O.J.: Made in America



Sorry for copying the whole thing but this's dope!
 
Yeah hata mi nishasikia hiyo.

Baba yao na akina Kim, marehemu Robert Kardashian, alikuwa ni mshikaji wa O.J.

Sasa labda alimzunguka mshikaji wake na kuchepuka na mke wake.

Wait,...what Now?

Oh!, wow!, weird kama ni kweli. I wonder which one of the kids.
 
One thing I've been wondering is why didn't Nicole leave him, especially after rumors spread that she's was being abused.
Unless am missing something but...

Naona angeondoka mapema, sheshe lilipoanza.
 
One thing I've been wondering is why didn't Nicole leave him, especially after rumors spread that she's was being abused.
Unless am missing something but...

Naona angeondoka mapema, sheshe lilipoanza.

They separated in Feb. of 1992 and their marriage was dissolved on October 15, 1992.

But then again matters of the heart don't follow any principle.

Even after their divorce they tried to reconcile, something that kept them in touch beside the kids...
 
Katika kesi zote ambazo nimewahi kufuatilia, iwe kwa ajili ya kikazi au raghba tu, nadhani hii ndo iko juu kuliko zote.
Iko juu kuliko zote kivipi, inakuwa ya kwanza kutokea kwenye listi za google search?
 
One thing I've been wondering is why didn't Nicole leave him, especially after rumors spread that she's was being abused.
Unless am missing something but...

Naona angeondoka mapema, sheshe lilipoanza.

Btw, part 3 is on tonight...9PM Eastern on ESPN.
 
Reactions: kui


..yea ni kweli, matters of the heart...

She was beaten not once, not twice, and she kept holding on to him, hata kama ni baba watoto, she would've known better not to let him get that far.
 
You are entitled to your opinion.
which is that, to say OJ case "iko juu kuliko zote" doesn't mean anything, it's jibberish... "kesi niliyofuatilia kikazi..." kazini kwenu ndio uli submit report iliyoonyesha kesi ya OJ iko juu kuliko zote, what are you, an interning paralegal's secretary?
 
which is that, to say OJ case "iko juu kuliko zote" doesn't mean anything, it's jibberish...

"jibberish".....what is that Mr. Know-it-All?

"kesi niliyofuatilia kikazi..." kazini kwenu ndio uli submit report iliyoonyesha kesi ya OJ iko juu kuliko zote, what are you, an interning paralegal's secretary?

I'm actually a janitorial scientistπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Mkuu what are U trying to prove? Jaribu ku revisit your unfortunate comments - unaonekana ni mtu mwenye majuvuno sana!!! - Ngabu kakufanya nini?

Mtu unakuwa overly bellicose bila sababu za msingi - hii siyo fresh hata kidogo.
 
Kwa sababu ya upumbavu wake.

Inasemwa yeye na washikaji zake walienda kupora vitu vyake.

Basi hiyo ndo ikawa sababu ya kumkamatia kwenye hilo maana kule kwenye mauaji ilishindakana.
f#*k O.J Simpson coz it ain't about race now....-game(my life)
 
"jibberish".....what is that Mr. Know-it-All?
listen, hey, I am no spelling bee... I mean, that's petty, come on.

I'm actually a janitorial scientistπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
right, and I don't think they study criminal cases in janitorial science, so please quit coming here talkin bout I followed this case at ma job, this that and the third...

But, let me ask you this, what is new in this ESPN iteration of the OJ story that we haven't heard before? And you better put your best foot forward here, 'cos you studied this darn thing at your job no less!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…