Duuuh,huyu secret service wa kike,akikutazama tu una drop dead,sidhani hata kama Periods anapata
hapana hawawezi,kwa sasa wamekunja mkia kama vijibwa koko vya kibera.Wakikinukisha? Terrorists hawana adabu
Duuuh,huyu secret service wa kike,akikutazama tu una drop dead,sidhani hata kama Periods anapata
Mamma mia!!!! mkononi kavaa Rolex,oregon- sijui hii imenunuliwa na walipa kodi wa USA au KENYA
Duh...coverage ya ziara ya Obama kwenye US media ni ndogo sana hahahaaaaaa.