Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Kulikuwa na tetesi ya kwamba ujio wake utafanya taifa lile la Kenya mawasiliano kutokuwepo hapo kuna ukweli wowote MeinKempf

si kweli mkuu bwawa ala maini. mawasilano yatakuwepo ila under special control of the US marine na FBI.
Hivyo leo ukipanda hewani unapitia kwanza washington District of Columbia i.e Washinton D.C kwa wakubwa wa kazi kwaajili ya kuchujwa ili wapate pumba na mchele.
 
H.E Baraka Obama President of the United States of America has comfirmed to visit Kenya for only 8 hours.

The US Navy Seals will be in charge of all water bodies in East Africa.

The USA Secret Service, CIA,FBI will take over the Role of Kenya Defense Forces and all Armed in Kenya.

Jommo Kenyatta International Airport will be closed to only accomodate Airforce one. No Kenyan Airport Staff will be around inside or near Airport.The USA Aviation Authority and Pentagon will take charge.

The EAst Africa Airspace will directly be Controlled from Washington DC, and with USA Raddars based in North Africa and in indian Ocean.

The USA Abraham Licoln Naval War Ship and Naval Carrier will dock at the Mombasa coast of indian ocean and it is expected to be a launch pad for the USA B52 Bombers.

The US War Ship manufactured for instant electricity supply will be stationed in indian ocean to add of electricity supply to the US installments and CIA operations command centres in Kenya.

There will be no work in Kenya for three days.

All Major Roads in Kenya will be closed and controlled by satelite from Texas USA operations command centre as well as controlled by usa army in nairobi.

No commercial ship will be allowed to dock in Mombasa.

The President Obama motorcade will consist of over 100 Hi_tech Armoured Vehicles which can themselves repulse and control a B10 or any bomb device.

For 8 hours, all mobile numbers in somalia will be off.

The Presidential guard of Kenya will not be allowed near H.E Kenyatta apart from only hid ADC and a secretary.

The US NASA will ensure that the world above the earth which is controlled by USA willl control kenya space and entire africa space using the NASA satelites which are on the Moon, the mars,etc.

The NATO North Atlantic Treaty Organization will take charge of Raddars and flight control in all countries in Africa
 
Ni afadhali mgambo wa jiji hapa Bongo!

Ndo unavyojifariji enheee?
waulize wenzio akina kova (alinuswa nuswa na mbwa wa FBI kabla ya kumsogelea mkubwa wa kazi)
pia said mwema na CDF mwamunyange hawatakaa wamsahu Obama kwajinsi alivyo wakosesha usingizi Kwa wiki nzima kama enzi zao walivyokuwa depo za CCP na TMA.
 
wakuu MOTOCHINI sam999 Iconoclastes MK254 FaizaFoxy Geza Ulole Kimweri Asprin bagamoyo Hoodla NairobiWalker mimi leo natoa yangu ya moyoni kuhusu ujio wa obama, Obama himself anaonekana anakuja kenya underinfluence ya makelele na vilio vya wakenya eti obama amewasaliti wakenya kwa kuanza kuja tanzania na wala sio kenya,hii kitu imewauma sana wakenya, wakenya wamempigia sana magoti obama ili aje kenya awaondolee aibu ,obama akarudisha moyo nyuma lakini akawapa masharti, kwanza hatokuja na familia yake pili lazima akija apitishe ushoga.wakenya wakakubali.na pia kuna tetesi obama amepanga kwenda bongo tena kabla hajastaafu urais


Inaitwa machungu. Inaeleweka lakini
 
Yaani Obama kuja siku mbili tuu watu wanasimamisha shughuli zote za kitaifa, sijui ingekuaje kama angekuja Kuishi kabisa? Nafikiri wangempa kabisa na.................................

Acha unafiki. Mlifanya vivyo hivyo alipokuja Tz.......................heri sisi tunaweza sema tunafanya hivyo kwa sababu ana asili ya Kenya, nyinyi mtasemaje?
 
si kweli mkuu bwawa ala maini. mawasilano yatakuwepo ila under special control of the US marine na FBI.
Hivyo leo ukipanda hewani unapitia kwanza washington District of Columbia i.e Washinton D.C kwa wakubwa wa kazi kwaajili ya kuchujwa ili wapate pumba na mchele.

kwa hiyo kama nambembeleza mamsapu tukapige show watakua wanatusikiliza wapuuzi sana hawa watu.
 
JK yuko busy kujiandaa kwenda Australia leo usiku

hiyo zuga tu mkuu...lakini main intetion ya safari yake ni kupita kwenye
anga la Haile sellasie ili akatembeze bakuri la mwisho mwisho.
 
Wale wanawake waliokuwa wamepanga kwenda kumpokea #Obama wakiwa uchi kupinga marekani kukubali ndoa za jinsia moja wataruhusiwa kufikisha ujumbe wao?Leo hata alshababu watakuwa wamejificha
 
angalau kwa siku hizi chache ambazo obama atakuwa kenya,wakenya watalala kwa amani,kunywa bia kwa amani,kula githeri kwa amani,kupanda matatu na kusafiri nje ya nairobi kwa amani.ila akiondoka tu,hofu na mashaka dhidi ya alshabab,yatarejea upya.hali duni ya usalama itakuwa kama awali.
 
angalau kwa siku hizi chache ambazo obama atakuwa kenya,wakenya watalala kwa amani,kunywa bia kwa amani,kula githeri kwa amani,kupanda matatu na kusafiri nje ya nairobi kwa amani.ila akiondoka tu,hofu na mashaka dhidi ya alshabab,yatarejea upya.hali duni ya usalama itakuwa kama awali.

ahaaa......kwahiyo itakuwa ni ile ya njoo mgeni mwenyeji apone.
 
USA baby

The greatest country ever.

Haya nani sasa anabisha kwamba USA siyo kiboko yao?

Nani anabisha kwamba USA ni taifa kubwa?

A visit by POTUS is a huge fucking deal.
 
Hivi dogo Uhuru naye atadandia lift ya The Beast kutoka uwanja wa ndege?

Heheheeeeee.......nani mwingine hapa duniani husafiri na gari lake popote aendapo duniani?

Ni nani huyo? Putin? Kim Jong Un?

Hahahaaaaaaaa USA baby.
 
Nyani Ngabu
Ina maana huyu Obama,the small matter ya kwenda kutembelea kaburi la baba yake limemshinda? Nimesikia eti Security detail yake imeshindwa kumuhakikishia usalama wake akienda huko sweden.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom