Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Ina uchumi mkubwa kuliko mataifa mengine yote duniani.

Ndiyo entertainment capital ya dunia.

Inaongoza kwa kuwa na makampuni mengi ya kimataifa.

Ndiyo nchi yenye ushawishi mkubwa sana duniani kuliko nchi zingine.

Ndiyo nchi yenye vyuo vikuu bora vingi zaidi duniani.

Ndiyo nchi inayoongoza kutoa Nobel Laureates wengi zaidi kuliko nchi nyingine yoyote ile.

Kama unatumia internet, VISA, MasterCard, Coca-Cola, Nike, na kadhalika, basi ishukuru Marekani.

Niendelee......?

Umesahau nigga wanavyopigwa shaba na watasha daily...
 
Anawasili katikati ya saa mbili na saa tano usiku wa leo muda exact bado hauko clear.
 
wakuu MOTOCHINI sam999 Iconoclastes MK254 FaizaFoxy Geza Ulole Kimweri Asprin bagamoyo Hoodla NairobiWalker mimi leo natoa yangu ya moyoni kuhusu ujio wa obama, Obama himself anaonekana anakuja kenya underinfluence ya makelele na vilio vya wakenya eti obama amewasaliti wakenya kwa kuanza kuja tanzania na wala sio kenya,hii kitu imewauma sana wakenya, wakenya wamempigia sana magoti obama ili aje kenya awaondolee aibu ,obama akarudisha moyo nyuma lakini akawapa masharti, kwanza hatokuja na familia yake pili lazima akija apitishe ushoga.wakenya wakakubali.na pia kuna tetesi obama amepanga kwenda bongo tena kabla hajastaafu urais

Halafu...!!?
 
Last edited by a moderator:
Magari ya Obama yawasili kwenye Terminal 2

11703311_10153574309699497_424993773614174520_n.jpg


10986650_10153574309724497_3187053292110700004_n.jpg



11760059_10153574309794497_7378214280629479907_n.jpg
 
Wakenya wakiwa kwenye foleni za kupata tiketi kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha Obama.

11781873_10153574266164497_468759872373922784_n.jpg
 
Hata kula majani mtakula,lakini lazima ndege ya Rais inunuliwe....naiona Airforce one kwenye TV ya kenya wanavyoisasambua halafu nafananisha na hii 5HCCM ONE.....hivi kisheria inaweza badilishwa ikawa 5H M4C kama mambo yakiwa mazuri
 
Nakutafuta kumbe umeenda airport....lol!

Tulia mrembo kui yaani huyu anakuja kwa sie manyang'au, hakuna kulala walahi, lazima kila mbinu zitumike za kuchangamkia hii fursa. Yaani full time.....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: kui
USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:

Wale anti-US wako wapi leo?

Kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Nani zaidi ya USA hapa duniani? Nani huyo?

Kim Jong Un?

Teh teh teh
 
Tulia mrembo kui yaani huyu anakuja kwa sie manyang'au, hakuna kulala walahi, lazima kila mbinu zitumike za kuchangamkia hii fursa. Yaani full time.....

......that's ma boy right there!
 
Nyani Ngabu
Ina maana huyu Obama,the small matter ya kwenda kutembelea kaburi la baba yake limemshinda? Nimesikia eti Security detail yake imeshindwa kumuhakikishia usalama wake akienda huko sweden.

mambo ya kuabudu mizimu yamepitwa na wakati
 
Last edited by a moderator:
MeinKempf

Jakaya Kikwetekwa sasa yupo Australia kwa ziara ambapo atakwea pipa hadi adis ababa kuwahi mkutano wa a,u head of state ambao utakuwa na mambo mawili makubwa mapya.

1, Uchaguzi wa Burundi na machafuko yake pia pendekezo la kamisheni yake inayo ongozwa na bi nkosazana dramin zuma iliyopendekeza uchaguzi huo ni batili.
Jakaya Kikwete atatoa taarifa ya e,a,c yeye kama mwenyekiti wa sasa sanjari na mseveni msuruhishi,

2. Hotuba ya obama kuhusu afrika ,ugaidi, ndoa za jinsia moja na uhuru wa mtu na utu wake,miundombinu na miradi ya umeme (power Africa )

aisee hii ya ndoa ya jinsia moja itaweza kuongelewa mbele ya mugabe?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom