Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

[Q7l.g0g!UOTE=sam999;12653592]Yet u receive more budgetary aid than kenya SMH[/QUOTE]
 
Afadhali aende huko ili wakenya wapunguze kutuchukia watz kwa yeye kuitembelea tz na kuikacha ky
 
President Barack Obama will make his first trip to Kenya, the country of his father's birth.


iu1f7brY_400x400.png


The White House announced Monday morning that President Obama will travel to Kenya this July for the annual Global Entrepreneurship Summit, which the Kenyan government has agreed to co-host this year.

"His trip will build on the success of the August 2014 U.S.-Africa Leaders Summit and continue our efforts to work with countries in sub-Saharan Africa, including Kenya, to accelerate economic growth, strengthen democratic institutions, and improve security," the White House said in a statement.

Obama's trip will be his fourth to sub-Saharan Africa since becoming president, said the White House. It will be his first to his father's homeland since his 2008 election. He did not visit Kenya during his last major trip to Africa in 2013 amid charges of crimes against humanity against the country's leader, Uhuru Kenyatta, at the International Criminal Court.

Obama has indicated on several occasions that he would likely visit the country before the end of his presidency.

The sixth annual summit will attempt to connect "emerging entrepreneurs with leaders from business, international organizations, and governments looking to support them." The White House called the event a "global platform" for deepening relationships between the U.S. government, local leaders and communities.

The 2014 summit was hosted in Morocco.


Ha ha ha, walisema eti Obama hawezi kuja Kenya kwani hii inchi ilikua yatawaliwa
na wahuni.

Sasa wahuni ni akina nani,,,,kama si bint soda na wenzake?????

Ha ha ha, ICC, kwisha,,, na sasa Uhuru ni,,,huru na,,,,,,,,,.

Sasa tunawasaidia hawa wenye kutaka kujiokoa na kusingizia
eti wanaokoa Kenya, ha ha ha ha he he he.:teeth:

Karibu Obama Kenya ingawa ulikua umepotoshwa lakini ulikuja
kuona ukweli baada ya ICC na propaganda zao kuambulia,,patupu,

Kwani,,mbio za sakafuni,,uishia ukingoni.
 
pwahaha cheki uyu wenga anyiti any ...buda sare kuyoyoma man
acha ukiritimba, hata wewe ukisemeshwa slang za Togo au Zaire au Malawi utaelewa? shows how little you think! the world does not start and end in Kenya.
 

When Barack Obama visits Africa this month, he will be welcomed by a continent that had expected closer attention from a man they claim as their son, a sentiment felt acutely in the Kenyan village where the 44th U.S. president's father is buried.

"We thought the American government could at least bring some assistance to the area," said Stephen Okumu Obewa, a teacher in Kogelo village who works at Senator Barack Obama Primary School, named before Obama reached the White House.
"Maybe he is interested somehow but we are not aware," he said in a scruffy school with many broken chairs and desks.

Obama wrote about a visit to Kogelo in his 1995 book "Dreams from My Father", which helped launch his swift political ascent.

Some of the fame rubbed off on the village. Tourists turned up and visitors often knock on the door of Mama Sarah, as Obama's step-grandmother is known.

Nearby is the grave of his father, the senior Barack Obama, a Kenyan government economist who died in a car accident in 1982, 21 years after fathering the future U.S. president while living in Hawaii as a visiting student.

Many Africans wonder why Obama has not made development on their continent more a priority in his two terms in office.

"With his election, there was this huge euphoria and high hopes that the U.S.-Africa relationship would see substantive improvements and the U.S. would give more attention to Africa," said David Zounmenou, a research fellow at the Institute for Security Studies in South Africa. "But the record is very weak."
Obama visits Kenya and Ethiopia later in July, his third major trip to Sub-Saharan Africa after travelling to Ghana in 2009 and to Tanzania,Senegal and South Africa in 2011.

