Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Ammmmm in kenya
Ululating or drumming at night is only for night runners or witch doctors hakuna kitu kama hyo but majority of Tanzanians were which doctors pre colonisation so si mbaya kama mna drum usiku

Unaona raha kuwatukana na kuwaudhi wenzio?
 
Lakn mbona kama kakaa sana mbele ya gari kabla halijaondoka, it mean alikuwa aware na iko kitu,.

Note : waliongozana kwenye beast ya kwanza then wakarudi ya pili watasimama sana tu, ndio obama akatoka. Mengine naona Majungu tu, au wa tz inatuuma?

Acheni majungu na wivu wa kike.hivi mnadhani yule ni rais wa shelisheli ndo kuwe na mbwembwe?Yule ni mkuu wa dunia ndio maana alipokuja bongo mlideki barabara na kupanda minazi ya bandia.pia mateja wote na ombaomba mkawasweka ndani.sasa mnashangaa nini kwa wakenya?
 
Kama mlimuona alikuwa kama anashangaa na kuwauliza wenzake why gari lake halionekani!!!!
 
Noma sana aisee.

Lakini tutafanyaje sasa?

Rais wa Marekani ndo rais wa dunia.

Na kwa jinsi hali ilivyo mwakani kuna uwezekano wa mwanamke kuwa rais wa Marekani,.

Sasa imagine akienda trip na mumewe ambaye naye ni rais wa zamani wa Marekani.

Wote wawili watakuwa na security detail yao.

Heri yao bwana.

Ndiyo maana kwetu wana msemo kuwa maskini anamzidi mbwa kiduchu tu au wanalingana!

Mwenye chake muungwana bwana!
 
hahahahaha sasa huyu naye alikuwa anafanya nini..... hawa ndio majajususi wa kenya....? ama alikuwa anaangalia usalama wa beast



attachment.php

 
Acheni majungu na wivu wa kike.hivi mnadhani yule ni rais wa shelisheli ndo kuwe na mbwembwe?Yule ni mkuu wa dunia ndio maana alipokuja bongo mlideki barabara na kupanda minazi ya bandia.pia mateja wote na ombaomba mkawasweka ndani.sasa mnashangaa nini kwa wakenya?

Koma.Yule ni rais wa marekani tu.Kila sovereign state ina mkuu wake wa kwetu ni Mh.kikwete.
 
USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
 
Acheni majungu na wivu wa kike.hivi mnadhani yule ni rais wa shelisheli ndo kuwe na mbwembwe?Yule ni mkuu wa dunia ndio maana alipokuja bongo mlideki barabara na kupanda minazi ya bandia.pia mateja wote na ombaomba mkawasweka ndani.sasa mnashangaa nini kwa wakenya?

We mngese nini unanambia mimi niache wivu wa kike umeona mie nasapoti mada ya mleta uzi?

Soma tena andiko langu, mimi napinga hii mada maana si kweli eti uhuru asijue kinachoendelea wakati gari zinakuja kumbeba Obama uhuru anaona, so alikuwa aware na kinachoendelea sio kuwa kaachwa soremba

Ila Majungu ya kibongo ndio kama hv
 
hahahahaha sasa huyu naye alikuwa anafanya nini..... hawa ndio majajususi wa kenya....? ama alikuwa anaangalia usalama wa beast



attachment.php


Hapo alikuwa anakoromewa na huyo Mzungu, akimwambia unachafua Beast!
 
Mambo yenyewe ni kama hayaaa: https://www.youtube.com/watch?v=BvDyy9to_sY
 
Back
Top Bottom