Uchaguzi 2020 Nzega, Tabora. Wana-CCM kata ya Itobo wamkataa mteule wanayedai ametumia rushwa ya ngono

Mbona kawaida sana hiyo kwenye hivi vyama

Huku Chadema kuna mrembo anaitwa Joyce Mukya,
uno lake kwa Mwenyekiti Mbowe lilimpa ubunge viti maalum kuanzia mwaka 2010-2020, yeye ni kiti maalumu tu
 
...Kwa post ya namna hii kwa hiyo wewe uliyeileta Unaamini kuwa kila MwanaJF humu anajua Itobo ipo wapi! Kenya?
 
Hayo mambo ya viuno ccm mbona hapo sana,Huyo mama alikuwa hajui wanawake wengi wamepanda kisiasa kwa ajili ya viuno. Hata yule wa babati kiuno ,kiuno jamani
Huyu nae!! Kwani hajui hata chairman wa milele wa UFIPA huwa anakatikiwa na maalum wao. Sema alizidiwa mikatiko tu huyu naeee
 
Hahaha kama hupati wafadhili unatumia rasilimali za ndani.
 
Wakaoshe tu maana hakuna namna tena!!!
 
Nayeye akaioshe! Maana kakiri kuwa kaifungia.
 
Chama kina laana hiki!!!!!!
Tukisema hiki Ni CHAMA CHA MASHETANI msiwe mnabisha

Mashetani wapo huko cdm ambako mgombea wao amesema ataruhusu ndoa za jisia moja km walivyokuwa wale wabunge wastaafu wakike H.M na E.B upo hapo baba eeh!!
Nikipi chama chamashetani hapo.
 
Acheni ujinga,ubovu wa mtu binafsi huo kama ulivyo wewe kwenye ukoo wako lakini una tabia zako za kishenzi kishenzi na hazifanyi ukoo wako wote wawe washenzi
 
Acheni ujinga,ubovu wa mtu binafsi huo kama ulivyo wewe kwenye ukoo wako lakini una tabia zako za kishenzi kishenzi na hazifanyi ukoo wako wote wawe washenzi
Usikute wewe ni mmoja wa hao wapata vyeo kwa kiuno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…