He has also visited Egypt, and South Africa for Nelson Mandela's funeral.
"NOT LIKE AN AFRICAN MAN"

"My hope is that we can deliver a message that the U.S. is a strong partner not just for Kenya, but for Sub-Saharan Africa generally," Obama said last week. He said he hoped to build on progress made in health, education and counterterrorism, and to encourage democracy and reducing corruption.

U.S. officials say the perception Obama has ignored Africa is unfair. They point to U.S. efforts to contain the Ebola virus in West Africa and a $7 billion continent-wide initiative to expand electricity supply that was launched in 2013.
But that is a tiny sum compared to the many billions that China has been spending on infrastructure in Africa, bringing roads, airports and railways to a continent with almost 1 billion people and an emerging middle class.

The year Obama took office, 2009, was also the year China overtook the United States as Africa's biggest trade partner.

Nor does Obama have a signature African achievement, unlike his two predecessors.
George W. Bush was lauded for funding HIV/AIDS treatment across the continent. Bill Clinton signed a law which sharply reduced trade restrictions on imports from 35 African states. Obama, who leaves office in January 2017, has carried on both initiatives, but cannot claim them as his own.

"To me, he's not like an African man. He doesn't even have a building or a business here," said Calvine Rachuonyo, 28, who drives a motorcycle taxi in Kisumu, the nearest big city to Obama's father's western Kenyan home village.
In Kenya, his visit could attract some protests, most likely small.

Members of one fringe anti-gay group are planning to protest naked in the capital on the eve of Obama's visit because of his support for gay rights. A student group says it will defile a tree that Obama planted before he became president at Nairobi University, unless he returns there for another visit.

Still, the upcoming arrival has meant an uptick in business for Victor Agwa, who sells Obama trinkets and t-shirts, some emblazoned with the words "Son of Africa", in Kisumu.

Agwa sold a thousand T-shirts before Obama's first election in 2008. Since then, business has steadily declined.

"People have a feeling that maybe he got too busy to come here," he said, hoping for more visits when Obama leaves office.

U.S. Ambassador Robert Godec has said Obama would not visit Kogelo, and that he will instead address the Kenyan people at a Nairobi stadium on July 26.

But Kogelo residents are still preparing just in case Obama does turn up, including sprucing up the grave site of the president's father.

"The gate is always open for Barack, day and night," said Mashart Onyango, who lives on the family compound and said she was one of Obama's aunts. "He is our relative."

Source: Reuters
 
Je Obama Atasalimiana Na Ruto? Obama Ni Muumini Wa Haki Za Binadamu Na Ruto Bado Anatuhumiwa Kwa Mauji, Je Hili Limekaaje Kimaadili?
 
Leo ni siku ya kipekee sana kwa watu wa kenya , afrika mashariki na afrika kwa ujumla pale Rais wa (MAREKANI) ambalo ni Taifa kubwa duniani katika nyanja zote za maisha atakapo tembelea nchi ya Kenya kwa mara ya kwanza akiwa kama Rais wa USA.

Karibu tuungane katika kupeana updates za kitachojiri katika ujio huo ikizingatiwa Tanzania tuliisha wahi onja utamu na adha za ujio wa huyu mtu mkubwa na hata George W. Bush pia. Ziara yake ni kuanzia leo Ijumaa mpaka Jpili atapoondoka.

Shirika linalosimamia safari za ndege nchini Kenya, KCAA, limetangaza kuwa anga ya Kenya itafungwa kwa muda wa dakika hamsini siku ya Ijumaa wiki hii ili kuruhusu ndege ya rais wa Marekani Barrack Obama kutua katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Kenyatta mjini Nairobi.


Kwa mujibu wa shirika hilo, agizo hilo litatekelezwa katika viwanja vyote vya ndege nchini Kenya na kuwa anga hiyo itafunguliwa muda tu pale ndege hiyo ya rais Obama itakapokuwa imetua.

