Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maombi kijazi aliyadharau ndio yamemrestishaTatizo kilimanjaro walidharau maimbi awamu ya kwanza ya kuzuia Nzige wasiingie Tanzania.Maombi yale yalizuia lakini watu wa kilimanjaro na Arusha walidharau haya nzige hao mtajijua
Ni kama Corona wengi walikataa kushiriki maombi ile awamu ya kwanza ya Corona sasa Corona hilo limetua part two mtajijua mliookataa kushiriki maombi
Wanang'ata?Hakikisha unapita bila kuwakanyaga
In jiwe voiceHii baghosha
Nao ni viumbe hai mkuu,Wanang'ata?
Acha bangi mzeeVita ya kiuchumi.
Hiko si chakula cha kuku hicho, wajaribu kuvamia shamba la Mr.Kuku kule kigamboni, ndio watajua kama pombe sio chai
au nasema uongo ndugu zanguuuuuVita ya kiuchumi.
Chanzo ni Mimi Mwenyewe.
Tizama hiyo Video hapo.
Mkuu naomba namba ya huyo mdada anayeongea..kama sio mkeo,nataka nimuulize vizuri kuhusu hao nzigeChanzo ni Mimi Mwenyewe.
Tizama hiyo Video hapo.
😂😂😂😂Nimejikuta nacheka kwa sautiMkuu naomba namba ya huyo mdada anayeongea..kama sio mkeo,nataka nimuulize vizuri kuhusu hao nzige
Wakivamia shamba la Migomba limakuwa jeupeeWanakula ndizi hao?
Apo hata kuku hali uwezi aminiMsosi huo sasa! Fursa imejileta yenyewe.
Hadi migomba wanakula,nzige niiwasoma kwenye bible kumbe huwa wako halisi kabisa, Dar wakisambaa nchi nzima sikutakuwa na njaa!?Wakivamia shamba la Migomba limakuwa jeupee
China boda yao waliingia nzige laki 2 mamlaka ya wachima ikapeleka bata laki 6 hapi boda,mchezo ukaishia hapo.Apo hata kuku hali uwezi amini
Yananuka sanaa
Hawaruhusiwi kuliwa ni sumu haoMaajabu haya! Watu wanaogopa chakula Bora! Hawa wadudu Wana protini ya kutosha!