Bashe yuko site ndege inapuliza dawa na dawa inaonekana iko effective wanakufa sana kenya nao wamejitolea ndege manake tusipowazibiti wataenda na kwaoKuna haja ya kupambana nao maana wataleta hali ambayo sio nzuri huko mbeleni.
Hawa Wadudu ni wabaya sana.bashe yuko site ndege inapuliza dawa na dawa inaonekana iko effective wanakufa sana kenya nao wamejitolea ndege manake tusipowazibiti wataenda na kwao
Wee naye kanjanja tu, hiyo video uliyoweka ni ya BBC au ni wewe na hawara yako mnatekenyana?Chanzo ni Mimi Mwenyewe.
Tizama hiyo Video hapo.
Acha kutukana bila sababu.Wee naye kanjanja tu, hiyo video uliyoweka ni ya BBC au ni wewe na hawara yako mnatekenyana?
Wewe ni muongo hiyo siyo habari ya BBC!Acha kutukana bila sababu.
Acha uongo eti wamepitia same ,..HV unaujua umbali wa same to siha ....Wametokea kenya kupitia same. Mbona waziri wa kilimo alisema atawadhibiti kwa dawa.
Maajabu haya! Watu wanaogopa chakula Bora! Hawa wadudu Wana protini ya kutosha!Ni msosi lakini
Acha uongo eti wamepitia same ,..HV unaujua umbali wa same to siha ....
Hao nzige waliingia wilaya ya longido...mpakani ....wakaenda mpaka west kilimanjaro wilaya ya siha
Wewe ni muongo hiyo siyo habari ya BBC!
Acha uongo eti wamepitia same ,..HV unaujua umbali wa same to siha ....
Hao nzige waliingia wilaya ya longido...mpak
Ni waharibifu sana mkuuMaajabu haya! Watu wanaogopa chakula Bora! Hawa wadudu Wana protini ya kutosha!