Kulikuwa na tetesi ya kwamba ujio wake utafanya taifa lile la Kenya mawasiliano kutokuwepo hapo kuna ukweli wowote MeinKempf
Ni afadhali mgambo wa jiji hapa Bongo!
Yaani hawa watu, hadi shule mabenk wamefunga
wakuu MOTOCHINI sam999 Iconoclastes MK254 FaizaFoxy Geza Ulole Kimweri Asprin bagamoyo Hoodla NairobiWalker mimi leo natoa yangu ya moyoni kuhusu ujio wa obama, Obama himself anaonekana anakuja kenya underinfluence ya makelele na vilio vya wakenya eti obama amewasaliti wakenya kwa kuanza kuja tanzania na wala sio kenya,hii kitu imewauma sana wakenya, wakenya wamempigia sana magoti obama ili aje kenya awaondolee aibu ,obama akarudisha moyo nyuma lakini akawapa masharti, kwanza hatokuja na familia yake pili lazima akija apitishe ushoga.wakenya wakakubali.na pia kuna tetesi obama amepanga kwenda bongo tena kabla hajastaafu urais
Yaani Obama kuja siku mbili tuu watu wanasimamisha shughuli zote za kitaifa, sijui ingekuaje kama angekuja Kuishi kabisa? Nafikiri wangempa kabisa na.................................
si kweli mkuu bwawa ala maini. mawasilano yatakuwepo ila under special control of the US marine na FBI.
Hivyo leo ukipanda hewani unapitia kwanza washington District of Columbia i.e Washinton D.C kwa wakubwa wa kazi kwaajili ya kuchujwa ili wapate pumba na mchele.
Akitoka kenya ataenda Adis Ababa ETHIOPIA .
JK kaalikwa kwa simu TV tu.
kwa hiyo kama nambembeleza mamsapu tukapige show watakua wanatusikiliza wapuuzi sana hawa watu.
JK yuko busy kujiandaa kwenda Australia leo usiku
angalau kwa siku hizi chache ambazo obama atakuwa kenya,wakenya watalala kwa amani,kunywa bia kwa amani,kula githeri kwa amani,kupanda matatu na kusafiri nje ya nairobi kwa amani.ila akiondoka tu,hofu na mashaka dhidi ya alshabab,yatarejea upya.hali duni ya usalama itakuwa kama awali.
jamani naomba mtujuze Obama ata touch down saa ngapi za East Africa?Atafika saa ngapi?