Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)


Umesahau nigga wanavyopigwa shaba na watasha daily...
 
Umesahau nigga wanavyopigwa shaba na watasha daily...

Hebu nipie takwimu za mauaji baina ya weusi kwa weusi na yale ya weupe kwa weusi ili nilinganishe nione nani humuua nani zaidi.
 
Anawasili katikati ya saa mbili na saa tano usiku wa leo muda exact bado hauko clear.
 

Halafu...!!?
 
Last edited by a moderator:
Magari ya Obama yawasili kwenye Terminal 2






 
Wakenya wakiwa kwenye foleni za kupata tiketi kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha Obama.

 
Hata kula majani mtakula,lakini lazima ndege ya Rais inunuliwe....naiona Airforce one kwenye TV ya kenya wanavyoisasambua halafu nafananisha na hii 5HCCM ONE.....hivi kisheria inaweza badilishwa ikawa 5H M4C kama mambo yakiwa mazuri
 
Nakutafuta kumbe umeenda airport....lol!

Tulia mrembo kui yaani huyu anakuja kwa sie manyang'au, hakuna kulala walahi, lazima kila mbinu zitumike za kuchangamkia hii fursa. Yaani full time.....
 
Last edited by a moderator:
Reactions: kui
USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:

Wale anti-US wako wapi leo?

Kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Nani zaidi ya USA hapa duniani? Nani huyo?

Kim Jong Un?

Teh teh teh
 
Tulia mrembo kui yaani huyu anakuja kwa sie manyang'au, hakuna kulala walahi, lazima kila mbinu zitumike za kuchangamkia hii fursa. Yaani full time.....

......that's ma boy right there!
 
Nyani Ngabu
Ina maana huyu Obama,the small matter ya kwenda kutembelea kaburi la baba yake limemshinda? Nimesikia eti Security detail yake imeshindwa kumuhakikishia usalama wake akienda huko sweden.

mambo ya kuabudu mizimu yamepitwa na wakati
 
Last edited by a moderator:

aisee hii ya ndoa ya jinsia moja itaweza kuongelewa mbele ya mugabe?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…