Nzige wakiwa ndani ya eneo la Kilometa ya mraba 1, wanakula chakula cha kuwatosha watu 35,000 kwa siku

Huku tuna jeshi imara, hata kwenye korosho jeshi lilitumika
 
Dah! hawa nzige kama vile wametumwa...
 
Mpaka yawepo.

Tanzania hata majani yetu tuliyonayo hayawezi kulisha watu 35000 kwa eka licha ya mazao tunayokula. In fact hayawezi kulisha hata ng'ombe 1000 tu.

"Analysis" zingine hazina uhalisia.
We sema tu nyanya zimeadimika na nzige wakijakutua kwenye kisamvu si ndio tutanza kupanda majukwaani na kusema wakati naomba kura nilisema mimi nitaleta nzige!
 

The toughest test to Magufuli yet

Tuone atatumia akili gani to overcome this

You will how light these ccm bandwagoners are!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…