Obama: Mwambieni Magufuli nataka eneo Moshi nijenge vacation home

Utafiti uliopelekea ujenzi wa crdb na uwanja wa ndege chato unaweza msaidia huyu jamaa kupewa eneo kule.....
 
Ahsante mkuu kwa update hii iliyojaa vitamins na kila aina ya virutubisho
 
Kwa sababu kachagua Moshi jiwe hatompa ila angechagua Chato angepewa uwanja wa ndege ,Bank ya CRDB na mataa ya kuongozea Punda.
 
Nitaftie yule mkei anaitwa Kenedy00 aliyekuwa mstari wa mbele kupinga kuwa Obama hayupo tz
 
ANidipu kwenye namba yangu Nimpe eka 4 zipo square ajenge MANSION kama la Hugh Hefner ...PLAYBOY MANSION.
 
Wizara yetu nzuri chini ya kingwagala imetumiaje hii nafasi kutangaza vivutio vya maliasili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…