ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Rais Obama leo ameifananisha Kenya na Syria.
Amefafanya hivyo alipokuwa akitoa maelezo juu ya kazi ngumu zinazofanywa na waandishi wa habari wa Marekani.
Amekaririwa akisema "They've risked everything to bring us stories from places like Syria and Kenya, stories that need to be told".
Haijaeleweka kwanini Obama ameifananisha Kenya na Syria, lakini kauli hiyo imechukuliwa na wakenya wengi waliochangia maoni kwenye mtandao kuwa ni kuichafua Kenya na kutaka kuingilia mambo ya ndani ya Kenya.
My take: Wamarekani huwa waangalifu sana kwenye kuchagua maneno ya kuzungumza na hawasemi jambo bila kulichuja. Kwenye kauli hii kuna ujumbe juu ya position itakayopewa serikali ya Kenyatta na serikali ya Marekani.
Source: Kenya not safe for foreign journalists, says Obama - News - nation.co.ke
Amefafanya hivyo alipokuwa akitoa maelezo juu ya kazi ngumu zinazofanywa na waandishi wa habari wa Marekani.
Amekaririwa akisema "They've risked everything to bring us stories from places like Syria and Kenya, stories that need to be told".
Haijaeleweka kwanini Obama ameifananisha Kenya na Syria, lakini kauli hiyo imechukuliwa na wakenya wengi waliochangia maoni kwenye mtandao kuwa ni kuichafua Kenya na kutaka kuingilia mambo ya ndani ya Kenya.
My take: Wamarekani huwa waangalifu sana kwenye kuchagua maneno ya kuzungumza na hawasemi jambo bila kulichuja. Kwenye kauli hii kuna ujumbe juu ya position itakayopewa serikali ya Kenyatta na serikali ya Marekani.
Source: Kenya not safe for foreign journalists, says Obama - News - nation.co.ke