Elections 2010 Obama Congratulates Tanzanian People, Shein but skip congratulating JK

Elections 2010 Obama Congratulates Tanzanian People, Shein but skip congratulating JK

PHP:

Wakuu naona ni bora mfikiri ni jinsigani yakujikwamua na umaskini na kusubiri 2015 kuliko kujadili upupu marekani siasa yake haingalii nani yupo na yupo kwa uhalali wa wenye nchi au kwakuhozi madaraka. marekani haina rafiki wakudumu marekani ina maslahi yakudum kwahiyo yoyote atakae kuwa madarakani bila kujali uhalalali kiuongozi je analinda maslahi ya marekani basi huyo hatakuwa na matatizo na marekani lakini ikiwa kachaguliwa kihalali na wenye inch lakini halindi maslahi ya marekani basi huyo atakuwa sikiongozi kwao. (maerkani haina rafiki wakudum ina maslahi ya kudum)

Asante sana. Mimi nashangazwa sana na watu wanaocrave for support au kukubalika na wamarekani. Hii inawezekana labda kwa vile wanaishi Marekani, ila ukweli unabaki kuwa sisi kama Tanzania hatupaswi kuendeshwa na maoni ya Obama.
 
I like Obama for his objectivity. Hana tabia ya unafiki huyu bwana. Pamoja na JK kujipendekeza kwake kila siku, jamaa hajaona noma kuweka wazi hisia zake kwamba hajaridhika na uingiaji wa JK ikulu. Badala yake amewapongeza watanzania katika namna ninayoitafsiri kama ni kwa kukubali kuwa watulivu pamoja ya kwamba wamedhulumiwa haki yao.
 
Asante sana. Mimi nashangazwa sana na watu wanaocrave for support au kukubalika na wamarekani. Hii inawezekana labda kwa vile wanaishi Marekani, ila ukweli unabaki kuwa sisi kama Tanzania hatupaswi kuendeshwa na maoni ya Obama.

Huna lolote, angekuwa amepongezwa hapa, naamini zingejaa thread zenu tu za kusifia kwamba JK amepongezwa na Marekani. Lakini kwa kuwa hajapongezwa na badala yake watanzania ndo wamepongezwa (bila shaka kutokana na utulivu wao), basi hilo halina maslahi. Acheni hizo, mbona hapa huwa mnajadili hoja za tigo na vitu vya hovyo kama hivyo, huwa vina maslahi gani kwa taifa?
 
This is a diplomatic statement kuna ulazima wa kuijadili siyo kuiacha hivi hivi kama barua ya posa.

Oh really? Ooh wait a minute....I forgot it would bring dramatic economic development to Tanzania.....so let's discuss it.
 
Dili kubwa hapa ni hiyo hatua ya Marekani kukataa ku-legitimize utawala wa Kikwete aliyetuibia kura zetu.

I don't care if Marekani legitimizes the Kikwete regime or not. So to me it's not a big deal at all. Ingekuwa big deal kama sisi Watanzania wote au wengi wetu tungekataa kuhalalisha utawala wa Kikwete kwa migomo, maandamano, na mambo mengine ya kupinga uhuni walioufanya na wanaoufanya na kushinikiza pawepo na mabadiliko ya katiba Mimi si mtu wa kuangalia nani kutoka nje kasema nini.
 
Miafrika bana....so what's the big deal here?

Big deal ni JK mwenyewe, kama unakumbuka wakati wa kampeni huko Makete alishuka jukwaani for a moment. Aliporudi akasema eti kapigiwa sm na balozi wa marekani amempa salam za pongezi kutoka kwa Obama. What was a big deal then? Nadhani pple r right kuhoji nni vp watoa pongezi just a month ago sasa hv wananyuti??????????
 
Big deal ni JK mwenyewe, kama unakumbuka wakati wa kampeni huko Makete alishuka jukwaani for a moment. Aliporudi akasema eti kapigiwa sm na balozi wa marekani amempa salam za pongezi kutoka kwa Obama. What was a big deal then? Nadhani pple r right kuhoji nni vp watoa pongezi just a month ago sasa hv wananyuti??????????

I honestly don't see what the big deal is...seriously!!!!
 
I don't care if Marekani legitimizes the Kikwete regime or not. So to me it's not a big deal at all. Ingekuwa big deal kama sisi Watanzania wote au wengi wetu tungekataa kuhalalisha utawala wa Kikwete kwa migomo, maandamano, na mambo mengine ya kupinga uhuni walioufanya na wanaoufanya na kushinikiza pawepo na mabadiliko ya katiba Mimi si mtu wa kuangalia nani kutoka nje kasema nini.

I totally agree with you, change comes from within. However, we should not ignore any external contribution to that effort no matter how small it is. Kama Obama angeligitimize ushindi wa Kikwete, internal forces zingekuwa na wakati mgumu kudai change. Lakini kwa alivyofanya. ametuachia options zote kwa sisi kutafuta change tunayotaka, and as you know, these things do not necessarily succeed overnight.
 
Kwa hiyo E.U walikurupuka?maana inashangaza wao kumpongeza Jk wakati mshirika wao mkuu(US) hafanyi hivyo.
 
Kampongeza Shein, Seif, Wazanzibari na watanzania lakini hajampongeza JK na Bilal, (hata CCM kwa ushindi) maanake nini hii?

