Obama aichafua Kenya...

Obama aichafua Kenya...

Another mountain out of a molehill.

The English language is highly illogical.The sentence could be interpreted to assign risk to Syria and a need to tell the story for both Syria and Kenya.

Muandishi wa Kimarekani anaweza kufa kwa kunywa maji ya bomba Tanzania, au kupata Malaria.

Kwa hiyo muandishi wa Marekani "ku risk everything" (maisha yake kimsingi) si lazima aende sehemu yenye vita.
 
Rais Obama leo ameifananisha Kenya na Syria.

Amefafanya hivyo alipokuwa akitoa maelezo juu ya kazi ngumu zinazofanywa na waandishi wa habari wa Marekani.

Amekaririwa akisema "They've risked everything to bring us stories from places like Syria and Kenya, stories that need to be told".

Haijaeleweka kwanini Obama ameifananisha Kenya na Syria, lakini kauli hiyo imechukuliwa na wakenya wengi waliochangia maoni kwenye mtandao kuwa ni kuichafua Kenya na kutaka kuingilia mambo ya ndani ya Kenya.

My take: Wamarekani huwa waangalifu sana kwenye kuchagua maneno ya kuzungumza na hawasemi jambo bila kulichuja. Kwenye kauli hii kuna ujumbe juu ya position itakayopewa serikali ya Kenyatta na serikali ya Marekani.

Source: Kenya not safe for foreign journalists, says Obama - News - nation.co.ke

Wewe unaijuwa Kenya zaidi ya Mkenya Obama?
 
You can read the entirety of Obama's remarks below which has made Kenyans stomach churn, courtesy of the White House press office. I find quite unfair.
[US President, Barack Obama was talking to] Washington's political and media elites [who] gathered on Saturday night for the annual Gridiron Dinner, a night typified by song and dance routines by the members of the fourth estate and a humorous speech by the nation's chief executive.

Before I begin, I know some of you have noticed that I'm dressed a little differently from the other gentlemen. Because of sequester, they cut my tails. (Laughter.) My joke writers have been placed on furlough. (Laughter.) I know a lot of you reported that no one will feel any immediate impact because of the sequester. Well, you're about to find out how wrong you are. (Laughter.)

Of course, there's one thing in Washington that didn't get cut - the length of this dinner. (Laughter.) Yet more proof that the sequester makes no sense. (Laughter.)

As you know, I last attended the Gridiron dinner two years ago. Back then, I addressed a number of topics - a dysfunctional Congress, a looming budget crisis, complaints that I don't spend enough time with the press. It's funny, it seems like it was just yesterday. (Laughter.)

We noticed that some folks couldn't make it this evening. It's been noted that Bob Woodward sends his regrets, which Gene Sperling predicted. (Laughter.) I have to admit this whole brouhaha had me a little surprised. Who knew Gene could be so intimidating? (Laughter.) Or let me phrase it differently - who knew anybody named Gene could be this intimidating? (Laughter.)

Now I know that some folks think we responded to Woodward too aggressively. But hey, when has - can anybody tell me when an administration has ever regretted picking a fight with Bob Woodward? (Laughter.) What's the worst that could happen? (Laughter and applause.)

But don't worry. We're all friends again in the spirit of that wonderful song. As you may have heard, Bob invited Gene over to his place. And Bob says he actually thinks that I should make it too. And I might take him up on the offer. I mean, nothing says "not a threat" like showing up at somebody's house with guys with machine guns. (Laughter.)

Now, since I don't often speak to a room full of journalists - (laughter) - I thought I should address a few concerns tonight. Some of you have said that I'm ignoring the Washington press corps - that we're too controlling. You know what, you were right. I was wrong and I want to apologize in a video you can watch exclusively at whitehouse.gov. (Laughter.)

While we're on this subject, I want to acknowledge Ed Henry, who is here - who is the fearless leader of the Washington press corps now. (Applause.) And at Ed's request, tonight I will take one question from the press. Jay, do we have a question? (Laughter.) Surprisingly, it's a question from Ed Henry. (Laughter.) "Mr. President, will you be taking any questions tonight?" (Laughter.) I'm happy to answer that. No, Ed, I will not. (Laughter.)

