Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
- Thread starter
- #141
Mw
Sasa wataka ujifananish3 ww na mwarabu
Kesi zimekuwa nyingi mimi ni moja wapo ,Maadili hakuna siku hizi..wanawake wamekuwa empowered na mambo ya gender equality mwisho wa siku wanataka kila kitu 50/50.Wanawake wanavuka mstari wa haki zao kama wanawake.Wanawake wanataka kuwa kama wanaume.
Wanawake wanataka kuwa kama Lilith mke wa Adamu babu yetu(sjui alikuwepo kweli au la) lazima tuwashindwe kama babu yetu adamu