O.J.: Made in America

O.J.: Made in America

listen, hey, I am no spelling bee... I mean, that's petty, come on.

right, and I don't think they study criminal cases in janitorial science, so please quit coming here talkin bout I followed this case at ma job, this that and the third...

But, let me ask you this, what is new in this ESPN iteration of the OJ story that we haven't heard before? And you better put your best foot forward here, 'cos you studied this darn thing at your job no less!

What's new? Watch the documentary...
 
What's new? Watch the documentary...

Jana niliangalia kidogo lkn nimegundua kitu kingine kipya. Wale ditectives waliorespond to the Crimescene na waliomhoji ndo walichangia kuifanya kesi nyepesi kwa upande wa O.J
 
Jana niliangalia kidogo lkn nimegundua kitu kingine kipya. Wale ditectives waliorespond to the Crimescene na waliomhoji ndo walichangia kuifanya kesi nyepesi kwa upande wa O.J

Umeona eh..

Yaani jamaa walichemka vibaya mno.

Jingine jipya nililojifunza...jurors walipotembelea nyumba ya O.J. kumbe defense team walifanya jitihada za kubadili picha zilizokuwemo ndani ya hiyo nyumba.

Mwanzoni zilikuwepo picha nyingi za O.J akiwa na wazungu lakini picha hizo zilibadilishwa na kuwekwa za O.J akiwa na weusi.

Hiyo yote ilikuwa ni katika jitihada za kujenga taswira flani kwa jurors.

Ila Mark Fuhrman naye alisababisha O.J kushinda kesi.
 
Sababu zipo kadhaa na chache zikiwemo za kihistoria, kimfumo, kitakwimu, na kijamii. Kihistoria - watu weusi walikandamizwa kutokana na hali yao ya kitumwa ambapo hawakuhesabiwa kama binadamu bali walihesabiwa kama mali. Kimfumo - sheria za kibaguzi kama za Jim Crow ambazo ziliwakandamiza watu weusi kwa kuwanyima elimu na mambo mengine ya msingi. Kitakwimu - idadi ya watu weusi wachache sana kulinganisha na watu weupe. Kijamii - watu weusi nao wao kwa wao wana matatizo yao. Kwa mfano, mtoto mweusi anayefanya vizuri darasani huwa anaonekana eti 'ana act white' kisa tu yuko makini katika elimu. Labels kama hizo huvunja mioyo ya watu wengi na hivyo kufanya jamii kwa ujumla wake kukosa mafanikio.



Uchaguzi wa mwaka huu uko tofauti sana na chaguzi za miaka ilopita. Hilo ni kwa sababu mgombea mdhaniwa wa chama kimoja, cha Republican, siyo mwanasiasa.

Donald Trump anaweza kabisa kushinda [ingawa binafsi sidhani kama atashinda]. Itakuwa ni jambo la kipumbavu kabisa kumpuuza. Toka alipotangaza nia wale wote waliompuuza imewatokea puani.

Kuhusu kauli zake tata hususan hiyo unayosema ya "kupiga marufuku waislam kuingia Marekani", kwanza, si sahihi. Trump hajasema anataka kupiga marufuku Waislam kuingia Marekani. Alichosema ni kwamba, wasitishe kwa muda kuruhusu wahamiaji na wakimbizi wanaotoka kwenye nchi za Kiislamu hadi hapo watakapokuja na njia iliyo bora zaidi ya kuwachunguza hao wahamiaji na wakimbizi.

Sasa kusitisha jambo kwa muda si sawa na kulipiga marufuku kabisa. Au wewe unaona ni kitu kilekile tu?

Pili, kuhusu kauli zake zingine za utata hususan kuhusu Afrika na Waafrika, hizo hazina ukweli wowote kwa maana ya kwamba hajawahi kuzitoa. Ni uzushi tu.



Labda kusimamia kuurudisha uchumi katika mstari baada ya mtikisiko wa 2008.



Ni imani potofu tu. Mafanikio hayaji tu hivi hivi. Mafanikio huwa ni matokeo ya fursa na uchapa kazi. Sasa, ukweli ni kwamba Marekani fursa zipo nyingi mno kulinganisha na Afrika. Lakini mtu usipochapa kazi huwezi kufanikiwa hata kidogo. Na uchapa kazi ni kanuni ambayo inatumika popote pale ulimwenguni.



Binafsi siupendi ushoga. Lakini pia naamini katika uhuru wa watu kufanya yale kitu roho inapenda ili mradi tu hawaingilii anga zangu. Hivyo, kama mtu ni shoga hayo ni mambo yake. Mimi hayanihusu. Kauli mbiu yangu ni 'fanya yako, ishi kivyako'. Mtu anajifanyia mambo yake kivyake, mimi inanihusu nini? Kwa nini nihemuke na mambo ya wengine? Tigo si zao? Sasa kama ni zao na wanapenda ziliwe, mimi inanihusu nini? Hainihusu.



Kwa jinsi changamoto zilivyo nyingi, sidhani kama nitakuwa na kipaumbele kimoja tu. Ila kilicho cha msingi zaidi ni utawala wa kisheria. Kwa hiyo nitaanza na hilo kwanza. Kuhakikisha nchi inatawaliwa kwa sheria na si vinginevyo.
NN umenikosha this is really wonderful. Respect Bro!
 
Umeona eh..

Yaani jamaa walichemka vibaya mno.

Jingine jipya nililojifunza...jurors walipotembelea nyumba ya O.J. kumbe defense team walifanya jitihada za kubadili picha zilizokuwemo ndani ya hiyo nyumba.

Mwanzoni zilikuwepo picha nyingi za O.J akiwa na wazungu lakini picha hizo zilibadilishwa na kuwekwa za O.J akiwa na weusi.

Hiyo yote ilikuwa ni katika jitihada za kujenga taswira flani kwa jurors.

Ila Mark Fuhrman naye alisababisha O.J kushinda kesi.


This case's interestingly scandalous up to this date.

I never saw that famous bronco chase in its entirety, it was like a movie.
Lakini na u celebrity aliachiwa sana, that was a motorcade, he was literally being escorted!

Defense was strong, no kidding. They killed it.
Marcia Clark was pissed with Mark Fuhrman with that glove incident, he sold the case for peanuts 🙂
 
Back
Top Bottom