Pre GE2025 Nzega, Tabora: Mtaani kwetu kuna watu wanapita Kila kaya wanagawa mitungi ya gesi, Sharti lao uwape namba yako ya NIDA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kitambulisho cha nida hakipigi kura.
Kuna uhusiano gn wa hy namba ya nida na kupiga kura?
 
Wanaenda kufyatua kitambulisho cha kupigia kura na kura yako itapigwa tu sehemu. Wakuu mnakuwa kama hamjasoma shule ?. Ukimpa mtu namba zako za nida si unakuwa umempa detail zako zote..kaeni kitaalam
Tangu lini kitambulisho cha nida kikatumika kupiga kura?
 
Tz wapumbavu n wengi sana aisee, lini nida ikatumika kupiga kura?
 
Kijana bashe kaanza kukusanya kura za mama mdogo mdogo sina sikia na aligawa pikpk kwa wenyeviti wa mtaa wote na laki mbili mbili za zutu
 
SHORT AND CLEAR THAT MEAN UNAKOPESHWA MTUNGI WA GAS, NA UNAWAPA DETAILS ZAKO ZOTE ILI WASISUMBUKE KUKUTAFUTA!
 
SHORT AND CLEAR THAT MEAN UNAKOPESHWA MTUNGI WA GAS, NA UNAWAPA DETAILS ZAKO ZOTE ILI WASISUMBUKE KUKUTAFUTA!
Na hii ya mjumbe kupita Kila kaya anaorodhesha namba ya mita za umeme na huku si mhusika wa tanesco tunaizunguziaje hii mkuu... 2020 ilikuwa hvyo huku kwetu
 
Na hii ya mjumbe kupita Kila kaya anaorodhesha namba ya mita za umeme na huku si mhusika wa tanesco tunaizunguziaje hii mkuu... 2020 ilikuwa hvyo huku kwetu
Kura ni siri, kura haina jina la mtu fulani, huwezi mpigia kura fulani ukajulikana labda utamke mwenyewe hadharani!
 
Kura ni siri, kura haina jina la mtu fulani, huwezi mpigia kura fulani ukajulikana labda utamke mwenyewe hadharani!
Ww huna Cha kuniambia nikakuelewa ww ni wale wale tu sijui mnatucjukulia kwamba watanzania wote ni wajinga?
 
NIDA haina uhusiano wowote na kupiga kura!

BTW:Wajumbe wamempuna vihela vyake Mzee Mbowe na kura wakampigia mbangaizaji mwenzao.
 
NIDA haina uhusiano wowote na kupiga kura!

BTW:Wajumbe wamempuna vihela vyake Mzee Mbowe na kura wakampigia mbangaizaji mwenzao.
Wanachukua za Nini boss
 
Unasema kweli, ila hiyo ya kwenda kwa watu wa simu au kwenye loss report itawachanganya sababu wap wanataka mtaa kwa Maya house hold moja kwenda nyingine so hata wakiingiza kwenye database kufanya normalization itakuwa sio ngumu na itaondoa data redundancies. Kwenda kwenye simu sijui na wapi ni ngumu kuzisort hizo data sababu mimi wa vingunguti nimesajili line maeneo ya ubungo mtu kaambiwa achukue data za watu wa ubungo anaupiga kwa msanii line ananinote mimi pia na mimi sio wa ubungo...wakifanya hivyo kutakuwa na data redundancy za kutosha
 
Vitambulisho vya NIDA havitumiki kama vitambulisho vya kupigia Kura
 
WAMI DAKAWA WAMESHAGAWA TANGU MWAKA JANA NIDA TUTUNGI WA GESI CHAP HAINA KULEMBA JOMBAAA
 
Tumesema kwamba mtu akipata NIDA yako tu anapata information; Sawa kwahio kama atapata information si atajua pia ninapokaa no matter nakaa wapi ?

Pili watu wanahama kama nilisajili line sehemu fulani haimaanishi kama nitakuwepo huko leo hii; kwahio cha maana kama ni connection ya kupiga Kura ni pale takapopigia Kura kipindi hicho husika hivyo kitakacho determine mwisho wa siku ni daftari lile linasema nipige kura wapi

Ila yote hayo ni beside the point sababu kama kuiba Kura mirija ni mingi sana zinaweza kuibiwa wakati zimepigwa; hazijapigwa au zikapigwa hewa kwahio cha maana ni kuziba any loopholes au kuamua kabisa kuachana na haya maigizo tukaendelea na mambo mengine...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…