Obama miongoni mwa waliopigwa 'stop' kuingia Urusi

Obama miongoni mwa waliopigwa 'stop' kuingia Urusi

Ijumaa ya tarehe 19/may/ 2023 Urusi ilitoa orodha ya wamarekani 500 ambao imewapiga marufuku kuingia nchini humo na miongoni mwao ni Rais mstaafu Barack Obama.

Orodha hiyo imetolewa na Serikali ya Urusi ikiwa ni kama kulipiza kisasi baada ya serikali ya Rais wa Marekani Joe Biden kuiwekea vikwazo Urusi kwa uvamizi wake nchini Ukraine

Waliopigwa marufuku ni wale wanaoonekana wana nguvu na ushawishi katika serikali ya Marekani na wengi wao ni Maseneta.

Pia wapo waliopo katika serikali ya Biden na vyombo vya dola.

Source: KITENGE BLOG

[emoji16][emoji16][emoji849][emoji849] sasa Obama Russia anafata nini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa Obama huko Moscow akachukue nn? Huyu Putin ashakata motoo, bora ajisalimishe tyuuh. Lol
 
Obama hapo uk tu ana muda hajaenda na ni nchi inayoeleweka sasa aende urusi ambayo kila siku inawaka Moto [emoji3061]
 
Ijumaa ya tarehe 19/may/ 2023 Urusi ilitoa orodha ya wamarekani 500 ambao imewapiga marufuku kuingia nchini humo na miongoni mwao ni Rais mstaafu Barack Obama.

Orodha hiyo imetolewa na Serikali ya Urusi ikiwa ni kama kulipiza kisasi baada ya serikali ya Rais wa Marekani Joe Biden kuiwekea vikwazo Urusi kwa uvamizi wake nchini Ukraine

Waliopigwa marufuku ni wale wanaoonekana wana nguvu na ushawishi katika serikali ya Marekani na wengi wao ni Maseneta.

Pia wapo waliopo katika serikali ya Biden na vyombo vya dola.

Source: KITENGE BLOG

Puttin fanya mambo yako kwa kile walichomfanyia Marhem Muammar Qaddhafi
 
Back
Top Bottom