I also want to recognize David Corn. He's here from Mother Jones magazine. He brought his iPhone. So Bobby Jindal, if you thought your remarks were off the record, ask Mitt Romney about that. (Applause.)

I have to say, I thought Bobby was incredibly funny this evening. (Applause.) I thought he was terrific. Amy Klobuchar was sparkling and fantastic and fabulous. (Applause.) I am worried about Al Franken though. (Laughter.) How do you start off being one of the original writers for Saturday Night Live and end up being the second-funniest Senator in Minnesota? (Laughter and applause.) How the mighty have fallen. (Laughter.)

Now I'm sure that you've noticed that there's somebody very special in my life who is missing tonight, somebody who has always got my back, stands with me no matter what and gives me hope no matter how dark things seem. So tonight, I want to publicly thank my rock, my foundation - thank you, Nate Silver. (Laughter.)

Of course as I begin my second term, our country is still facing enormous challenges. We have a lot of work to do - that, Marco Rubio, is how you take a sip of water. (Laughter and applause.)

As I was saying, we face major challenges. March in particular is going to be full of tough decisions. But I want to assure you, I have my top advisors working around the clock. After all, my March Madness bracket isn't going to fill itself out. (Laughter.) And don't worry - there is an entire team in the situation room as we speak, planning my next golf outing, right now at this moment. (Laughter.)

But those aren't the only issues on my mind. As you are aware - as has been noted this evening - we've had to make some very tough, huge budget cuts apparently with no regard to long-term consequences, which means I know how you feel in journalism. (Laughter.) I've been trying to explain this situation to the American people, but clearly I am not perfect. After a very public mix-up last week, my communications team has provided me with an easy way to distinguish between Star Trek and Star Wars. (Laughter.) Spock is what Maureen Dowd calls me. Darth Vader is what John Boehner calls me. (Laughter.)

Of course, maintaining credibility in this cynical atmosphere is harder than ever - incredibly challenging. My administration recently put out a photo of me skeet shooting and even that wasn't enough for some people. Next week, we're releasing a photo of me clinging to religion. (Laughter and applause.)

I'm also doing what I can to smooth things over with Republicans in Congress. In fact, these days John McCain and I are spending so much time together that he told me we were becoming friends. I said, "John, stop. Chuck Hagel warned me how this ends up." (Laughter.)

It took a while, but I'm glad that the Senate finally confirmed my Secretary of Defense. And I have to say, I don't know what happened to Chuck in those hearings. I know he worked hard, he studied his brief. And I even lent him my presidential debate team to work with him. (Laughter.) It's confusing what happened. (Laughter.)

But all these changes to my team are tough to handle, I've got to admit. After nine years, I finally said goodbye to my chief speechwriter, Jon Favreau. I watched him grow up. He's almost like a son to me, he's been with me so long. And I said to him when he first informed me of his decision, I said, "Favs, you can't leave." And he answered with three simple words - "yes, I can." (Laughter.) Fortunately, he did not take the prompter on his way out. (Laughter.) That would have been a problem. (Laughter.)

With all these new faces, it's hard to keep track of who is in, who is out. And I know it's difficult for you guys as reporters. But I can offer you an easy way of remembering the new team. If Ted Cruz calls somebody a communist, then you know they're in my cabinet. (Laughter.)

Jack Lew is getting started on his new role as Treasury Secretary. Jack is so low key, he makes Tim Geithner look like Tom Cruise. (Laughter.) Don't worry, everybody, Jack signed off on that joke or a five year old drew a slinky. (Laughter.) I don't know which. (Applause.)

Another big change has been at the State Department. Everybody has noticed that obviously. And let's face it - Hillary is a tough act to follow. But John Kerry is doing great so far. He is doing everything he can to ensure continuity. Frankly, though, I think it's time for him to stop showing up at work in pantsuits. (Laughter.) It's a disturbing image. (Laughter.) It really is. (Laughter.) I don't know where he buys them. He is a tall guy. (Laughter.)

And even though I'm just beginning my second term, I know that some folks are looking ahead to bigger things. Look, it's no secret that my Vice President is still ambitious. But let's face it, his age is an issue. Just the other day, I had to take Joe aside and say, "Joe, you are way too young to be the pope." (Laughter.) "You can't do it. You got to mature a little bit." (Laughter.)

