MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,093
- 7,229
Kulikuwa na tetesi ya kwamba ujio wake utafanya taifa lile la Kenya mawasiliano kutokuwepo hapo kuna ukweli wowote MeinKempf
si kweli mkuu bwawa ala maini. mawasilano yatakuwepo ila under special control of the US marine na FBI.
Hivyo leo ukipanda hewani unapitia kwanza washington District of Columbia i.e Washinton D.C kwa wakubwa wa kazi kwaajili ya kuchujwa ili wapate pumba na mchele.