Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Kwa post ya namna hii kwa hiyo wewe uliyeileta Unaamini kuwa kila MwanaJF humu anajua Itobo ipo wapi! Kenya?Wapiga kura wamshutumu mgombea kutoa rushwa ya penzi.
==
Mwanachama wa chama cha Mapinduzi amelalamikia Mgombea Udiwani wa Itobo kupitia chama cha Mapinduzi kutumia 'kiuno chake' kupata nafasi ya Kugombea udiwani japokuwa alipata kura saba dhidi 68 za aliyeshinda kura ya maoni.
Amesema kwa kauli za mgombea mwenyewe aliyesema 'Nitahakikisha nimemkatikia mwenyekiti Kanuda ili nipate udiwani' na kudai ni kweli Kanuda kamsimamia
Mwanachama amesema wanamtaka Abdallah ambae ndiye chaguo lao waliyempa kura 68 na sio mwenye kura saba.
Source:
Huyu nae!! Kwani hajui hata chairman wa milele wa UFIPA huwa anakatikiwa na maalum wao. Sema alizidiwa mikatiko tu huyu naeeeHayo mambo ya viuno ccm mbona hapo sana,Huyo mama alikuwa hajui wanawake wengi wamepanda kisiasa kwa ajili ya viuno. Hata yule wa babati kiuno ,kiuno jamani
Wapiga kura wamshutumu mgombea kutoa rushwa ya penzi.
==
Mwanachama wa chama cha Mapinduzi amelalamikia Mgombea Udiwani wa Itobo kupitia chama cha Mapinduzi kutumia 'kiuno chake' kupata nafasi ya Kugombea udiwani japokuwa alipata kura saba dhidi 68 za aliyeshinda kura ya maoni.
Amesema kwa kauli za mgombea mwenyewe aliyesema 'Nitahakikisha nimemkatikia mwenyekiti Kanuda ili nipate udiwani' na kudai ni kweli Kanuda kamsimamia
Mwanachama amesema wanamtaka Abdallah ambae ndiye chaguo lao waliyempa kura 68 na sio mwenye kura saba.
Source:
Wapiga kura wamshutumu mgombea kutoa rushwa ya penzi.
==
Mwanachama wa chama cha Mapinduzi amelalamikia Mgombea Udiwani wa Itobo kupitia chama cha Mapinduzi kutumia 'kiuno chake' kupata nafasi ya Kugombea udiwani japokuwa alipata kura saba dhidi 68 za aliyeshinda kura ya maoni.
Amesema kwa kauli za mgombea mwenyewe aliyesema 'Nitahakikisha nimemkatikia mwenyekiti Kanuda ili nipate udiwani' na kudai ni kweli Kanuda kamsimamia
Mwanachama amesema wanamtaka Abdallah ambae ndiye chaguo lao waliyempa kura 68 na sio mwenye kura saba.
Source:
Chama kina laana hiki!!!!!!
Tukisema hiki Ni CHAMA CHA MASHETANI msiwe mnabisha
Acheni ujinga,ubovu wa mtu binafsi huo kama ulivyo wewe kwenye ukoo wako lakini una tabia zako za kishenzi kishenzi na hazifanyi ukoo wako wote wawe washenziHii sasa hatari. Inakuwaje chama kikongwe kama CCM kinafikia hatua ya kupata viongozi wake kwa njia za aibu kama hizi?
Ndio maana wakimalizana huko wanakuja kwa wananchi na kulazimisha kutuwekea viongozi kwa njia haramu.
Hebu sikilizeni wenyewe mtoe maoni.
cc; Wakudadavuwa
YEHODAYA
View attachment 1548475
Ila mjumbe kafaidi sio mbaya hata akienguliwa
Usikute wewe ni mmoja wa hao wapata vyeo kwa kiunoAcheni ujinga,ubovu wa mtu binafsi huo kama ulivyo wewe kwenye ukoo wako lakini una tabia zako za kishenzi kishenzi na hazifanyi ukoo wako wote wawe washenzi