Shirika hilo limesema kuwa limeyaandikia mashirika yote ya ndege na pia kampuni zote za usafiri kuhusiana na agizo hilo na kuwa safari za ndege kadhaa zitacheleweshwa siku hiyo na pia siku ya jumapili wakati rais Obama atakapokuwa akiondoka nchini Kenya kuelekea Ethiopia kwa muda wa dakika arubaini.

Awali idara ya polisi nchini Kenya ilikuwa imetangaza kuwa anga yote ya Kenya itafungwa kwa muda wa siku tatu kabla ya ziara hiyo lakini kwa mujibu wa shirika la KCAA ndege zote zinazopaa chini ya futi elfu ishirini hazitaruhusiwa kutua katika uwanja wa Jomo Kenyatta na uwanja wa wilson mjini Nairobi kuanzia siku ya Ijumaa hadi siku ya jumatatu, wakati wa kongamano la kimataifa ya ujasiriamali litakalofanyika mjini Nairobi.

Agizo hilo sasa linamaanisha ndege zote ndogo ndogo ambazo uhudumu kati ya Nairobi na Somalia na viwanja vingine vidogo vidogo katika kanda ya Afrika Mashariki, havitaruhusiwa kutua Nairobi hadi mkutano huo utakapomalizika.

Rais wa Marekani Barrack Obama anatarajiwa mjini Nairobi siku ya Ijumaa usiku ambapo anatarajiwa kuwa mwenyeji wa kongamano hilo la kibiashara kwa pamoja na mwenyeji wake rais uhuru Kenyatta.

KWA MARA YA KWANZA

Obama amepanga pia kutembelea Makao Makuu ya Umoja wa Afrika yaliyo Addis Ababa, Ethiopia ikiwa ni ziara ya kwanza kwa Rais wa Marekani kuzuru umoja huo tangu kuasisiwa kwake

VIKOSI VYA ULINZI

Habari kutoka nchini humo zilidadavua kwamba, vikosi vya ulinzi vya Marekani, CIA, FBI na kile cha siri cha Secret Service vilitua nchini humo miezi kadhaa na kuungana na majeshi ya Kenya ili kuweka mambo safi.

MANOWARI ZA KIVITA Ilielezwa kwamba, meli na manowari za kivita vimepiga kambi eneo lote la pwani ya nchi hiyo katika Bahari ya Hindi, lengo likiwa ni kuimarisha usalama wa kiongozi huyo mkubwa duniani pamoja na jopo la wafanyabiashara atakaoandamana nao.

B52 YAEGESHWA PWANI

Ilielezwa kwamba, jeshi la kwenye maji la Marekani limejikita Bahari ya Hindi kwenye ukanda wote wa Afrika Mashariki kujiandaa kuzuia shambulizi la kivita wakiwa na silaha nzito ndani ya ndege ya B52 ambayo imeegeshwa pwani ya nchi hiyo.

KAMERA, SATELAITI ZAFUNGWA


Ilisemekana kwamba, Jeshi la Kenya wameweka doria kwenye Jiji la Nairobi ambalo limetulia tuli huku likimulikwa kwa kamera maalum na satelaiti za kijeshi, barabara kufanyiwa usafi na nyingine kufungwa huku bendera za Kenya na Marekani zikiwa zimepamba Jiji la Nairobi.

AIR FORCE ONE


Imedadavuliwa kwamba, Obama atatua na ndege ya Rais wa Marekani ya Air Force One aina ya Boeing 747-200B kisha atapokelewa na gari analotumia Marekani ambalo lilitangulia kuwasili Kenya.

UWANJA WA NDEGE

Ilielezwa kwamba, kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta atakaotua Obama, kumejaa ndege za Jeshi la Marekani na hauruhusiwi kutumiwa na ndege nyingine za biashara.

Hali ndivyo ilivyo kwa viwanja vingine pamoja na bandari, hakuna biashara inayoendelea hadi kiongozi huyo amalize ziara yake nchini humo.