Now, I do want to end on a serious note. I know that there are people who get frustrated with the way journalism is practiced these days. And sometimes those people are me. (Laughter.) But the truth is our country needs you and our democracy needs you.

In an age when all it takes to attract attention is a Twitter handle and some followers, it's easier than ever to get it wrong. But it's more important than ever to get it right. And I am grateful for all the journalists who do one of the toughest jobs there is with integrity and insight and dedication - and a sense of purpose - that goes beyond a business model or a news cycle.

This year alone, reporters have exposed corruption here at home and around the world. They've risked everything to bring us stories from places like Syria and Kenya, stories that need to be told. And they've helped people understand the ways in which we're all connected - how something that happens or doesn't happen halfway around the world or here in Washington can have consequences for American families.

These are extraordinary times. The stakes are high and the tensions can sometimes be high as well. But while we'll always have disagreements, I believe that we share the belief that a free press - a press that questions us, that holds us accountable, that sometimes gets under our skin - is absolutely an essential part of our democracy.

So I want to thank everybody for not just a wonderful evening - and, Chuck, I want to thank you for your outstanding presidency - but I also just want to thank you for the work that you do each and every day. And in the words of one of my favorite Star Trek characters - Captain James T. Kirk of the USS Enterprise - "May the force be with you.
 
...Obama mpuuzi...

Is this not too far? Hivi hao wakenya wamethibitisha vp kwamba alichomaanisha Obama ni kuilinganisha Kenya na Syria? What if aliitaja Kenya kwa kuwa kiasili ni nchi yake lakini pia ilikuwa kwenye uchaguzi so may be ndio nchi ya karibu zaidi iliyomjia? Sidhani kama ni sahihi kutoa hukumu ya moja kwa moja katika hili ambalo tafsiri yake ni kubwa na pana.
 
Msichulie kirahisi jaman hii ni tiketi pia ya Uhuru Kenyata kukutwa na hatia the HAIG!kitendo cha kenyata kuchaguliwa kuwa rais ni gharama kwa Wakenya in future

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wewe unaijuwa Kenya zaidi ya Mkenya Obama?

Hahahahahahahahahaha Mkenya Obama. Ungejua nguvu alizotumia kuprove kuwa yeye siyo mkunye huku watu wengine wakimlazimisha kuwa yeye ni mkenya...
 
Huyu nae Shoga! nani asiejua alikua side ya jaluo mwenzake Raila Odinga? Nadhani Kenya sasa ndo wakati wakujitoa ktk ukoloni huu wa US/UK...kwani tumesikia ata kauli ya baloz wa UK nchini Kenya na kauli yake Tata dhidi Ya UhuRu... Kenya lazima ijisimamie hasa kwani raia wa Kenya ndo wanamamlaka juu ya mustakabali wao
Usiwadanganye Wakenya wakayumbisha uchumi wao bure,Super power ina nguvu zake wakiamua kuisakama Kenya hata Uhuru mwenyewe atakimbia.Bora kutafuta suluhu sahihi kwa maslahi ya wote.
 
Kwanza wacha nikueleze ukweli,obama kabla ya kuanza azma yake ya kuwa rais wa marekani,alikuja kenya kwao,hii ni kuujulisha ulimwengu kwamba yeye anakwao.kujinasibisha kwake yeye na kenya ndio kulimfanya yeye achaguliwe kuwa rais wa taifa kubwa duniani.hii ilikuwa ni siasa kwamba yeye hakuwa nigros.pili alijuwa kwamba taifa la kenya wazungu wanaliheshimu sana.wangapi wangapi waafrika waliojaribu kutaka urais huko marekani lakini hawakutobowa.obama anahaki ya kuongea juu kenya.maana anasikia uchungu sana juu ya n'chi yake ya orrigine.wazungu wenyewe waliapa kwamba hawatakubali kuichia kenya iharibike,hata kwa vyovyote vile.ndio maana wakati ule kenya inataka kuchafuka walituma ujumbe mzito sana,kuja kenya na kulazimisha suluhu ya laazima.alamsik.mungu tupe suluhu la ukabila kenya.imekuwa donda sugu.watanzania munayo dawa.tupeni dozi.
 
