Nzige Wavamia Kilimanjaro

Nzige Wavamia Kilimanjaro

Hiko si chakula cha kuku hicho, wajaribu kuvamia shamba la Mr.Kuku kule kigamboni, ndio watajua kama pombe sio chai
 
Tatizo kilimanjaro walidharau maimbi awamu ya kwanza ya kuzuia Nzige wasiingie Tanzania.Maombi yale yalizuia lakini watu wa kilimanjaro na Arusha walidharau haya nzige hao mtajijua

Ni kama Corona wengi walikataa kushiriki maombi ile awamu ya kwanza ya Corona sasa Corona hilo limetua part two mtajijua mliookataa kushiriki maombi
Hayo maombi kijazi aliyadharau ndio yamemrestisha
 
Corona no vita vya kiuchumi ila kwa nzige Hapana!
 
Back
Top Bottom