MAMLAKA YA ANGA
Ilielezwa kwamba, Mamlaka ya Anga ya Marekani na Makao Makuu ya Jeshi hilo Pentagon wanafanya kazi kama siafu kuhakikisha anga lote lipo shwari.

Kuna taarifa kwamba, wafanyakazi wote serikalini wasiohusika na usalama na ziara hiyo watakuwa miguu juu pindi atakapowasili Obama kwani hawataenda kazini.

Kuhusiana na ulinzi wa Kenya, hata nchi za Tanzania, Somalia, Eritrea, Uganda, Rwanda na Burundi nazo zinamulikwa kusije kukatokea lolote.Hapa bibi yake Obama aitwaye Sarah Hussein Obama akifurahi ujio wa mjukuu wake.


obama.jpg

628x471.jpg


More images, see post #2 on this thread
=======================

Updates: Rais Obama anategemewa kutua Nchini Kenya, katikati ya saa mbili leo usiku hadi saa tano.
Kwa sababu za kiusalama muda rasmi atakaowasili hauwekwi wazi.

Uhuru Kenyatta
UKenyatta



Welcome to Kenya POTUS

5:31 p.m. - 24 July 2015


Update: Muda mchache uliopita, Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na msafara wake wametoka Ikulu kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) kumpokea Rais Barack Obama kutoka Marekani.
photo_2015-07-24_19-37-10.jpg

Endelea kufuatilia...

Update (19:42 PM):
Rais Obama kuwasili saa 2 na dakika 10 usiku.

New: OBAMA AWASILI NYUMBANI: Naam, na sasa ndege ya Airforce One iliyomsafirisha Rais Obama imeshawasili katika uwanja wa ndege wa JKIA muda huu wa saa 2 na dakika 03 usiku.

Ulinzi katika Uwanja wa Ndege umezidi kuimarishwa wakiwemo mbwa wa kunusa na vikosi maalumu vya jeshi (Special Force Units) wakiwa wamejiandaa kwa lolote.

=========

Update: SAA 2 na DK 13 USIKU HUU

photo_2015-07-24_20-31-24.jpgphoto_2015-07-24_20-32-00.jpg

_84479417_obama_composit.jpg

OBAMA USO KWA USO NA UHURU KENYATTA: Wakati uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu sasa umewadia. Rais Obama ameshatua na kushuka kutoka kwenye ndege na kupokelewa na wenyeji wake wakiongozwa na Rais wa KENYA, Uhuru Kenyatta.

Kinachoendelea sasa ni salamu za hapa na pale baina ya Rais Obama na Mabalozi, Waziri wa ulinzi wa ndani wa Kenya, na viongozi wengine wa juu wa serikali ya Kenya, pamoja na upigwaji wa picha mbalimbali kutoka kwa vyombo vya habari vilivyotanda eneo la Uwanja wa Ndege wa JKIA.

Visitor's book: Na sasa Rais Obama anatia saini kwenye kitabu cha wageni ikiwa ni Kumbkumbu ya ujio wake kama mgeni rasmi na wa kipekee.

3d9e5bdf-4424-47de-bcef-5035abd439f0.jpg


Sura za bashasha zimefurika hapa!

_84479299_028303774-1.jpg
THE BEAST: Rais Obama anaelekea kwenye gari yake ghali na ya kipekee zaidi duniani iliyopachikwa jina la The Beast yenye kila kitu ndani ikiwemo ofisi ndogo na mawasiliano.

KIVUTIO: Dada wa Obama anayeishi Kenya amepata bahati ya kipekee ya kupanda kwenye gari moja na Rais Obama (The Beast) na msafara unaelekea kwanza hotelini (haijatajwa ni hoteli gani) ambako atafikia kabla ya kuelekea IKULU hapo kesho.

