Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Yaani Obama kuja siku mbili tuu watu wanasimamisha shughuli zote za kitaifa, sijui ingekuaje kama angekuja Kuishi kabisa? Nafikiri wangempa kabisa na.................................

Wampe nini
 
Nimeona Rais Kenyatta akibeba kiti alichokalia Obama kukirudiaha nyuma baada ya Obama kusaini kitabu cha wageni,baadae akaja ofisa mmoja kukirudiaha zaidi.
Dar Rais anakuwa kaofisa mbele ya RAIS
 
Fuatilia citizen kenya social media club utakuta mjadala wa why katumia almost long time kuongea na mtoto ... pia hakumpa handshake ya head of state kampa brotherly one... obama hakufocus kwa president kabisa... nenda you tube compare na visit ya ghana, south africa na nchi zingine and compare.

Hivi kwanini tunapenda kukariri na kukuza vitu namna hiyo?? Presidential handshake ikoje?? Ni ya lazima??

Kama dhamira yake ilikuwa kumu ignore Uhuru wala asingeonyesha kumchangamkia hasa baada ya ule utambulisho
 
Fuatilia citizen kenya social media club utakuta mjadala wa why katumia almost long time kuongea na mtoto ... pia hakumpa handshake ya head of state kampa brotherly one... obama hakufocus kwa president kabisa... nenda you tube compare na visit ya ghana, south africa na nchi zingine and compare.
pale kaja kusalimia ndugu zake wa baba mmoja
 
Angalua hapo tofauti ya Obama alipokuja TZ na Leo Kenya. Mengine mtasema wenyewe naona watu wanataka kukataa ukweli na kupotosha...
Wamarekani walishasema rais wao anakwenda kwenye nchi ambayo ni kitovu cha ugaidi, ingawa wakenya walikasirika sana na huo msemo.
 
Anyway ya ngoswe tumwachie ngoswe ngoja tupambane na BVR zetu kuzuia goli la mkono
 
usa apart from military haina chochote why is usa so concerned about irans nuclear ongoing??[/QUOTE]

Mkuu hivi hapa jamii forums unadhani kabisa kuna mtu unaweza kumuokota kirahisi hivi, yaani unaaminisha watu US imeendelea kijeshi tu nyanja zingine haina chochote! Hapa lazima kuna namna kati yako na US
 
usa apart from military haina chochote why is usa so concerned about irans nuclear ongoing??

Mkuu hivi hapa jamii forums unadhani kabisa kuna mtu unaweza kumuokota kirahisi hivi, yaani unaaminisha watu US imeendelea kijeshi tu nyanja zingine haina chochote! Hapa lazima kuna namna kati yako na US
 
Unaangalia channel gani? Nimeanza kufuatilia tangu saa 12 jioni hakuna hicho unachokisema. Ninachoona ni maandalizi tu ya mapokezi. Si KBC, K4 wala CITIZEN TV wanapoonesha. Hebu kuwa makini na uchokisema. Sio vema kupotosha umma.
 
Check sasa muendelezo wa mapokezi kwenye KBC TV. Tayari Obama yupo Kenya. Live ilikuwa saa 2:30 ndipo alipotua Kenya na airforce one. Pia Azamtv walirusha live kijipande kwenye taarifa yao ya habari ya saa 2
 
wakuu MOTOCHINI sam999 Iconoclastes MK254 FaizaFoxy Geza Ulole Kimweri Asprin bagamoyo Hoodla NairobiWalker mimi leo natoa yangu ya moyoni kuhusu ujio wa obama, Obama himself anaonekana anakuja kenya underinfluence ya makelele na vilio vya wakenya eti obama amewasaliti wakenya kwa kuanza kuja tanzania na wala sio kenya,hii kitu imewauma sana wakenya, wakenya wamempigia sana magoti obama ili aje kenya awaondolee aibu ,obama akarudisha moyo nyuma lakini akawapa masharti, kwanza hatokuja na familia yake pili lazima akija apitishe ushoga.wakenya wakakubali.na pia kuna tetesi obama amepanga kwenda bongo tena kabla hajastaafu urais

Aiseee sijawahi soma comment ya kifala kama hii....for real unawaaibisha watz. You look handsome when you write nothing rather than exposing your level of stupidity.
 
Last edited by a moderator:
10955323_1018322654845006_8797023340036298605_n.jpg
 
Back
Top Bottom