Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)


Mh!,.....hii look inaitwa sogea uone....

Hoodla anafikiria ni trans, but stuff they go through to get to this is no joke, niliwahi peek video moja wakiwa wana work out (lifting weights) as part of the training, niliona kama wana lift same weights na za waume, unless kama za wanawake zilikuwa few pounds less. But I think the kind of training they go through is enough to give her this (look)
 
Reactions: bht
Nimeona Rais Kenyatta akibeba kiti alichokalia Obama kukirudiaha nyuma baada ya Obama kusaini kitabu cha wageni,baadae akaja ofisa mmoja kukirudiaha zaidi.
Dar Rais anakuwa kaofisa mbele ya RAIS

Hamna tz airport Hyo ni visitors book mgeni yeyote akija ana signia airport toka queen Elizabeth 1952-Mandela 1995-Pope 1972-1983-1985-museveni, kofi anan banking moon..... Yaitwa protocol kenya si tanzania
 
And Obama is worth 7mn$
Uhuru Kenyatta is worth 248mn$

So wakiwa free citizens uhuru ata ball like shiet
 
kweli kwetu kulikuwa na ulinzi lakini huu wa kenya noma,nimeona kuna kama police officer kama 10,000 wamemwaga.

ulinzi ni mkali sana ...hapa ni mkuu wa viwanja vuya ndege vyote vya kenya ,
ambaye pia mkuu wa uwanja wa ndege wa JKIA Mr. Eric Kiraithe ,
akikaguliwa vikali sana na jmaaa wa kazi. hakuna kuamini mtu hapa.

 
ulinzi ni mkali sana ...hapa ni mkuu wa viwanja vuya ndege vyote vya kenya ,
ambaye pia mkuu wa uwanja wa ndege wa JKIA Mr. Eric Kiraithe ,
akikaguliwa vikali sana na jmaaa wa kazi. hakuna kuamini mtu hapa.


brother MK254 na sam999 Iconoclastes watakasirika sana wakipata hii post
 
Last edited by a moderator:
brother MK254 na sam999 Iconoclastes watakasirika sana wakipata hii post
Tukisirike kwanini jameni? Sote tunaelewa that's how the SS do their things, trusting nobody when it comes to the safety of the POTUS.
Si even president Mkapa was thoroughly frisked, his car searched by sniffer dogs when President Bill Clinton toured Tanzania.
Now that was the height of humiliation for the host country Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Why is he treating kenyatta as an underdog... and he is dominating the stage
 
TV za Kenya zinaonyesha recorded ziko nyuma kama dakika 5,anasema mpesa ilianzia Kenya
 
Kamchukua dadake Auma Obama kwenye the beast na kumuacha Uhuru kwenye mataa asijue la kufanya.

Yaani ulitaka wapande gari moja? Huu sasa ushamba dadangu!! Nimekasikia na kabibi mtu kanatamba kwamba leo kamelala kwa hotel aliyofikia Obama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…