The moon is dead
Member
- Jul 8, 2015
- 11
- 0
Jamaa kajifungia kwenye "The beast" kasepa kamwacha Kenyata anashangaa mataa ya JKIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ammmmm in kenya
Ululating or drumming at night is only for night runners or witch doctors hakuna kitu kama hyo but majority of Tanzanians were which doctors pre colonisation so si mbaya kama mna drum usiku
Lakn mbona kama kakaa sana mbele ya gari kabla halijaondoka, it mean alikuwa aware na iko kitu,.
Note : waliongozana kwenye beast ya kwanza then wakarudi ya pili watasimama sana tu, ndio obama akatoka. Mengine naona Majungu tu, au wa tz inatuuma?
Mizinga walipiga kabla wakamtumia audie kwa email
Noma sana aisee.
Lakini tutafanyaje sasa?
Rais wa Marekani ndo rais wa dunia.
Na kwa jinsi hali ilivyo mwakani kuna uwezekano wa mwanamke kuwa rais wa Marekani,.
Sasa imagine akienda trip na mumewe ambaye naye ni rais wa zamani wa Marekani.
Wote wawili watakuwa na security detail yao.
Kwani mkulu wetu ilikuwaje alipokuja hapa bongo?
Acheni majungu na wivu wa kike.hivi mnadhani yule ni rais wa shelisheli ndo kuwe na mbwembwe?Yule ni mkuu wa dunia ndio maana alipokuja bongo mlideki barabara na kupanda minazi ya bandia.pia mateja wote na ombaomba mkawasweka ndani.sasa mnashangaa nini kwa wakenya?
Acheni majungu na wivu wa kike.hivi mnadhani yule ni rais wa shelisheli ndo kuwe na mbwembwe?Yule ni mkuu wa dunia ndio maana alipokuja bongo mlideki barabara na kupanda minazi ya bandia.pia mateja wote na ombaomba mkawasweka ndani.sasa mnashangaa nini kwa wakenya?
hahahahaha sasa huyu naye alikuwa anafanya nini..... hawa ndio majajususi wa kenya....? ama alikuwa anaangalia usalama wa beast
![]()
Nimecheka sana jf foreverMizinga walipiga kabla wakamtumia audie kwa email
Acha kukuza mambo kumbuka ilikuwa ni usiku....!I have never seen the president stranded like this. Hosting president is left wondering...
Umaskini tabu
Uhuru ndio ako mbele ya msafara
I have never seen the president stranded like this. Hosting president is left wondering...
Umaskini tabu