Ratiba ya kesho ni Obama kuhutubia viongozi maalumu watakaoalikwa kwenye tukio hilo kwenye makazi ya Rais Kenyatta (Ikulu) asubuhi ambako pia atafungua Kongamano la kimataifa la Wajasiriamali mjini Nairobi.

Update: 09: 00 a.m
Ndege na helkopta za jeshi la marekani zimeanza kuzunguka katika anga la Nairobi kuhakikisha kuwa
kila kitu kuhusu usalama kina enda shwari kabisa.

150725061630_apache_640x360_bbc_nocredit.jpg



Update: 09:45 a.m
Waandishi wa habari wanaanza kukaguliwa wao na vifaa vyao vya kazi kabla ya kuingia kwenye vyumba vya mkutano wa wajasiliamali na Rais wa Marekani.
150725070321_journalist_2_640x360_bbc_nocredit.jpg



Update:saa 10:15 mkutano umeanza Rasmi
.
Mkutano wa wajasiriamali umeanza katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini Nairobi huku Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akihutubia mkutano.
Rais Kenyata aelezea namna kenya ilivyokumbana na majanga mbali mbali ikiwemo yale ya kushambuliwa kigaidi na Al-shabab
lakini ilipambana nayo na hatimaye kuyashinda na kusonga mbele.
Asisitiza juu ya umuhimu wa nchi za Kafrika kujiirmarisha kiuchumi kwani haziwezi kuendelea kwa kuzitegemea nchi za barani ulaya .
Pia asema kuna wanawake wajasilia mali zaidi ya 1,600 barani Afrika amabo wakikuzwa vema watakuja kuwa wafanyabiashara wakubwa sana hapo baadae.
Pia USA imetoa dola milioni 100 kwaajili ya kuwawezesha wajasiliamali wanawake. Na pi kwa kipindi cha miaka 3 ijayo marfekani itatoa dola bilioni 1 kuwawezesha wanawake wajasilia mali wa Afrika.
150725080415_uhuru_kenyatta_640x360_bbc_nocredit.jpg
150725080706_obamaa_640x360_bbc_nocredit.jpg


11709503_10155932324100533_8873841188064754643_n.jpg

11694841_1108877852474100_7246662256466747103_n.jpg

Update :10:50 Obama aisifia kenya kwenye teknologia.
Asema nchi ya kenya imepiga hatua kubwa kiteknologia ikilinganishwa na miaka kumi aliyopita pindi alipokuja .
Asifia tena ukuaji wa teknologia ya mawasiliano na matumizi ya Mpesa.
Asema watafungua vituo na mifuko ya kudhamini biashara mbali mbali zitazoanzishwa na wanawake kwani kina mama ndio iniji ya maendeleo. Vituo hivyo vitafunguliwa katika nchi za Kenya ,Mali na Zambia.

11752469_1108877962474089_4117609155319744153_n.jpg

Update :Obama atembelea kituo cha mradi wa Power Africa Innovation
Obama ametembelea mradi huo wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu ya jua huko Nairobi. Ambapo alikutana na mkurugenzi wa huduma kwa wateja M-kopa bibi June Muli, amabo mradi wao unakwenda kwa falsafa ya "pay-as-you-go" wenye lengo la kusaidia kutoa nguvu ya umeme kwa makazi hasa ya watu wa kipato cha chini.
_84482483_028310001-1.jpg

Update :11:02 a.m Obama na Kenyata wanaelekea Memorial Park .
Obama na Uhuru sasa waelekea katika eneo la shambulizi la kigaidi la mwaka 1998 jijini Nairobiambapo watu zaidi ya 200 waliuwawa, wakiwemo wamerekani 12 na wafanyakazi wasio wamarekani 34. Tukio hilo lilitekelezwa na kikundi cha kigaidi cha Al-qaida .
11745957_1108877279140824_2804588070869562651_n.jpg


11760315_1024635534221778_7320959526750872831_n.jpg

11800281_1108919772469908_3157344309706747671_n.jpg
11694987_1108919872469898_729343358623976361_n.jpg

11781653_1108919725803246_7524086964868262470_n.jpg

11742819_1093365944025275_2825736855106172417_n.jpg

Update :Makama wa rais Ruto akutana na ujumbe wa Rais Obama.

