Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Ngoma usiku??

Kenya Is not a mediocre nation
This shows how far you are alienated from your own culture; in your quest to ape the white man. Your self denial is a manifestation of mediocrity at its best. Kenya ni kitovu cha ugaidi, yaani sasa mnaogopa hata kucheza ngoma usiku?
 
nimependa wapinza ni kesho watapewa dakika 45 kuongea na Obama
 
This shows how far you are alienated from your own culture; in your quest to ape the white man. Your self denial is a manifestation of mediocrity at its best.

Ammmmm in kenya
Ululating or drumming at night is only for night runners or witch doctors hakuna kitu kama hyo but majority of Tanzanians were which doctors pre colonisation so si mbaya kama mna drum usiku
 
ii will travel there from dar when this jaluo leaves kenya
 
Aiseee.........
Ile dharau.........sikutegemea...........
 
Kweli Wamarekani kiboko.Yaani utafikiri wenyewe ndio wenyeji na Wakenya ndio wageni

hawa watu nuksi, alafu hata obama ktk kutembea utaona kama ye ndo mwenyeji, yaani huwa anawapa direction wenyeji wake na kuwapa a lil pat on the back!!
 
Hahahaaaa kusema kweli sijui protokali zao zilivyo.

Lakini hata JK aliachwa mbona hahahaaaa.

Ila mshikaji dizaini kama kaachwa anashangaa shangaa hivi.

Hawa Wamarekani saa ingine bana.....wana nyodo sana.

Wananiudhi kutembeza ubabe hata ugenini! Nilidhani wanafanyia kwao tu.

Nilikuwa nashangaa unakutana na mtu mahali kinachofuata ni kukukaribisha kwake ukale na kisaza..lol!

Hii tabia siyo nzuri. Hata JK nakumbuka alikuwa anatanywa kama shamba boy.
 
This shows how far you are alienated from your own culture; in your quest to ape the white man. Your self denial is a manifestation of mediocrity at its best. Kenya ni kitovu cha ugaidi, yaani sasa mnaogopa hata kucheza ngoma usiku?
umegonga ikulu!
 
Lakn mbona kama kakaa sana mbele ya gari kabla halijaondoka, it mean alikuwa aware na iko kitu,.

Note : waliongozana kwenye beast ya kwanza then wakarudi ya pili wakasimama sana tu, ndio obama akatoka.

Mengine naona Majungu tu, au wa tz inatuuma?
 
Wananiudhi kutembeza ubabe hata ugenini! Nilidhani wanafanyia kwao tu.

Nilikuwa nashangaa unakutana na mtu mahali kinachofuata ni kukukaribisha kwake ukale na kisaza..lol!

Hii tabia siyo nzuri. Hata JK nakumbuka alikuwa anatanywa kama shamba boy.

Noma sana aisee.

Lakini tutafanyaje sasa?

Rais wa Marekani ndo rais wa dunia.

Na kwa jinsi hali ilivyo mwakani kuna uwezekano wa mwanamke kuwa rais wa Marekani,.

Sasa imagine akienda trip na mumewe ambaye naye ni rais wa zamani wa Marekani.

Wote wawili watakuwa na security detail yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…