Obama aichafua Kenya...

Another mountain out of a molehill.

The English language is highly illogical.The sentence could be interpreted to assign risk to Syria and a need to tell the story for both Syria and Kenya.

Muandishi wa Kimarekani anaweza kufa kwa kunywa maji ya bomba Tanzania, au kupata Malaria.

Kwa hiyo muandishi wa Marekani "ku risk everything" (maisha yake kimsingi) si lazima aende sehemu yenye vita.
 

Wewe unaijuwa Kenya zaidi ya Mkenya Obama?
 
You can read the entirety of Obama's remarks below which has made Kenyans stomach churn, courtesy of the White House press office. I find quite unfair.
 
...Obama mpuuzi...

Is this not too far? Hivi hao wakenya wamethibitisha vp kwamba alichomaanisha Obama ni kuilinganisha Kenya na Syria? What if aliitaja Kenya kwa kuwa kiasili ni nchi yake lakini pia ilikuwa kwenye uchaguzi so may be ndio nchi ya karibu zaidi iliyomjia? Sidhani kama ni sahihi kutoa hukumu ya moja kwa moja katika hili ambalo tafsiri yake ni kubwa na pana.
 
Msichulie kirahisi jaman hii ni tiketi pia ya Uhuru Kenyata kukutwa na hatia the HAIG!kitendo cha kenyata kuchaguliwa kuwa rais ni gharama kwa Wakenya in future

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wewe unaijuwa Kenya zaidi ya Mkenya Obama?

Hahahahahahahahahaha Mkenya Obama. Ungejua nguvu alizotumia kuprove kuwa yeye siyo mkunye huku watu wengine wakimlazimisha kuwa yeye ni mkenya...
 
Usiwadanganye Wakenya wakayumbisha uchumi wao bure,Super power ina nguvu zake wakiamua kuisakama Kenya hata Uhuru mwenyewe atakimbia.Bora kutafuta suluhu sahihi kwa maslahi ya wote.
 
Kwanza wacha nikueleze ukweli,obama kabla ya kuanza azma yake ya kuwa rais wa marekani,alikuja kenya kwao,hii ni kuujulisha ulimwengu kwamba yeye anakwao.kujinasibisha kwake yeye na kenya ndio kulimfanya yeye achaguliwe kuwa rais wa taifa kubwa duniani.hii ilikuwa ni siasa kwamba yeye hakuwa nigros.pili alijuwa kwamba taifa la kenya wazungu wanaliheshimu sana.wangapi wangapi waafrika waliojaribu kutaka urais huko marekani lakini hawakutobowa.obama anahaki ya kuongea juu kenya.maana anasikia uchungu sana juu ya n'chi yake ya orrigine.wazungu wenyewe waliapa kwamba hawatakubali kuichia kenya iharibike,hata kwa vyovyote vile.ndio maana wakati ule kenya inataka kuchafuka walituma ujumbe mzito sana,kuja kenya na kulazimisha suluhu ya laazima.alamsik.mungu tupe suluhu la ukabila kenya.imekuwa donda sugu.watanzania munayo dawa.tupeni dozi.
 



Kauli nzuri, lakini wengi walisema hivyo lakini baadaye ikabidi wapige magoti. Ni Nyayo tu ndiye aliyevumulia hadi mwisho. Nyerer aliamua aondoke kumwachia mtu mwingine apige magoti!
 

Hili siyo jambo la kubeza hata kidogo,Wamarekani wana mashushushu wao tele Kenya na wanajua kila jambo linaloendelea hapo,kiongozi wa kundi la mauaji la Mungiki ameingia Ikulu unategemea atabadilika kuwa askofu?yaani wote play boyz mimi naungana na Obama kuwa hawatakuwa shwari kuna makubwa zaidi chini ya pazia tusiyoyajua lakini Marekani wanayajua.
 

Shame on you umelaaniwa wewe kwa kuita rais wa super power hivyo lazima ujue Obama amechaguliwa na Mungu na lazima uwe na heshima.
 
Naona watu hawaelewi maana ya RISK

1 risk\ˈrisk\
noun
1 : possibility of loss or injury : peril
2 : someone or something that creates or suggests a hazard
3 a : the chance of loss or the perils to the subject matter of an insurance contract; also : the degree of probability of such loss
b : a person or thing that is a specified hazard to an insurer
c : an insurance hazard from a specified cause or source <war risk>
4 : the chance that an investment (as a stock or commodity) will lose value
risk·less \&#712;ris-kl&#601;s\ adjective
at risk : in a state or condition marked by a high level of risk or susceptibility <patients at risk of infection>
Examples
I prefer not to expose my money to too much risk.
The degree of risk is minimal.
All investments have/involve an element of risk.
Origin: French risque, from Italian risco.
First use: circa 1661
Synonyms: hazard, imminence, menace, peril, pitfall, danger, threat, trouble
Antonyms: safeness, safety, secureness, security
2
risk
transitive verb
1 : to expose to hazard or danger <risked her life>
2 : to incur the risk or danger of <risked breaking his neck>
risk·er noun
Examples
She risked her life to save her children.
He risked all his money on starting his own business.
He risked breaking his neck.
First use: circa 1687
 
Au mimi sielewi vizuri, mbona sione madhara ya hiyo kauli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…