Huyu nae Shoga! nani asiejua alikua side ya jaluo mwenzake Raila Odinga? Nadhani Kenya sasa ndo wakati wakujitoa ktk ukoloni huu wa US/UK...kwani tumesikia ata kauli ya baloz wa UK nchini Kenya na kauli yake Tata dhidi Ya UhuRu... Kenya lazima ijisimamie hasa kwani raia wa Kenya ndo wanamamlaka juu ya mustakabali wao



Kauli nzuri, lakini wengi walisema hivyo lakini baadaye ikabidi wapige magoti. Ni Nyayo tu ndiye aliyevumulia hadi mwisho. Nyerer aliamua aondoke kumwachia mtu mwingine apige magoti!
 
Rais Obama leo ameifananisha Kenya na Syria.

Amefafanya hivyo alipokuwa akitoa maelezo juu ya kazi ngumu zinazofanywa na waandishi wa habari wa Marekani.

Amekaririwa akisema "They've risked everything to bring us stories from places like Syria and Kenya, stories that need to be told".

Haijaeleweka kwanini Obama ameifananisha Kenya na Syria, lakini kauli hiyo imechukuliwa na wakenya wengi waliochangia maoni kwenye mtandao kuwa ni kuichafua Kenya na kutaka kuingilia mambo ya ndani ya Kenya.

My take: Wamarekani huwa waangalifu sana kwenye kuchagua maneno ya kuzungumza na hawasemi jambo bila kulichuja. Kwenye kauli hii kuna ujumbe juu ya position itakayopewa serikali ya Kenyatta na serikali ya Marekani.

Source: Kenya not safe for foreign journalists, says Obama - News - nation.co.ke

Hili siyo jambo la kubeza hata kidogo,Wamarekani wana mashushushu wao tele Kenya na wanajua kila jambo linaloendelea hapo,kiongozi wa kundi la mauaji la Mungiki ameingia Ikulu unategemea atabadilika kuwa askofu?yaani wote play boyz mimi naungana na Obama kuwa hawatakuwa shwari kuna makubwa zaidi chini ya pazia tusiyoyajua lakini Marekani wanayajua.
 
Taarifa katika hiyo link hapo juu kuna uwezekano imefutwa....maana kionekanacho ni hiki baada ya kuifungua

[h=1]
error_bar.gif

404[/h]
The requested resource is
not available.

error_littlebar.gif
error_logo.gif

error_littlebar.gif
Comments, questions, or
suggestions?
Write to us at
help@nationmedia.com

 
Huyu nae Shoga! nani asiejua alikua side ya jaluo mwenzake Raila Odinga? Nadhani Kenya sasa ndo wakati wakujitoa ktk ukoloni huu wa US/UK...kwani tumesikia ata kauli ya baloz wa UK nchini Kenya na kauli yake Tata dhidi Ya UhuRu... Kenya lazima ijisimamie hasa kwani raia wa Kenya ndo wanamamlaka juu ya mustakabali wao

Shame on you umelaaniwa wewe kwa kuita rais wa super power hivyo lazima ujue Obama amechaguliwa na Mungu na lazima uwe na heshima.
 
Naona watu hawaelewi maana ya RISK

1 risk\ˈrisk\
noun
1 : possibility of loss or injury : peril
2 : someone or something that creates or suggests a hazard
3 a : the chance of loss or the perils to the subject matter of an insurance contract; also : the degree of probability of such loss
b : a person or thing that is a specified hazard to an insurer
c : an insurance hazard from a specified cause or source <war risk>
4 : the chance that an investment (as a stock or commodity) will lose value
risk·less \&#712;ris-kl&#601;s\ adjective
at risk : in a state or condition marked by a high level of risk or susceptibility <patients at risk of infection>
Examples
I prefer not to expose my money to too much risk.
The degree of risk is minimal.
All investments have/involve an element of risk.
Origin: French risque, from Italian risco.
First use: circa 1661
Synonyms: hazard, imminence, menace, peril, pitfall, danger, threat, trouble
Antonyms: safeness, safety, secureness, security
2
risk
transitive verb
1 : to expose to hazard or danger <risked her life>
2 : to incur the risk or danger of <risked breaking his neck>
risk·er noun
Examples
She risked her life to save her children.
He risked all his money on starting his own business.
He risked breaking his neck.
First use: circa 1687
 
Au mimi sielewi vizuri, mbona sione madhara ya hiyo kauli?
 
Back
Top Bottom