Dakika chache zilizopita Mmakamu wa Rais wa marekani MH. Wiliam Rutto amewasili kunako viunga vya ikulu ya Kenya kwaajili ya kufanya mazungumzo (bilateral talks ) na viongozi waandamizi wa marekani ambao wameandamana na Obama katika safari yake .
amesisitiza wakenya kutumia fursa hii adhimu na adimu kupenyeza biashara zao Marekani na kwingineko duniani kwa maendeleo yao na ya kenya kwa ujumla.
11703145_10155790099170405_4187123869788694074_n.jpg
hkpohzkxylmx7fk8sp5n55b35e7279a3e.jpg
11018595_893067260741424_2110347165334656962_n.jpg

11800147_10155790099165405_1529403115018261088_n.jpg
11781728_1093051797390023_8839822824075777109_n.jpg
11046883_1093051910723345_5644622612652146590_n.jpg


Update za Bilateral Talks.

Mazungumzo yanaendelea katika Ikulu ya kenya huko Nairobi kati ya Rais Kenyata na Rais Obama
Tunategemea matunda mauzri yatapatikana baada ya haya mazungumzo kwani palipo na "wakubwa"
tunatarajia mambo kwenda bara bara.....


10986650_1108952649133287_5632161073157903301_n.jpg
11696001_1108952695799949_4730174725818874434_n.jpg


11220808_1108952515799967_1476621495297479718_n.jpg


11745867_1108952602466625_4577079730739270317_n.jpg


11147062_1108951665800052_5024780403623885660_n.jpg

11745578_1108952222466663_6813016082906396750_n.jpg
11745691_1108951949133357_1059063032203111075_n.jpg
 
Mkuu Obama kuna nchi anatokea katika ziara yake ama anatoka usa moja kwa moja na je ataenda nchi gani baada ya Kenya?
Swali la mwisho je dr jk amealikwa katika hayo mapokezi?

Naomba mnjibu maswali yangu yote...nitarudi
 
Yaani hawa watu, hadi shule mabenk wamefunga

Mbona hiyo cha mtoto...
mbona hapa Tanzania barabara za rami zilidekiwa kwa Ommo na kisha dawa ya mbu ya Rungu kupulizwa
ili kuua vimelea vya mbu kwa hisani ya watu wa marekani.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Obama kuna nchi anatokea katika ziara yake ama anatoka usa moja kwa moja na je ataenda nchi gani baada ya Kenya?
Swali la mwisho je dr jk amealikwa katika hayo mapokezi?

Naomba mnjibu maswali yangu yote...nitarudi

Akitoka kenya ataenda Adis Ababa ETHIOPIA .
JK kaalikwa kwa simu TV tu.
 
Marire

Moja kwa moja fro US to Kenya baada ya hapo atawasili addis ababa kuhutubia kikao cha wakuu wa nchi za Africa au hapo atakuwa na mazungumzo na Jakaya Kikwete pia Pombe Magufuli atakuwepo kumbuka hotuba ya obama ataongelea zaidi kusaidia miundo mbinu Afrika.
 
Last edited by a moderator:
USSR

Mkuu kwani nao hao wako kwenye ratiba ya kukutana mkulu wa kaya wa Dunia?
kama yes, mbona sisi alikuja siku 4 hapa kwetu ila aliyekuja kutoka Kenya ni Balozi wao hapa nchini tu, iweje sisi leo mkulu Vasco da Gama na alcohol magufuli wapewe shavu?
 
Last edited by a moderator:
Hao askari wa Kenya ni nyanya tu, Marekani wanajua na lazima wajiweke sawa kiulinzi
 
Back
Top Bottom