Maana yake hawezi kupongeza Maharamia wa KURA.
Watanzania tumepongezwa kwa sababu tumepiga kura zetu na kumchagua Rais kazi ambayo tumeifanya kwa uaminifu.
Wenzetu wa CCM UWT na NEC wasio itakia mema nchi yao wamechakachua matokeo ili kumsimika mlinzi wa Himya ya Mafisadi.

Nadhani Mkuu pale White House DC anajua sana hilo na ameamua kuto gusa maeneo nyeti, kama kutaja neno CCM katika barua, ya kuwatia nyongo Watanzania.
 
Why should we care?
1. Because JK himself on the campaign trail told us that if Marekani likes you then you are safe and he made it a point that George W Bush trusted him and called him a "good man" and that Obama also trusts him, so we Tanzanians should re-elect him as he will ensure that Tanzania will receive a lot of aide because of his 'special' relationship with the US
2. Because the recognition of any democratic government by the major nations is important. If it were not important Myanmar would not have set Ang Syu Kyii free and made even lame attempts of democratic election
3. 45% of our budget depends on foreign aid that comes from developed economies including the US

Trying to dismiss this would make sense if JK's campaign would NOT have centered on foreign aid (aka misaada) and the importance of his frequent travels/visits.
 
As I said to President Kikwete when we met at the White House in 2009, the people of the United States support all Tanzanians in your efforts to institutionalize democratic, transparent governance, to realize the full potential of your Union, and to ensure that the steps you have taken together toward a lasting peace and prosperity cannot be reversed.
Hapo ndipo Obama kamuacha JK kwenye mataa...................Marekani inawategemea watanzania waendelee kuimarisha taasisi za utawala bora ili kuhakikisha mfanikio yaliyowaletea utulivu na amani yanalindwa........kwa hiyo Obama anaona kuwa bado kazi ipo kubwa mbele yetu ya kuulinda uhuru na umoja kupitia uimarishwaji wa taasisi za utawala bora.................................

CCM wao ni vichwa ngumu kuirekebisha NEC, PCCB n.k kwa kulinda masilahi yao ya muda mfupi...........
 
Jana usiku nimeota nimempigia cm Obama na kumuuliza unaonaje uchaguzi wa mwaka huu akanijibu " the election was peaceful but very unfair especially in announcing the results so he recommended Tanzanians to fight against their right and he will support us in every possibe way" Ngoja leo pale Tabata Liwiti Dr. Slaa alianzishe nadhni JK na sirikali yake ya magumashi watajuta kutufahamu Watanzania ni kina nani...
 
Hii taarifa ya serikali ya marekani yanikumbusha yaliyomsibu kibaki baada ya uchaguzi wa mwaka 2007.............wakenya walifikiri tamko la Marekani lilimpongeza Kibaki lakini baadaye Condi Rice alikuja fafanua ya kuwa wao waliwapongeza raia wa kenya kwa kupiga kura kwa amani lakini hawakumpongeza Kibaki...........
 
USA inajulikana kuwa moja ya nchi vinara na wahubiri wakubwa wa Democracy, hivyo kwa raisi wao kutoa pongezi kwa rais aliyeshinda kwa Mashaka mashaka itakuwa ni jambo la aibu kwao. Hivyo amefanya jambo sahihi vinginevyo jamii ya kimataifa na wanaharakati wangemshangaa.
 
Baada ya pongezi hizi za America, natarajia JK atapunguza sana safari za Marekani.
Ila nina mashaka JK anaweza asiielewe hii statement ya America au ataielewa ila washauri wwake kwa makusudi watampotosha kwa kumvika kilemba cha ukoka.
 
Hiyo Democratic na Transparency anayoisema huyu Obama iko wapi? Ni ile ya watu kukesha kwenye majimbo yao kulinda kura zisichakachuliwe? Hii ndo transparency and democracy? Ni ile ya NEC kufanya tallying ya matokeo kwenye maficho? Naona huyu jamaa naye anataka tu kujifurahisha. Sishangai kuona hata huko kwake hakubaliki tena.
 
Mbona hii statement ni obvious sana? Wakati kuna mgombea tena aliyeshika nafasi ya pili bado anakataa kuyatambua matokeo, USA watakuwa very careful kwenye statements zao kuhusu uchaguzi.

Uchaguzi ungelikuwa umeisha salama, rais Obama angepigia simu kwanza JK kabla hata ya kutoa hiyo statement. Wamarekani kwa faida ya nchi yao, wameamua kuwa katikati na kutuachia Watanzania matatizo yetu.

Hawataki kuonekana wanapendelea upande, lakini kwa kukubali kufanya kazi na JK tayari wamemtambua kama rais. Kungelikuwa na utata kuhusu uhalali wa urais wa JK, hiyo statement wasingeliandika.

Ukiangalia hata uchaguzi umefanyika tarehe 31/11/2010 lakini wamekuja kutoa statement yao tareh 13/11/2010. Walikuwa wanavuta muda ili wajue nini kinaendelea TZ.

Kikubwa kwa sisi Watanzania ni kuweka nguvu kwenye mambo yanayoathiri maisha ya Mtanzania kila siku na wala sio haya ya Wamarekani au Waingereza wanasema nini. Wao wana interests zao ambazo ziko tofauti sana na za kwetu.

Statement ya Dr. Slaa juu ya uchaguzi huu ni ya maana sana kuliko hizo za akina Obama.
 
Back
Top Bottom