushaambiwa hata kujitoa kwenye uchaguzi nayo Ni democrasia huelewi kipi Sasa.(A simple meaning of democrasia is Absence of Any command) ko hakuna mtu Ambaye angeshikwa shati heti kisa kajitoa.

Rejea; Kwanini usiwaombe mabeberu wanao kifadhiri chama Cha CDM.. kuinyima misaada baada ya mwenyekiti wake kutaka kuendelea kwenye Madaraka zaidi ya miaka 15 Sasa.. je Ukisoma principal of Democracy ndo zinasema hivyo kuhusu Mbowe?

Plz go and Re-think again.
 
"Ukitaka kumutukana mwenzako jiangalie wewe mwenyewe kwanza kabla hujatukana unaweza kumutukana kumbe Hilo tusi linakuhusu wewe ko kwa upumbavu wako unakuwa umejitukana mwenyewe" By Prof Simon Teacher of Cycology.
 
1574979174250.jpeg
 
Back
Top Bottom